Ndege nikishaanunua ananipangiaje tana jamaniWewe ndio hauna akili yahani wewe ni PUMBAFU
Marekani amesema ndege zake ni marufuku KUPEREKWA Ukraine. Yaani kuna nchi zilinunua hizo ndege kutoka marekani na wanataka kuzituma Ukraine na marekani amewapiga stop
Na kila kitu alichopeleka aibu imemludia mwenyewe[emoji1787][emoji1787]