Marekani yasitisha zoezi la kupeleka ndege vita F -16 baada ya mifumo yake ya ulinzi kudunguliwa uko Ukraine

Marekani yasitisha zoezi la kupeleka ndege vita F -16 baada ya mifumo yake ya ulinzi kudunguliwa uko Ukraine

Kokolo

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2008
Posts
1,985
Reaction score
3,310
Baada ya mifumo ya ulinzi ya Marekani ambayo walikuwa wakiiamini sana kupigwa na kuharibiwa na majeshi ya Russia, kwa kutumia makombora ya kinzhai, leo Marekani amepiga marufuku ndege zake aina ya F -16 zisipelekwe ukraine wala kuwafundisha askali wa ukraine.

Hii Ni baada ya kugundua kwamba Russia technologia yao iko juu sana hizo ndege zitadunguliwa na kuharibu soko lake kwa nchi mbalimbali duniani ambao wamezinunua. Kwani pia tayari makombora toka uingereza nayo yameshadunguliwa kama senene uko Ukraine japo waliyafanyia promotion sana yakakutana na kisiki Cha mpingo.



Storm Shadow za UK nazo ninachakazwa Kama kumbi kumbi





Screenshot_20230518-173937.png
 
Kwanza nikutukane. Hauna Akili Kichwa Hewa.

Ni lini Marekani ilisema inapeleka ndege za F-16 Nchini Ukraine?

Itakuwa umezaliwa Leo na kukurupuka Kama Ngiri aliyekurupushwa na Kundi la Simba.

Kama wewe Ni Mfuatiliaji wa huu mgogoro utakubaliana kwamba Marekani ikiahidi kupeleka aina Furani ya Silaha huko Ukraine Basi lazima ipeleke.

Licha ya Urusi kutoa vitisho mbuzi:

1. Marekani iliahidi kuipa Ukraine Javerine,na kweli ikapeleka.Tulishudia vifaru vya Urusi kugeuzwa vifusi vya Screpa.

2. Stingers zilipelekwa.Helikopta za Urusi zikaanza kuangushwa Kama kumbikumbo.

3. HIMARS zilipelekwa na Kuwatimua Wanajeshi wa Urusi katika mji wa Kherson licha ya Referendum Fake.

4. Vifaru vya Abrahams mpaka Sasa Wanajeshi wa Ukraine wanakula Mafunzo huko ujeruman na miezi ijayo vinaingia Ukraine.
 
Kwanza nikutukane. Hauna Akili Kichwa Hewa.

Ni lini Marekani ilisema inapeleka ndege za F-16 Nchini Ukraine?

Itakuwa umezaliwa Leo na kukurupuka Kama Ngiri aliyekurupushwa na Kundi la Simba.

Kama wewe Ni Mfuatiliaji wa huu mgogoro utakubaliana kwamba Marekani ikiahidi kupeleka aina Furani ya Silaha huko Ukraine Basi lazima ipeleke.

Licha ya Urusi kutoa vitisho mbuzi:

1.Marekani iliahidi kuipa Ukraine Javerine,na kweli ikapeleka.Tulishudia vifaru vya Urusi kugeuzwa vifusi vya Screpa.

2.Stingers zilipelekwa.Helikopta za Urusi zikaanza kuangushwa Kama kumbikumbo.

3.HIMARS zilipelekwa na Kuwatimua Wanajeshi wa Urusi katika mji wa Kherson licha ya Referendum Fake.

4.Vifaru vya Abrahams mpaka Sasa Wanajeshi wa Ukraine wanakula Mafunzo huko ujeruman na miezi ijayo vinaingia Ukraine.
Wewe ndio hauna akili yahani wewe ni PUMBAFU

Marekani amesema ndege zake ni marufuku KUPEREKWA Ukraine. Yaani kuna nchi zilinunua hizo ndege kutoka marekani na wanataka kuzituma Ukraine na marekani amewapiga stop

Na kila kitu alichopeleka aibu imemludia mwenyewe🤣🤣
 
Kwanza nikutukane. Hauna Akili Kichwa Hewa.

