Marekani yawaonya Raia kwenda Kenya sababu ya COVD19

Marekani yawaonya Raia kwenda Kenya sababu ya COVD19

MATAAGA bhana... mkiambiwa nothing personal, taarifa kama hiyo US huwa wanatoa dhidi ya mataifa wanayoona kuna walakini wa kiusalama, huwa mnadai Mabeberu wanawaonea wivu!!!!

Taarifa sawa na hiyo imetolewa vile vile dhidi ya Tanzania; sasa kinachowafurahisha hapa sijui ni nini!!
wewe ni mgeni jukwaa hili.

Tuache na wakenya wetu tunaelewana nao sana. ndio maana jibu lako halilingani na ya kwao.

Hayo mambo ya MATAGA na BAVICHA hapa sio mahala pake.
 
wewe ni mgeni jukwaa hili.

tuache na wakenya wetu tunaelewana nao sana. ndio maana jibu lako halilingani na ya kwao.

hayo mambo ya MATAGA na BAVICHA hapa sio mahala pake.
You're very funny, eti ni mgeni wa jukwaa hili!

FYI, hao akina MK254 back in the days nishatowana nao sana nishai lakini siku hizi najizuia kupita huku kwa sababu MATAGA huwa mnaandika mambo ambayo sie wengine tunaoweka maslahi ya nchi mbele, yanatufanya tuwe kwenye wakati mgumu kwa sababu tukiwa-challenge itakuwa ni kama tunajiumbua wenyewe na tukiyaunga mkono itakuwa ni kama tunasimama pamoja na manyang'au; na kwahiyo tunaamua kukaa kimya!!!!
 
You're very funny... eti ni mgeni wa jukwaa hili!

FYI, hao akina MK254 back in the days nishatowana nao sana nishai lakini siku hizi najizuia kupita huku kwa sababu MATAGA huwa mnaandika mambo ambayo sie wengine tunaoweka maslahi ya nchi mbele, yanatufanya tuwe kwenye wakati mgumu kwa sababu tukiwa-challenge itakuwa ni kama tunajiumbua wenyewe na tukiyaunga mkono itakuwa ni kama tunasimama pamoja na manyang'au; na kwahiyo tunaamua kukaa kimya!!!!
ahaa kwahiyo tatizo lako ni hilo?

embu utuambie katika hili tunakosea nini kuwacheka wakenya. sisi tukipigwa hiyo hazard ni kwa sababu hatuchukui hatua(kutangaza). wao wanwpigwa hazard kwa sababu ya nini?

nakukumbusha(MATAGA) ni zimwi lililoko kichwani kwako halipo kiuhalisia hapa.
 
ahaa kwahiyo tatizo lako ni hilo???

embu utuambie katika hili tunakosea nini kuwacheka wakenya. sisi tukipigwa hiyo hazard ni kwa sababu hatuchukui hatua(kutangaza). wao wanwpigwa hazard kwa sababu ya nini???

nakukumbusha(MATAGA) ni zimwi lililoko kichwani kwako halipo kiuhalisia hapa.
Nimesema mnakosea au nimesema ndo mjue kwamba don't take it personal US wanapotoa alerts kama hizo dhidi ya TZ kwa sababu mmezoea mkiona taarifa kama hizo dhidi ya Tanzania, watu huwa mnakuja juu na kudai kwamba "Mabeberu wanawaonea wivu"!!

Ndo maana nimesema taarifa kama hiyo US huwa wanatoa dhidi ya mataifa mbalimbali ili kuwatahadhalisha wananchi wao! Hata ukiingia kwenye tovuti ya Department of States, kuna taarifa kama hiyo dhidi ya Tanzania!

So, issue sio kuchukua au kutochukua hatua bali wao huwa wanatoa alert mara kwa mara kwa dunia mzima. Hata ukiingia nadhani kwenye tovuti ya CDC au hiyo hiyo ya Department of States, utakuta wamegawa nchi kwenye makundi 3... both Tanzania and Kenya wameziweka kwenye Level 3 (more than 500 cases) ; yaani High Risk!!

Na hiyo hazard uliyoitaja, wao wanaangalia level of infection and the ability of health services kwa nchi husika kuweza kukabiliana na janga!
 
Nimesema mnakosea au nimesema ndo mjue kwamba don't take it personal US wanapotoa alerts kama hizo dhidi ya TZ kwa sababu mmezoea mkiona taarifa kama hizo dhidi ya Tanzania, watu huwa mnakuja juu na kudai kwamba "Mabeberu wanawaonea wivu"!!

