Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Sijaona popote hapo kwenye hiyo link yako panaposema hiyo chanjo imepigwa marufuku Marekani!Johnson & Johnson Vaccine Could Raise Risk For Rare Neurological Disorder, FDA To Warn
This is the latest setback for the J&J vaccine when it comes to U.S. regulators.www.forbes.com
Hiyo mimba changa inakusumbua Sana... KULA SANA NDIMU NA UDONGO...Safi sana rais Samia ingawa gaidi mbowe anafanya kila njia kukuchafua
Hizo chanjo wachanjwe chadema wote kwanza.
SawaIlisitiswa kwa muda kupisha uchunguzi, ikaruhusiwa tena. Acha propaganda.
SawaSijaona popote hapo kwenye hiyo link yako panaposema hiyo chanjo imepigwa marufuku Marekani!
Hiyo chanjo haijapigwa marufuku Marekani.Weka ukweli, mbona makasiriko??
Mkuu wewe ni moja kati ya watu huwa nawa admire sana humu jamvini kwa hoja makini.Waswahili wanasema, ukiwa mjanja sana jitahidi usiwe limbukeni. Serikali ya Wanyonge walijifanya hawataki Chanjo, sasa ubishi wao wamejikuta wanapokea Chanjo ambayo nchi nyingine kama US waliipiga marufuku.
ujanja mwingi kumbe hamna kitu
View attachment 1868000
View attachment 1868001
View attachment 1868002
Shukrani sana Mkuu. Tuendelee kuwa pamojaMkuu wewe ni moja kati ya watu huwa nawa admire sana humu jamvini kwa hoja makini.
Ila kwa hili umepotoka pakubwa
Kwaiyo haisabibishi tena blood clots?
Yaani weee kila kitu ni mbowe tu, sasa hii habari , Mbowe anahusika vipi?!!huyo Gwajima ni chadema!!yaani akili za viumbe weusi bwana ni tabu tupu una kuwa kama roboti kuwa umesetiwa kuwa kila ukionacho ni mbowe tu, hadi usetiwe tena?!hata saa mbovu wakati mwingine inapatia majira!!Safi sana rais Samia ingawa gaidi mbowe anafanya kila njia kukuchafua
Hizo chanjo wachanjwe chadema wote kwanza.
Una uhakika mkuu?Weka ukweli, mbona makasiriko??
Ingawa mimi si muumini wa chanjo yoyote, ila siku si nyingi mkuu wako alishauri eti chanjo iwe lazima na hata baadhi ya BAVICHA huwa wanadai chanjo ziletwe wao wakachanje maana wao sio Sukuma Gang. Chanjo zimeletwa mnaiponda tena CCM,nikuulize sasa mnataka chanjo au hamtaki? Na kama mnataka nendeni mkachanje maadam zimetoka kwa mabwana wenu mnaowaamini kwa kila kitu.Waswahili wanasema, ukiwa mjanja sana jitahidi usiwe limbukeni. Serikali ya Wanyonge walijifanya hawataki Chanjo, sasa ubishi wao wamejikuta wanapokea Chanjo ambayo nchi nyingine kama US waliipiga marufuku.
ujanja mwingi kumbe hamna kitu
View attachment 1868000
View attachment 1868001
View attachment 1868002
PengineUna uhakika mkuu?
Ujue post moja inaweza kusababisha kifo?
Jiridhishe kabla hujapost tuweke siasa kwenye maisha
SijuiKwa hiyo kama mimi sili dagaa, siruhusiwi kutoa zawadi ya dagaa kwa mtu anaehitaji.
HongeraNina rafiki zangu wamarekani wamekuja hapa two weeks ago kikazi.Wao walishachanjwa huko kwao.
Nimewaambia kuhusu hii chanjo ya Johnson wametahamaki vibaya na wameniambia nisithubutu kusogeza bega langu!Nisubiri chanjo nyingine.Mimi nimeamua kuwasikiliza.Sichwanjwi Johnson &Jonhson
Walianza na kupima mapapai na mbuzi, wakaja na nyungu, wakaja na mapapai sasa wako na VaccineWaswahili wanasema, ukiwa mjanja sana jitahidi usiwe limbukeni. Serikali ya Wanyonge walijifanya hawataki Chanjo, sasa ubishi wao wamejikuta wanapokea Chanjo ambayo nchi nyingine kama US waliipiga marufuku.
ujanja mwingi kumbe hamna kitu
View attachment 1868000
View attachment 1868001
View attachment 1868002
AiseeeeeIngawa mimi si muumini wa chanjo yoyote, ila siku si nyingi mkuu wako alishauri eti chanjo iwe lazima na hata baadhi ya BAVICHA huwa wanadai chanjo ziletwe wao wakachanje maana wao sio Sukuma Gang. Chanjo zimeletwa mnaiponda tena CCM,nikuulize sasa mnataka chanjo au hamtaki? Na kama mnataka nendeni mkachanje maadam zimetoka kwa mabwana wenu mnaowaamini kwa kila kitu.
Mtu mzima hovyo kabisa. Watu wanachanja hiyo chanjo kila siku na wewe unaandika mataputapu ya kuokoteza hapa?Weka ukweli, mbona makasiriko??
HaahaahahahaWalianza na kupima mapapai na mbuzi, wakaja na nyungu, wakaja na mapapai sasa wako na Vaccine
Wanahaha