Ni lini Marekani ilisema inapeleka ndege za F-16 Nchini Ukraine?

Itakuwa umezaliwa Leo na kukurupuka Kama Ngiri aliyekurupushwa na Kundi la Simba.

Kama wewe Ni Mfuatiliaji wa huu mgogoro utakubaliana kwamba Marekani ikiahidi kupeleka aina Furani ya Silaha huko Ukraine Basi lazima ipeleke.

Licha ya Urusi kutoa vitisho mbuzi:

1.Marekani iliahidi kuipa Ukraine Javerine,na kweli ikapeleka.Tulishudia vifaru vya Urusi kugeuzwa vifusi vya Screpa.

2.Stingers zilipelekwa.Helikopta za Urusi zikaanza kuangushwa Kama kumbikumbo.

3.HIMARS zilipelekwa na Kuwatimua Wanajeshi wa Urusi katika mji wa Kherson licha ya Referendum Fake.

4.Vifaru vya Abrahams mpaka Sasa Wanajeshi wa Ukraine wanakula Mafunzo huko ujeruman na miezi ijayo vinaingia Ukraine.
Vifaru 15 aina ya leopard toka German vimeshalamba Moto tayari. Nchi mbalimbali zilisema kupeleka ndege vita F 16, toka Poland, UK German French etc na mafunzo yalikuwa yanaendelea kwa kasi sana baada ya mifumo yao waliyoamini kulamba msumali wa moto wa kinzhal wakaona ngoma nzito wamerudisha mkia matakoni kuogopa kukosa soko la hizo ndege na tayari soko la patriotic limeshaanza kudolola.
 
Kwanza nikutukane. Hauna Akili Kichwa Hewa.

Ni lini Marekani ilisema inapeleka ndege za F-16 Nchini Ukraine?

Itakuwa umezaliwa Leo na kukurupuka Kama Ngiri aliyekurupushwa na Kundi la Simba.

Kama wewe Ni Mfuatiliaji wa huu mgogoro utakubaliana kwamba Marekani ikiahidi kupeleka aina Furani ya Silaha huko Ukraine Basi lazima ipeleke.

Licha ya Urusi kutoa vitisho mbuzi:

1.Marekani iliahidi kuipa Ukraine Javerine,na kweli ikapeleka.Tulishudia vifaru vya Urusi kugeuzwa vifusi vya Screpa.

2.Stingers zilipelekwa.Helikopta za Urusi zikaanza kuangushwa Kama kumbikumbo.

3.HIMARS zilipelekwa na Kuwatimua Wanajeshi wa Urusi katika mji wa Kherson licha ya Referendum Fake.

4.Vifaru vya Abrahams mpaka Sasa Wanajeshi wa Ukraine wanakula Mafunzo huko ujeruman na miezi ijayo vinaingia Ukraine.
5.Toka apeleke hayo makolokolo,na mikoa minne Putin kaitia kwapani,
 
Wewe ndio hauna akili yahani wewe ni PUMBAFU

Marekani amesema ndege zake ni marufuku KUPEREKWA Ukraine. Yaani kuna nchi zilinuna hizo ndege kutoka marekana na wanataka kuzituma Ukraine na marekani amewapiga stop
Mwambie UK & Netherlands walikuwa na mpango wa kununua F16 kwaajili ya kuwasaidia Ukraine.
 
Kwanza nikutukane. Hauna Akili Kichwa Hewa.

Ni lini Marekani ilisema inapeleka ndege za F-16 Nchini Ukraine?

Itakuwa umezaliwa Leo na kukurupuka Kama Ngiri aliyekurupushwa na Kundi la Simba.

Kama wewe Ni Mfuatiliaji wa huu mgogoro utakubaliana kwamba Marekani ikiahidi kupeleka aina Furani ya Silaha huko Ukraine Basi lazima ipeleke.

Licha ya Urusi kutoa vitisho mbuzi:

1.Marekani iliahidi kuipa Ukraine Javerine,na kweli ikapeleka.Tulishudia vifaru vya Urusi kugeuzwa vifusi vya Screpa.

