Marekani yasikitishwa na Zelensky kukataa Dili la madini kuijenga upya UKRAINE

Marekani yasikitishwa na Zelensky kukataa Dili la madini kuijenga upya UKRAINE

Huu mtego pia kapewa Tshisekedi kule congo na Xi-ping Kwa ajili ya msaada wa kijeshi ili kuwafurusha m23
Huyo Mcongo kwa uchu wa madaraka sidhani kama anaweza kataa offer hiyo.

Ukiachana na kua ni mkataba wa hovyo ila pia Trump ana dharau, mikataba ya umilele ni ya kiwaki sana.
 
Baada ya hii vita kuisha Ukraine asitafute security guarantee kutoka nchi yoyote. Atafute namna ya kununua au kutengeneza nuclear hata kwa njia za magendo, hii ndicho kitu pekee kitakachoizuia Urusi ikiwa ni pamoja na kurudisha maeneo yake.
Mmhh hawato Muacha aweze kufanya hivyo ndio itakuwa amejichochea
 
Kabisa mkuu,hawa jamaa hawatoi kitu bure,,halafu viongozi wetu sijui kwanini huwa wanadanganya ati msaada!!!,,nakumbuka hata issue ya chanjo ya korona,haikuwa bure kama tulivokuwa tukiambiwa,,tena nchi zetu zilikuwa zinalazimishwa.
Sasa watu wakupe bure wakati kuishi it means business yaani watu wakae chini wafanye tafiti Kwa gharama kibao waje na solution Halafu wawapatie Bure Hakunaga dunia ya namna Hiyo , wale wanao amini kwamba huwa tunapewa misaada bure ni wazi kwamba hawana akili na hawato kuja kuwa nazo
 
Hilo dili angepewa cheshekedi wa congo,

Ajengewe apartments kwenye misitu yote.

Awe anapewa na ruzuku kila mwaka.

Us aweke na military base kabisa pale kivu.

Hili dili hachomoi kwa hali ilivyo.
Ameshapewa na PK ndio mwakilishi....
Subiri hapohapo ulipo, watoa taarifa watakufikia......
 
Baada ya hii vita kuisha Ukraine asitafute security guarantee kutoka nchi yoyote. Atafute namna ya kununua au kutengeneza nuclear hata kwa njia za magendo, hii ndicho kitu pekee kitakachoizuia Urusi ikiwa ni pamoja na kurudisha maeneo yake.
Kabisa. Tena inatakiwa wajilaumu sana kwa kutoa zile nuclear zao walizobaki nazo kutoka kwa ussr. Ila wakiamua kujitutumua kutengeneza wanaweza. Nuclea ndo ulinzi wa kudumu wa ukraine kwa sasa maana hakuna raisi kichaa wa urusi angesubutu kumvamia kama angekuwa na nuclear.
 
Back
Top Bottom