Marekani yawaonya Raia kwenda Kenya sababu ya COVD19

Marekani yawaonya Raia kwenda Kenya sababu ya COVD19

Kenya tungekua na akili finyu kama zile za jiwe tungeban ndege za US kutua Kenya sababu Trump ameban Kenya kwenda US [emoji23][emoji23]
Danganyika ni kituko cha nchi.
Usiwe mjinga!

Sisi balozi wao alikuwa anatoa taarifa kama hizo wakati sisi tumeshasema hatuna corona, yeye akaendelea tu kutoa taarifa, ikabidi tumwite wizara ya mambo ya ndani kujieleza! Haya nyie mna ubavu wa kumvimbia beberu namna hiyo?
 
Si ndo nyie mlikuwa mnasema Tanzania tunakufa kama kuku leo umesahau?.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app

Hatujui mnavyokufa maana mlishaficha hamtaki kusema, ila corona haiui wengi Afrika kama Ulaya, vifo vya huku vinafichika, haswa kwa waliojichokea kwenye umaskini kama nyie.
 
420 wachache?

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app

Afrika unaweza hata ukaficha vifo 10,000 haswa kwa taifa la kiujamaa kule ambapo huwa hamna mwenye jeuri ya kuhoji, wote mumeshikiliwa ubongo.

Tungetaka kuficha hao 420 haingekua kazi ngumu maana ni kwa miezi yote tangu corona ianze kutupiga, ila kwa namna Wakenya tulivyo, hauwezi ukaficha, sisi tunakuumbua.
 
[emoji16][emoji16][emoji16].mbona nyie mnashindwa kuficha kama ni rahisi?

Mlituma hadi waandishi wenu wa habari kuja kutuchunguza Ila MUNGU alikuwa upande wetu.

Sisi mliotuona ni wazamani tumefaulu ila nyie wa kisasa namba inapaa.

Mrudieni MUNGU.
Hatujui mnavyokufa maana mlishaficha hamtaki kusema, ila corona haiui wengi Afrika kama Ulaya, vifo vya huku vinafichika, haswa kwa waliojichokea kwenye umaskini kama nyie.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Na sisi ndo tunavyopenda mzidi kutangaza vifo vya corona tuone mwisho wenu utakuwa je
Afrika unaweza hata ukaficha vifo 10,000 haswa kwa taifa la kiujamaa kule ambapo huwa hamna mwenye jeuri ya kuhoji, wote mumeshikiliwa ubongo.
Tungetaka kuficha hao 420 haingekua kazi ngumu maana ni kwa miezi yote tangu corona ianze kutupiga, ila kwa namna Wakenya tulivyo, hauwezi ukaficha, sisi tunakuumbua.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16].mbona nyie mnashindwa kuficha kama ni rahisi.?.
Mlituma hadi waandishi wenu wa habari kuja kutuchunguza Ila MUNGU alikuwa upande wetu..
Sisi mliotuona ni wazamani tumefaulu ila nyie wa kisasa namba inapaa.
Mrudieni MUNGU.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app

Hatuwezi tukaficha maana Wakenya sio maboya wakushikiliwa akili, tungemvuruga sana rais akithubutu. Tunataka tuambiwe kama ilivyo, ujamaa wenu huo ni laana.
 
Na sisi ndo tunavyopenda mzidi kutangaza vifo vya corona tuone mwisho wenu utakuwa je

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app

Vifo vyetu hatutangazii Watanzania, tunavitangaza maana sisi sio mifugo kwamba watu waachwe wateseke ndani kwa ndani na kujifia, aisei ujamaa...
 
MATAAGA bhana... mkiambiwa nothing personal, taarifa kama hiyo US huwa wanatoa dhidi ya mataifa wanayoona kuna walakini wa kiusalama, huwa mnadai Mabeberu wanawaonea wivu!!!!

Taarifa sawa na hiyo imetolewa vile vile dhidi ya Tanzania; sasa kinachowafurahisha hapa sijui ni nini!!
 
Sisi huku tuna enjoy tu.
Hauwezi kusikia habari za corona.
Ndo tofauti yetu na ninyi..
Hatuwezi tukaficha maana Wakenya sio maboya wakushikiliwa akili, tungemvuruga sana rais akithubutu. Tunataka tuambiwe kama ilivyo, ujamaa wenu huo ni laana.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Hatuwezi tukaficha maana Wakenya sio maboya wakushikiliwa akili, tungemvuruga sana rais akithubutu. Tunataka tuambiwe kama ilivyo, ujamaa wenu huo ni laana.
yaani wakenya sijui mlilogwa na nani, sisi watz ni bora tuwatii viongozi wetu tulowapa dhamana kuliko kuendeshwa na mabeberu ambao kila walifanyalo huangalia maslah mbele

hujiulizi mbona china waliidhibiti corona bila msaada wa nchi yoyote, je ninyi kama taifa huru kipi kinawafanya mshindwe kulidhibiti janga mpaka muwasubir waume zenu mabeberu
 
Wako sahihi, maana sisi hatufichi hali ya corona kwetu na hautasikia tukilialia na kujichokea kama Watanzania kila tukitajwa, yeyote anayekuja kwetu afahamu namba zetu za waathirika zimepandisha na huwa tunazitaja bila uwoga. Hatua za kwanza na muhimu kwenye kupambana na huu ugonjwa ni kuondoa uwoga na kukumbana nawo, kupima na kujua hali yako na kuitolea taarifa pia.
Mkuu, mnapambana na corona au mnapambana na kitu kingine? Mbona maambukizi hayashuki sasa?
 
Corona haiui sana Afrika, hata huku kwetu miezi yote hii tuna vifo vichache sana ukilinganisha na uzunguni au uarabuni wanakokufa kwa maelfu, hiyo Dar ina watu milioni sita, mkifa watu kumi kwa mwezi kisa corona vinafichika virahisi tu, maana ukizingatia nyote mumeufyata hata ndugu yako akifa kwa corona hauwezi ukaitangaza mnaifanya siri ya ndani la sivyo utatukanwa sana na Watanzania haswa walio mlengo wa serikali.
Sasa kama haiui sana Africa mbona mnaiogopa sana??
 
Sasa kama haiui sana Africa mbona mnaiogopa sana??

Hatuiogopi ila tunachukua tahadhari, muhimu kwanza ni kupima na kujua hali kisha kuchukua hatua, wanaiogopa ni wale wanaficha na kuogopa hata kuitaja ilivyo ndani yao, hususan nyie watu.
 
Ni upumbavu wenu tu...unazuia jirani kuja kwako kisa ugonjwa halafu wewe unakwenda kwa nyumba yake kufuata nini sasa?
Hapa Songea kuna wimbi la wakenya wanaonunua mahindi kuleta huko Kenya kwa nini serikali yenu isiwazuie kuja ama kurudi humo?
Watoeni nduki huko
 
Wakenya bana..[emoji1]

Eti Tanzania hakuna kuna kwetu mna corona, USA tuu ndio wanakaribishwa..

Ona sasa hao usa wamekataa kuja kwenu kwa sababu mna corona..[emoji1][emoji111][emoji39]

Wakenya wakisubiri ndege za merekani zilete watalii[emoji1]
 
Back
Top Bottom