2.Stingers zilipelekwa.Helikopta za Urusi zikaanza kuangushwa Kama kumbikumbo.

3.HIMARS zilipelekwa na Kuwatimua Wanajeshi wa Urusi katika mji wa Kherson licha ya Referendum Fake.

4.Vifaru vya Abrahams mpaka Sasa Wanajeshi wa Ukraine wanakula Mafunzo huko ujeruman na miezi ijayo vinaingia Ukraine.
US blocks European F-16 training for Ukrainian pilots – NYT — RT World News US blocks European F-16 training for Ukrainian pilots – NYT

UK to help supply Ukraine with F-16s – Sunak — RT World News UK to help supply Ukraine with F-16s – Sunak
 
Vifaru 15 aina ya leopard toka German vimeshalamba Moto tayari. Nchi mbalimbali zilisema kupeleka ndege vita F 16, toka Poland, UK German French etc na mafunzo yalikuwa yanaendelea kwa kasi sana baada ya mifumo yao waliyoamini kulamba msumali wa moto wa kinzhal wakaona ngoma nzito wamerudisha mkia matakoni kuogopa kukosa soko la hizo ndege na tayari soko la patriotic limeshaanza kudolola.
Kwamba kuna silaha kwenye uwanja wa vita haiez shambuliwa ? Ukiitwa punguani utakataaa ?
 
Tatizo ni moja tu, hizo ndege za F-16 zikipelekwa UKRAINE halafu ikatokea zimetunguliwa nani?? Atanunua?? Unataka soko la F-16 life??
Nani ana hamu ya kununua PATRIOT?? SOKO lake linaweza kufeli!!! Ukraine muwapelekee S-300, tu ni nzuri sana zimewatesa sana URUSI, JAPO ukraine anaona hatomfurahisha marekani akizisifu S-300
 
Kwanza nikutukane. Hauna Akili Kichwa Hewa.

Ni lini Marekani ilisema inapeleka ndege za F-16 Nchini Ukraine?

Itakuwa umezaliwa Leo na kukurupuka Kama Ngiri aliyekurupushwa na Kundi la Simba.

Kama wewe Ni Mfuatiliaji wa huu mgogoro utakubaliana kwamba Marekani ikiahidi kupeleka aina Furani ya Silaha huko Ukraine Basi lazima ipeleke.

Licha ya Urusi kutoa vitisho mbuzi:

1.Marekani iliahidi kuipa Ukraine Javerine,na kweli ikapeleka.Tulishudia vifaru vya Urusi kugeuzwa vifusi vya Screpa.

2.Stingers zilipelekwa.Helikopta za Urusi zikaanza kuangushwa Kama kumbikumbo.

3.HIMARS zilipelekwa na Kuwatimua Wanajeshi wa Urusi katika mji wa Kherson licha ya Referendum Fake.

4.Vifaru vya Abrahams mpaka Sasa Wanajeshi wa Ukraine wanakula Mafunzo huko ujeruman na miezi ijayo vinaingia Ukraine.
 

Attachments

  • Screenshot_20230518-202034.png
    Screenshot_20230518-202034.png
    57.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20230518-201849.png
    Screenshot_20230518-201849.png
    75.8 KB · Views: 1
Kwanza nikutukane. Hauna Akili Kichwa Hewa.

Ni lini Marekani ilisema inapeleka ndege za F-16 Nchini Ukraine?

Itakuwa umezaliwa Leo na kukurupuka Kama Ngiri aliyekurupushwa na Kundi la Simba.

Kama wewe Ni Mfuatiliaji wa huu mgogoro utakubaliana kwamba Marekani ikiahidi kupeleka aina Furani ya Silaha huko Ukraine Basi lazima ipeleke.

Licha ya Urusi kutoa vitisho mbuzi:

1.Marekani iliahidi kuipa Ukraine Javerine,na kweli ikapeleka.Tulishudia vifaru vya Urusi kugeuzwa vifusi vya Screpa.

2.Stingers zilipelekwa.Helikopta za Urusi zikaanza kuangushwa Kama kumbikumbo.

