ila waislan nan kawaroga ? mmekuw wajinga sana , hv huyo Iran plus shosti zake wa hapo mashariki wanaeza simama na USA ? hofu ya USA ni China na Russia tu , mkiona yupo kimya haimaanish hao mbuz wanaeza ongea akiwamuliaHapo marekani hawezi hata kuww karibu kwa kuwa anajua kitakacho moata costal yote ya bahari hawwzi hata kunusa
kwahiyo sasa Iran anasingiziw kufadhiri ugaidi wa houth ?Marekani na Uingereza wapuuzi sana walosema iraq ina silaha za sumu wakiachiwa hata mwezi wanaangamiza dunia wakaivamia Iraq na kumuwa Saddam Hussein, bure na silaha hazikupatikana.
nyie wakimbiz wa kiislam ndo mnapeleka fujo huko USA hamnaga shukran nyieKuna siku raia wa Marekani watakuw wakimbizi ktk mitaa ya Manzese. Hii dunia yupo mwenye alieiumba
leo hamuwaamin wkt siku kadhaa ulikuwa unawasifia wahouth , hv waislam nan kawaroga asee ? mnaa akili ndogo sanaWamarekani na mazayuni siwaamini kwa chochote wanachosema.
Wanajitafutia uhalali tu wakuwauwa Wayemeni ili waisike vizuri mifereji na njia za mafuta wakati wa Yemeni hawakuuwa hata mtu mmoja, wao wanazuia meli zinazokwenda kusaidia Wapalestina tu kuuliwa.
Wamarekani ni mashetani wasioaminika, hao hawakupendi mpaka uwe shoga mwenzao. Na hata ukikubali kuwa shoga mwenzao bado watataka wao tu ndiyo wakuoe.
Hata iwe ni ukweli, wao wanapeleka silaha ngapi kila siku, mzayuni auwe Wapalestina?
Siraha mbona zinawfikia vizuri sana israel hata shinda .ukiongea hivi unakuwa sawa ni vita ya kuchukua ardhi kionezi usilete dini.Wamarekani na mazayuni siwaamini kwa chochote wanachosema.
Wanajitafutia uhalali tu wakuwauwa Wayemeni ili waisike vizuri mifereji na njia za mafuta wakati wa Yemeni hawakuuwa hata mtu mmoja, wao wanazuia meli zinazokwenda kusaidia Wapalestina tu kuuliwa.
Wamarekani ni mashetani wasioaminika, hao hawakupendi mpaka uwe shoga mwenzao. Na hata ukikubali kuwa shoga mwenzao bado watataka wao tu ndiyo wakuoe.
Hata iwe ni ukweli, wao wanapeleka silaha ngapi kila siku, mzayuni auwe Wapalestina?
Naona wamepiga missile Yemen kumtishia muiran kuwa they mean bussines nayeye muiran kapiga precise guided missile 1200km na bila kumiss kuwaonyesha kama mkileta vita hapa kwetu miji yenu itachapika kwa kuwa hizo missile zikiwa kwenye meli au submarine hakuna namna miji ya UK itasalimika kama atapeleka mtiti kwa wairan hiiJeshi la Wanamaji la Marekani limeripoti kwamba limekamata silaha zilizotumwa na Iran kuwapa waasi wa Houthi wa Yemen wiki iliyopita.
Jeshi la Marekani (CENTCOM) lilitangaza katika taarifa siku ya Jumanne kwamba Seals wa Jeshi la Wanamaji la Marekani walipata silaha hizo wakati wa shambulio la usiku kwenye meli katika Bahari ya Arabia mnamo Januari 11.
Iran imekanusha kuwa na uhusiano wowote na kampeni ya mashambulizi ya Wahouthi katika Bahari Nyekundu ambayo yamevuruga biashara ya kimataifa.
---
The US Navy has reported that it seized weapons sent by Iran to resupply Yemen’s Houthi rebels last week.
The United States Central Command (CENTCOM) announced in a statement on Tuesday that US Navy Seals found the arms during a night-time raid on a ship in the Arabian Sea on January 11. Iran has denied any link to the Houthis’ campaign of attacks in the Red Sea, which have disrupted global trade.
The raid on a dhow near the coast of Somalia last week uncovered “lethal” advanced conventional weapons, the statement said. The Iranian-made ballistic missiles and cruise missile components were seized by the US forces.
The seizure comes at a time of rising violence in the region linked to Israel’s war on Gaza. The Houthis, who control most of Yemen’s Red Sea coast, have been attacking commercial ships that they say are linked to Israel or bound for Israeli ports. Launched in November, the offensive is, according to the Yemeni group, intended as defence of Palestinians.
Al Jazeera
Unashangaza sana umekuwa mjinga kiasi hicho propaganda za kipuuzi unakuja nazo hapa eti Yemen magaid.kwahiyo sasa Iran anasingiziw kufadhiri ugaidi wa houth ?
Kwenu hamna mtu aliyekufa? Au wewe utaishi milee? Wote waliokufa ni magaidi daaah akili za matakoni hizo hatari sana.Magaidi dawa yao kifo tu. Ningekuwa mimi ninge defuse mabomu yote halafu nawapelekea huko Yemen vife vyote.
Kwa hiyo wewe ndio gaidi.😛Kwenu hamna mtu aliyekufa? Au wewe utaishi milee? Wote waliokufa ni magaidi daaah akili za matakoni hizo hatari sana.
UmenichekeshaWamarekani ni mashetani wasioaminika, hao hawakupendi mpaka uwe shoga mwenzao. Na hata ukikubali kuwa shoga mwenzao bado watataka wao tu ndiyo wakuoe. Hapo😂