Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Huo uwezo hana ndio atume drones za kunyunyizia dawa😂😂Kwani kwa nini Israel haipigi Iran!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo uwezo hana ndio atume drones za kunyunyizia dawa😂😂Kwani kwa nini Israel haipigi Iran!?
Aisee!!!Huo uwezo hana ndio atume drones za kunyunyizia dawa😂😂
Hawana wanachoweza kwanza kuna maandamano ..Aisee!!!
Hadi huku propaganda zinasaidia vita ya kule!?
Kwamba sasa dunia ni sehemu salama ? Au dunia kwako wewe ni chumbani kwako tu unapo lala ?Pamoja na mabaya yake, ila bila USA hii dunia pasingekuwa sehemu salama.
Marekani ndio muharibifu wa kwanza katika dunia hii na ipo siku ubabe wake utakwisha na wananchi wake watafedheheka sanaPamoja na mabaya yake, ila bila USA hii dunia pasingekuwa sehemu salama.
Wavaa makobazi hamuwezi kunielewa 😂Kwamba sasa dunia ni sehemu salama ? Au dunia kwako wewe ni chumbani kwako tu unapo lala ?
Wavaa makobazi hamuwezi kunielewa 😂Marekani ndio muharibifu wa kwanza katika dunia hii na ipo siku ubabe wake utakwisha na wananchi wake watafedheheka sana
Na wewe mlaaniwa "mbeba msalaba" huwezi kunielewa. Crusaders na jews wanajua kuwa hakuna utawala tishio kama utawala wa kiislamu hapa duniani. Kwasasa hakuna taifa la kiislam kwasababu watawala wa hizi ardhi za waislam wameitupa Quran nyuma ya migongo yao na kuamua kuwa vibaraka wa crusaders na jews.Wavaa makobazi hamuwezi kunielewa 😂
Hujui maana ya hypersonic ila umesikia jina tuHypersonic isha mshinda
😂😂 Bado hujasemaNa wewe mlaaniwa "mbeba msalaba" huwezi kunielewa. Crusaders na jews wanajua kuwa hakuna utawala tishio kama utawala wa kiislamu hapa duniani. Kwasasa hakuna taifa la kiislam kwasababu watawala wa hizi ardhi za waislam wameitupa Quran nyuma ya migongo yao na kuamua kuwa vibaraka wa crusaders na jews.
Ila ogopa sana siku utakapoona waislam wamerudi kushikamana na Quran. Hizo tawala zenu za kizayuni zitaanguka kama zilivyoanguka dola za Roma na persia.
Uislam ulitawala iberian peninsula ( hispania na ureno) na kufika mpaka china. Na ipo siku Uislam utarudi tena kuitawala hii dunia.
Hata wakati technology ya Nyukilia, wapo waliohoji kama wewe Mkuu, lakini ni kweli kwamba nyukilia ilikuwa imeshaundwa kwelikweliWakizima nyuklia za Mrusi, Kiduku na Irani naomba mni-tag ili niwaamini Wamarekani.
Hayo ni maneno kata kwenye kanga yapo ikiwa yeye ni kidume amwambie demu wake alianzisheMarekani imeandaa makombora ya microwave ambayo yanaweza kuzima mitambo ya nyuklia ya Iran, Mary Lou Robinson, mkuu wa zamani wa Kitengo cha Microwave cha Jeshi la Anga la Marekani amethibitisha kwa DailyMail.com kwamba makombora hayo "yako tayari kulenga shabaha yoyote ya kijeshi, pamoja na vifaa vya nyuklia."
![]()
Report: US deployed microwave missiles that can disable Iran's nuclear facilities
According to an exclusive report from DailyMail.com, the US Air Force has quietly deployed a new type of missilewww.israelhayom.com
Hilo ni la msingi sana. Inaonekana huku mitandaoni kuna silaha nyingi na kali sana zaidi ya zile zilizopo katika uhalisia wake.UFANISI wa Silaha sio Mitandaoni bali ktk ground, jiulize ziliwahi tumika wapi kwa majaribio na kuonyesha ufanisi
?
Kwanini IranNashauri yafanyiwe majaribio Iran ili tuamini kama ni kweli yanafanya kazi
Duh! Kazi gani mkuu?Nashauri yafanyiwe majaribio Iran ili tuamini kama ni kweli yanafanya kazi
Tulia magaidi Iran yadhibitiwe.Kwahyo hayo makombora yatakuwa yamelundikwa sehemu moja