Marekani yateka silaha za Iran wakipelekewa wanamgambo wa Houthi

Marekani yateka silaha za Iran wakipelekewa wanamgambo wa Houthi

Hapo marekani hawezi hata kuww karibu kwa kuwa anajua kitakacho moata costal yote ya bahari hawwzi hata kunusa
ila waislan nan kawaroga ? mmekuw wajinga sana , hv huyo Iran plus shosti zake wa hapo mashariki wanaeza simama na USA ? hofu ya USA ni China na Russia tu , mkiona yupo kimya haimaanish hao mbuz wanaeza ongea akiwamulia
 
Marekani na Uingereza wapuuzi sana walosema iraq ina silaha za sumu wakiachiwa hata mwezi wanaangamiza dunia wakaivamia Iraq na kumuwa Saddam Hussein, bure na silaha hazikupatikana.
kwahiyo sasa Iran anasingiziw kufadhiri ugaidi wa houth ?
 
Wamarekani na mazayuni siwaamini kwa chochote wanachosema.

Wanajitafutia uhalali tu wakuwauwa Wayemeni ili waisike vizuri mifereji na njia za mafuta wakati wa Yemeni hawakuuwa hata mtu mmoja, wao wanazuia meli zinazokwenda kusaidia Wapalestina tu kuuliwa.

Wamarekani ni mashetani wasioaminika, hao hawakupendi mpaka uwe shoga mwenzao. Na hata ukikubali kuwa shoga mwenzao bado watataka wao tu ndiyo wakuoe.

Hata iwe ni ukweli, wao wanapeleka silaha ngapi kila siku, mzayuni auwe Wapalestina?
leo hamuwaamin wkt siku kadhaa ulikuwa unawasifia wahouth , hv waislam nan kawaroga asee ? mnaa akili ndogo sana
 
Wamarekani na mazayuni siwaamini kwa chochote wanachosema.

Wanajitafutia uhalali tu wakuwauwa Wayemeni ili waisike vizuri mifereji na njia za mafuta wakati wa Yemeni hawakuuwa hata mtu mmoja, wao wanazuia meli zinazokwenda kusaidia Wapalestina tu kuuliwa.

Wamarekani ni mashetani wasioaminika, hao hawakupendi mpaka uwe shoga mwenzao. Na hata ukikubali kuwa shoga mwenzao bado watataka wao tu ndiyo wakuoe.

Hata iwe ni ukweli, wao wanapeleka silaha ngapi kila siku, mzayuni auwe Wapalestina?
Siraha mbona zinawfikia vizuri sana israel hata shinda .ukiongea hivi unakuwa sawa ni vita ya kuchukua ardhi kionezi usilete dini.
 
Jeshi la Wanamaji la Marekani limeripoti kwamba limekamata silaha zilizotumwa na Iran kuwapa waasi wa Houthi wa Yemen wiki iliyopita.

Jeshi la Marekani (CENTCOM) lilitangaza katika taarifa siku ya Jumanne kwamba Seals wa Jeshi la Wanamaji la Marekani walipata silaha hizo wakati wa shambulio la usiku kwenye meli katika Bahari ya Arabia mnamo Januari 11.

Iran imekanusha kuwa na uhusiano wowote na kampeni ya mashambulizi ya Wahouthi katika Bahari Nyekundu ambayo yamevuruga biashara ya kimataifa.
---
The US Navy has reported that it seized weapons sent by Iran to resupply Yemen’s Houthi rebels last week.

The United States Central Command (CENTCOM) announced in a statement on Tuesday that US Navy Seals found the arms during a night-time raid on a ship in the Arabian Sea on January 11. Iran has denied any link to the Houthis’ campaign of attacks in the Red Sea, which have disrupted global trade.

The raid on a dhow near the coast of Somalia last week uncovered “lethal” advanced conventional weapons, the statement said. The Iranian-made ballistic missiles and cruise missile components were seized by the US forces.

The seizure comes at a time of rising violence in the region linked to Israel’s war on Gaza. The Houthis, who control most of Yemen’s Red Sea coast, have been attacking commercial ships that they say are linked to Israel or bound for Israeli ports. Launched in November, the offensive is, according to the Yemeni group, intended as defence of Palestinians.

Al Jazeera
Naona wamepiga missile Yemen kumtishia muiran kuwa they mean bussines nayeye muiran kapiga precise guided missile 1200km na bila kumiss kuwaonyesha kama mkileta vita hapa kwetu miji yenu itachapika kwa kuwa hizo missile zikiwa kwenye meli au submarine hakuna namna miji ya UK itasalimika kama atapeleka mtiti kwa wairan hii
Wakunje jamvi wakae chini wapalestine walazimishwe two state solution na waisreal walazimishwe kukubali maana kama ni vita wote wamejiandaa na wote vichaa basi wafanye respectively dialogue wayamalize wote watemi dunia imeona inatosha.
 
kwahiyo sasa Iran anasingiziw kufadhiri ugaidi wa houth ?
Unashangaza sana umekuwa mjinga kiasi hicho propaganda za kipuuzi unakuja nazo hapa eti Yemen magaid.

Wahouthi wa
Yemeni wamefanya mashambulizi kadhaa kwenye meli za Israeli bila kua mtu yevote wanachotaka Israel na Marekani waache kuuwa raia wasiyokuwa na hatia watoto zaidi ya 9000 huyu anayetea mauaju yasitokee anaitwa gaidi lakini Israeli ambayo imeua watu zaidi ya elfu 30, na bwana yake Marekani wanaitwa wapenda haki.

Unamkuta kijana kama wewe kutoka Maji Matitu anajifanya Muisrel mweusi naye anawaita Yemen magaidi.
 
Magaidi dawa yao kifo tu. Ningekuwa mimi ninge defuse mabomu yote halafu nawapelekea huko Yemen vife vyote.
 
Magaidi dawa yao kifo tu. Ningekuwa mimi ninge defuse mabomu yote halafu nawapelekea huko Yemen vife vyote.
Kwenu hamna mtu aliyekufa? Au wewe utaishi milee? Wote waliokufa ni magaidi daaah akili za matakoni hizo hatari sana.
 
Kwenu hamna mtu aliyekufa? Au wewe utaishi milee? Wote waliokufa ni magaidi daaah akili za matakoni hizo hatari sana.
Kwa hiyo wewe ndio gaidi.😛
 
Back
Top Bottom