3.HIMARS zilipelekwa na Kuwatimua Wanajeshi wa Urusi katika mji wa Kherson licha ya Referendum Fake.

4.Vifaru vya Abrahams mpaka Sasa Wanajeshi wa Ukraine wanakula Mafunzo huko ujeruman na miezi ijayo vinaingia Ukraine.
Wewe unafurahi kuwa Marekani kapeleka silaha Ukraine, lakini USA pale amechukulia kama sehemu ya kutangazia silaha kibiashara.

Hivyo silaha moja ikifeli maana yake soko lake limedorora duniani.

Mifumo wa Marekani uliolipuliwa pale Ukraine gharama zake ni makusanyo kodi ya Tanzania Kwa mwezi mzima...

Hivyo unadhani hiyo kibiashara imekaaje Kwa Marekani...
 
Wewe ndio hauna akili yahani wewe ni PUMBAFU

Marekani amesema ndege zake ni marufuku KUPEREKWA Ukraine. Yaani kuna nchi zilinunua hizo ndege kutoka marekani na wanataka kuzituma Ukraine na marekani amewapiga stop

Na kila kitu alichopeleka aibu imemludia mwenyewe[emoji1787][emoji1787]
Nathan hana alijualo huyo mpaka sasa kwa kumsaidia tu , patroit ndio mfumo wa kizazi kijacho kwa Marekani yani ndio mfumo wake anaoutegegea na bei yake ni kubwa kuliko S400 , MAREKANI ana THAAD wa kizamani na hiyo mpya kwahiyo kwa kupigwa patroit maana yake mpaka sasa Marekani yupo uchi .na Uturuki walitaka kununua patroit wakaghaili wakanunua S400nadhan sahiz wanachekea chooni hivi
 
Vifaru 15 aina ya leopard toka German vimeshalamba Moto tayari. Nchi mbalimbali zilisema kupeleka ndege vita F 16, toka Poland, UK German French etc na mafunzo yalikuwa yanaendelea kwa kasi sana baada ya mifumo yao waliyoamini kulamba msumali wa moto wa kinzhal wakaona ngoma nzito wamerudisha mkia matakoni kuogopa kukosa soko la hizo ndege na tayari soko la patriotic limeshaanza kudolola.
Mrusi atawaacha uchi kabisa hawa jamaa.
Walitaka kutumia hii vita kuonesha uwezo wao, sasa mambo yamekuwa kinyume chake.
 
Naangalia warusi na waukraine wa madongo kuinama mnavyoshambuliana humu
 
Mrusi atawaacha uchi kabisa hawa jamaa.
Walitaka kutumia hii vita kuonesha uwezo wao, sasa mambo yamekuwa kinyume chake.
Na bado - makubwa yanakuja wakienfeleza njama zao za kutaka kuiidhoofisha kijeshi Urusi - Putin alishajipanga ku-deal na mabeberu hawa kwavita ambayo itachukua muda mrefu - anaye jidanganya kwamba some how Russia itaishiwa silaha anajidanganya - hata waziri wa Ulinzi wa Merikani alikiri kwamba US/NATO hawakuamini kama Urusi ina shehena kubwa wasilaha, sio silaha za kawaida tu hata silaha za kisasa kabisa ambazo Merikani na NATO hawana kabisa - NATO kujifanya viganganizi ndio kutawadhalilisha na muda si mrefu NATO nayo itasambaratika mataofa ya Ulaya yatataka kuwa na chombo chao cha Ulizi na sio kukubali kuburuzwa na Merikani mpaka wanajikuta nchi zao zinakuwa kwenye mgogoro na Russia bila sababu zozote za msingi zaidi ya kulinda maslahi ya Merikani - mataifa ya Ulaya yanayumba kiuchumi kutokana na skewed Amerikani foreign policies ambazo wao kama Ulaya hawana faida nayo hata kidogo - huwa nawashangaa sana baadhi ya Viongozi wa Ulaya hasa huyu wa Ujerumani na Poland - viongozi wa ajabu sana.
 
Back
Top Bottom