Shing Yui
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 15,168
- 38,049
Zele boy atapewa jina baya alafu abutuliwe... Ukitaka kuua jiumbwa lipe jina bayaDah ila jamaa anasikitisha sana, waliokua wanampa kiburi ndo ao tena wanamkura na kumfedhehesha juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zele boy atapewa jina baya alafu abutuliwe... Ukitaka kuua jiumbwa lipe jina bayaDah ila jamaa anasikitisha sana, waliokua wanampa kiburi ndo ao tena wanamkura na kumfedhehesha juu
Ipo wazi... Ona sasa wakubwa wamekaa mezani huku Ukraine ikiwa ndio kifungua kinywaKwamba Zelensky alikua akipewa kishika uchumba
Haha kama hamisa kapelekewa mahari ngombe fuso moja chupi hataki kuvua si ubwege huoUlidhani silaha nzitonzito alizokua akipeleka Joe Biden nilikua ni nini kama sio mahari?
Na Kwa marekani,Sharti zito mno. Waru wapewe hati miliki ya madini halafu wewe wakujengee nyumba...!!! Ni bora zele atafute wachimba madini kisha fedha zitumike kujenga hizo nyumba na ukraine mpya
Asipovua ichanweHaha kama hamisa kapelekewa mahari ngombe fuso moja chupi hataki kuvua si ubwege huo
Na hata usipokuwa na jinsia watu watatafuta namna yoyote ulipe ulichokula...!🤣Siku zote ukipenda mseleleko tegemea kuliwa tu. Uwe mwanaume au mwanamke!!!
Maamuzi gani ya kujutia?Ni wazi alipo Zelensky atakua anajilaumu Sana Kwa maamuzi aliyoyafanya miaka 3 iliyopita Kwa wananchi wake
Baada ya hii vita kuisha Ukraine asitafute security guarantee kutoka nchi yoyote. Atafute namna ya kununua au kutengeneza nuclear hata kwa njia za magendo, hii ndicho kitu pekee kitakachoizuia Urusi ikiwa ni pamoja na kurudisha maeneo yake.Ikiwa Ni katikati ya kuitafuta suluhu ya migogoro WA Ukraine na urusi.
Serikali ya marekani tayari ilishatuma ujumbe wake nchini saudia Arabia kukutaba na upande WA urusi ili kumaliza mgogoro WA Ukraine uliodumu mwaka WA 3 sasa.
Wakati huo huo, jijini Washington upo ujumbe Toka Ukraine Kwa ajili ya mashauriano hayo kuitafuta suluhu ya vita,uhakika WA USALAMA baada ya vita, pamoja na namna Ukraine mpya itakavyojengwa.
Miongoni mwa vipengele vya makubaliano waliyopewa Ukraine kuhusu maisha baada ya vita, Ni kwamba Tenda zote za ujenzi WA Ukraine mpya atapewa kampuni za kiMAREKANI.
Na serikali ya marekani ndo itawalipa wazabuni wote watakafanya shughuli zote za ujenzi ndani ya Ukraine, Tafsiri yake UKRAINE mpya itajengwa upya Bure Kwa 100% na serikali ya Donald Trump pamoja na kuwapa UKRAINE ruzuku ya dola billion 500 Kila mwaka Kwa ajili ya Kuendeleza miradi ya ujenzi baada ya makampuni ya kimarekani kuondoka ndani ya Ukraine.
Ila Kwa sharti Moja TU,
La kuipa serikali ya marekani hati miliki ya madini yote yanayopatikana katika ardhi ya Ukraine.
SHARTI HILI RAISI ZELENSKY KALIKATAA na Kutamka wazi kua NI SHARTI LA KINYONYAJI
Angekimbia, mashtaka ya kifo yangemfuata; inawezekana ata yeye urais hautaki tena, lakini utaachaje achaje huku kuna watu wamefia vitani?Akome aliambiwa atimuke mapema akakaza fuvu mwakatrump ni b'ness man