johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Sunak alikuwa Ukraine jana kupeleka misaadaUkraine imetelekezwa kwa muda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sunak alikuwa Ukraine jana kupeleka misaadaUkraine imetelekezwa kwa muda
Tushazizoea hizo kauli toka 79.Ok; that's what I advised them! Safari hii atasema maana huo moto anaoandaliwa sio wa kitoto!
Sawa sheh yahya kuanzia lini tutaanza kuuona huo moto [emoji848]Ok; that's what I advised them! Safari hii atasema maana huo moto anaoandaliwa sio wa kitoto!
Poor u[emoji1] Sa America mbona kelele nyingi we pitisha meli hapo Red Sea mimi naona America kama mbwa koko kazi kubweka tu.
Ameanza vizuri kapiga Yemen, sa siaendelee tu, kwani alipo ambiwa kwanza Yemen ukienda kichwa kichwa utajikuta huna kichwa si alijifanya nunda.
S a kelele za nini tunataka apitishe meli zilizo kwama Djibouti kama Yeye ni Mwanaume.