mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Sasa mbona nyinyi hakuna wazungu mnaowadharau mnafeli wapi?Dunia hii huwa tunaonana takataka kulingana na hadhi yako kiuchumi, ukiwa maskini unadharauliwa tu, uwe mzungu au mweusi, hata wazungu kunao huonwa wa hovyoo, na huku pia nchi yako ikiwa nyumi kiuchumi tunaidharau.....