Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana rais Samia ingawa gaidi mbowe anafanya kila njia kukuchafua
Hizo chanjo wachanjwe chadema wote kwanza.
Huwa huna Jema, ulipiga chapuo chanjo ikubaliwe tz, leo imekubaliwa ikaletwa; leo unaipinga! Kweli huna Jema nchi hiiCCM ni laana!
Upupu mtupuSafi sana rais Samia ingawa gaidi mbowe anafanya kila njia kukuchafua
Hizo chanjo wachanjwe chadema wote kwan
Nazijua vizuri tu.Ila ndio hivyo.Rafiki zangu ni wa huko na wameshachanjwa Pfizer.Hawanishauri kabisa hiyo Johnson&Johnson.Fanya uchunguzi utajua sababu.Utakuwa unadanganya. USA zinatumika aina tatu Pfizer, Moderna na hii Johnson
Gaidi kashavunjwa goti ukoCCM ni laana!
HahaahahhahHii chanjo wangeanza wanaccm kwanza wengine ndo tufuate wakianzia wabunge
Waswahili wanasema, ukiwa mjanja sana jitahidi usiwe limbukeni. Serikali ya Wanyonge walijifanya hawataki Chanjo, sasa ubishi wao wamejikuta wanapokea Chanjo ambayo nchi nyingine kama US waliipiga marufuku.
ujanja mwingi kumbe hamna kitu
View attachment 1868000
View attachment 1868001
View attachment 1868002
Daaaah what are we going to do???Magaidi Chadema wakipokea Chanjo ya Johnson & Johnson
View attachment 1868016
View attachment 1868017
View attachment 1868019
Waswahili wanasema, ukiwa mjanja sana jitahidi usiwe limbukeni. Serikali ya Wanyonge walijifanya hawataki Chanjo, sasa ubishi wao wamejikuta wanapokea Chanjo ambayo nchi nyingine kama US waliipiga marufuku.
ujanja mwingi kumbe hamna kitu
View attachment 1868000
View attachment 1868001
View attachment 1868002
Leo hii hamuwaamini tena wazungu? Maana kama wangetaka kuwaua wangekuwa wamewaua tangu zamani tu, kwahiyo kwavyovyote vile hiyo chanjo itakuwa salama tu, 😂...Au mmebadili mtazamo baada ya chanjo kuingia?Kwa maelezo haya hata mm nitasubiri nyingine
Safi sana rais Samia ingawa gaidi mbowe anafanya kila njia kukuchafua
Hizo chanjo wachanjwe chadema wote kwanza.
Hehe nilipata moderna niliumwa acha tu .Personal I don’t advice mtu kupata vaccine too much politics na once Chanzo zikikaa kibiashara .Huyo Dr Fauci disaster .your talking about government here .Halafu is not approved by FDA Unajua ni trialAcha uongo wako wewe! Chanjo ya Johnson & Johnson haijapigwa marufuku Marekani.
Uzushi uzushi tu ndo mliobaki nao.
Sasa Kwa nini hawataki kuchunguza chanzo cha covid ??Because they saw people getting blood clots after getting the J&J. They looked at the data and found it was an extremely rare side effect. They ran the numbers and saw that it was much safer to take the J&J than remain unvaccinated. They knew that we don't have enough mRNA vax for everyone. Also the J&J requires less cooling so it's the only option in many rural areas. So it was obvious that the right thing to do would be to unsuspend it. It definitely saved a lot of lives as the data we have now shows that 95%+ of COVID-19 deaths are unvaccinated in the US.
Waswahili wanasema, ukiwa mjanja sana jitahidi usiwe limbukeni. Serikali ya Wanyonge walijifanya hawataki Chanjo, sasa ubishi wao wamejikuta wanapokea Chanjo ambayo nchi nyingine kama US waliipiga marufuku.
ujanja mwingi kumbe hamna kitu
View attachment 1868000
View attachment 1868001
View attachment 1868002