and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Ni nzuri kwakeIkiwa Ni katikati ya kuitafuta suluhu ya migogoro WA Ukraine na urusi.
Serikali ya marekani tayari ilishatuma ujumbe wake nchini saudia Arabia kukutaba na upande WA urusi ili kumaliza mgogoro WA Ukraine uliodumu mwaka WA 3 sasa.
Wakati huo huo, jijini Washington upo ujumbe Toka Ukraine Kwa ajili ya mashauriano hayo kuitafuta suluhu ya vita,uhakika WA USALAMA baada ya vita, pamoja na namna Ukraine mpya itakavyojengwa.
Miongoni mwa vipengele vya makubaliano waliyopewa Ukraine kuhusu maisha baada ya vita, Ni kwamba Tenda zote za ujenzi WA Ukraine mpya atapewa kampuni za kiMAREKANI.
Na serikali ya marekani ndo itawalipa wazabuni wote watakafanya shughuli zote za ujenzi ndani ya Ukraine, Tafsiri yake UKRAINE mpya itajengwa upya Bure Kwa 100% na serikali ya Donald Trump pamoja na kuwapa UKRAINE ruzuku ya dola billion 500 Kila mwaka Kwa ajili ya Kuendeleza miradi ya ujenzi baada ya makampuni ya kimarekani kuondoka ndani ya Ukraine.
Ila Kwa sharti Moja TU,
La kuipa serikali ya marekani hati miliki ya madini yote yanayopatikana katika ardhi ya Ukraine.
SHARTI HILI RAISI ZELENSKY KALIKATAA na Kutamka wazi kua NI SHARTI LA KINYONYAJI
Kwamba USA ilimuingiza Cha UKRAINE vitani maksudi ili kuyamendea madini yakeHapo hakuna kipya, kilichobadilika ni rais kuliongea wazi, lakini nchi zote zilizovamiwa kimabavu na US na EU hasa mashariki ya kati chanzo ni tamaa za mali asili zao, Iraq, Syria, Libya n.k
Nyuklia ARSENAL zote alishakabidhi kwa ISABaada ya hii vita kuisha Ukraine asitafute security guarantee kutoka nchi yoyote. Atafute namna ya kununua au kutengeneza nuclear hata kwa njia za magendo, hii ndicho kitu pekee kitakachoizuia Urusi ikiwa ni pamoja na kurudisha maeneo yake.
Unaumwa nini hata mimi ningekataaIkiwa Ni katikati ya kuitafuta suluhu ya migogoro WA Ukraine na urusi.
Serikali ya marekani tayari ilishatuma ujumbe wake nchini saudia Arabia kukutaba na upande WA urusi ili kumaliza mgogoro WA Ukraine uliodumu mwaka WA 3 sasa.
Wakati huo huo, jijini Washington upo ujumbe Toka Ukraine Kwa ajili ya mashauriano hayo kuitafuta suluhu ya vita,uhakika WA USALAMA baada ya vita, pamoja na namna Ukraine mpya itakavyojengwa.
Miongoni mwa vipengele vya makubaliano waliyopewa Ukraine kuhusu maisha baada ya vita, Ni kwamba Tenda zote za ujenzi WA Ukraine mpya atapewa kampuni za kiMAREKANI.
Na serikali ya marekani ndo itawalipa wazabuni wote watakafanya shughuli zote za ujenzi ndani ya Ukraine, Tafsiri yake UKRAINE mpya itajengwa upya Bure Kwa 100% na serikali ya Donald Trump pamoja na kuwapa UKRAINE ruzuku ya dola billion 500 Kila mwaka Kwa ajili ya Kuendeleza miradi ya ujenzi baada ya makampuni ya kimarekani kuondoka ndani ya Ukraine.
Ila Kwa sharti Moja TU,
La kuipa serikali ya marekani hati miliki ya madini yote yanayopatikana katika ardhi ya Ukraine.
SHARTI HILI RAISI ZELENSKY KALIKATAA na Kutamka wazi kua NI SHARTI LA KINYONYAJI
Bila msaada wa Marekani hao Ukraine hawawezi kuendesha serikali yao hata kwa siku 10.Sharti zito mno. Waru wapewe hati miliki ya madini halafu wewe wakujengee nyumba...!!! Ni bora zele atafute wachimba madini kisha fedha zitumike kujenga hizo nyumba na ukraine mpya
anataka nipe nikupe hutaki acha.Kivipi mkuu
Hakuna cha bure duniani mkuu.Kwamba USA ilimuingiza Cha UKRAINE vitani maksudi ili kuyamendea madini yake
Nyuklia ARSENAL zote alishakabidhi kwa ISA
NYERERE nae akiambiwa hivyohivyo wakati wa ombi ujenzi wa TAZARa ....akaona ohoo isiwe tabu....akageukia china china masharti yalikuwa sio yamadini ila tembo walikoma kulinga(ndovu,)
Ilibidi chini mpaka wafungue na hotel ya chakula Cha kichina kumbe uwongo eneo la kupangia ndovu kusafirishwa
Rejeeni ,Ile KESI ya mama wa ndovu (1975 aliletwa kwakazi Moja tu