Marekani yaunda makombora ya kisasa yanayoweza kuangamiza silaha za nyuklia hata chini ya ardhi

Uwepo wa watu kama wewe ndo sababu waafrika tunaendelea kuwa watumwa wa wazungu
.........Sio wazungu tu hata waarabu vilevile maanake tunahusudu utamaduni wao hadi mavazi na hata majina tunatumia ya kwao hadi kusalimiana tunatumia lugha yao.

Kweli uko sahihi kabisa waafrika tunaendelea kuwa watumwa wa wageni. I love 💕 your comment.
 
na sisi iran mda c mrefu tutatengeneza dawa iyo kitu...ili tu mission yetu ya kutokomeza ushoga duniani itimie
Ushoga hautokomezwi kwa silaha ila inaweza kutokomezwa kwa waafrika kuachana na kufuata tamaduni feki za kigeni na kurejea kwenye utamaduni wetu wa jadi. Period.
 
Ukraine kumemshinda anakimbilia iran
Ukraine ndio sasa mziki unarejea tena upya na Russia ameanza tena kutishia watu nyau na nyuklia anafikiri nani hana hiyo nyuklia.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…