Marekani yaunda makombora ya kisasa yanayoweza kuangamiza silaha za nyuklia hata chini ya ardhi

Marekani achana nayo kabisa hao jaamaa ni nyoko.
 
Ukraine kumemshinda anakimbilia iran
 
Ukraine kumemshinda anakimbilia iran
Ukraine ndio silaha zinataka kuanza kumiminika tena na safari hii hivi vita vya kijinga vya dikteta Putin lazima kieleweke.
 
Pamoja na mabaya yake, ila bila USA hii dunia pasingekuwa sehemu salama.
Palikua sehemu salama kabla ya anguko la Soviet,baada ya hapo ni Vita sierra Leon,Angola,Rwanda, Burundi,Iraq &Iran,Libya, Afghanistan,Iraq, Somalia..na ugaidi wa kwenda
 
na sisi iran mda c mrefu tutatengeneza dawa iyo kitu...ili tu mission yetu ya kutokomeza ushoga duniani itimie
 
Military industrial complex....

T14 Armata
 
Israel atapambana auziwe ili ayatumie dhidi ya Iran.
 
Ndoto za mchana hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…