Ndo maana nimesema taarifa kama hiyo US huwa wanatoa dhidi ya mataifa mbalimbali ili kuwatahadhalisha wananchi wao! Hata ukiingia kwenye tovuti ya Department of States, kuna taarifa kama hiyo dhidi ya Tanzania!

So, issue sio kuchukua au kutochukua hatua bali wao huwa wanatoa alert mara kwa mara kwa dunia mzima. Hata ukiingia nadhani kwenye tovuti ya CDC au hiyo hiyo ya Department of States, utakuta wamegawa nchi kwenye makundi 3... both Tanzania and Kenya wameziweka kwenye Level 3 (more than 500 cases) ; yaani High Risk!!

Na hiyo hazard uliyoitaja, wao wanaangalia level of infection and the ability of health services kwa nchi husika kuweza kukabiliana na janga!
tuigeukie US kama US sasa.

Inaongoza kwa vifo duniani mpaka sasa.inapata wapi ujasiri wa kushukia nchi kama tz kwa tahadhari ya covid 19?
maana hiyo ndio huwa hoja yetu siku zote kama huwa huioni.
 
tuigeukie US kama US sasa.

inaongoza kwa vifo duniani mpaka sasa.inapata wapi ujasiri wa kushukia nchi kama tz kwa tahadhari ya covid 19???
maana hiyo ndio huwa hoja yetu siku zote kama huwa huioni.
Ndo maana nimesema you're taking it too personal! Yaani kwavile kwao ndo kuna maambukizi na vifo vingi zaidi ndo ulitaka wasitoe tahadhali kwa wananchi wao wanaotaka kusafiri nje ya nchi?

All in all, US hawashutumu nchi yoyote kuwa na COVID-19 bali wanachofanya wao ni kutoa updates kwa wananchi wao wanaotarajia kusafiri nje ya US kwamba "nchi xyz, status ipio hivi, na nchi abcd, status ipo vile so, kama mnataka kusafiri, bear that in mind..."! Sasa tatizo lipo wapi hapo?!

Na wanachofanya US kimsingi ndicho kinatakiwa kufanywa na nchi yoyote inayojali wananchi wake, including TZ!

Usisahau, US hawaoni taabu kutuma Special Force kwenda kumuokoa Mmarekani mmoja tu anayeshikiliwa na watekaji nje ya US!!Sasa kwa taifa ambalo lipo tayari kutuma kikosi maalumu kumuokoa mwananchi wao, utashangaa wakitoa tahadhali kama hiyo?!

Na US hawafanyi hivi kwenye issues za COVID-19 peke yake, kwa miaka kadhaa wamekuwa wakitoa similar alerts kwa nchi wanazoamini kuna vitisho mbalimbali kama vile vya kigaidi!! Tena kwa KE hizo alerts hivi sasa wameshazizoea kwa sababu US wamekuwa wakitoa alerts kama hizo dhidi ya KE for years now, and subject matter ikiwa vitisho vya ugaidi!!
 
Ndo maana nimesema you're taking it too personal! Yaani kwavile kwao ndo kuna maambukizi na vifo vingi zaidi ndo ulitaka wasitoe tahadhali kwa wananchi wao wanaotaka kusafiri nje ya nchi?

All in all, US hawashutumu nchi yoyote kuwa na COVID-19 bali wanachofanya wao ni kutoa updates kwa wananchi wao wanaotarajia kusafiri nje ya US kwamba "nchi xyz, status ipio hivi, na nchi abcd, status ipo vile so, kama mnataka kusafiri, bear that in mind..."! Sasa tatizo lipo wapi hapo?!

Na wanachofanya US kimsingi ndicho kinatakiwa kufanywa na nchi yoyote inayojali wananchi wake, including TZ!

Usisahau, US hawaoni taabu kutuma Special Force kwenda kumuokoa Mmarekani mmoja tu anayeshikiliwa na watekaji nje ya US!!Sasa kwa taifa ambalo lipo tayari kutuma kikosi maalumu kumuokoa mwananchi wao, utashangaa wakitoa tahadhali kama hiyo?!

Na US hawafanyi hivi kwenye issues za COVID-19 peke yake, kwa miaka kadhaa wamekuwa wakitoa similar alerts kwa nchi wanazoamini kuna vitisho mbalimbali kama vile vya kigaidi!! Tena kwa KE hizo alerts hivi sasa wameshazizoea kwa sababu US wamekuwa wakitoa alerts kama hizo dhidi ya KE for years now, and subject matter ikiwa vitisho vya ugaidi!!
Kwani US wanasemaje juu ya hali iliyopo tz sasa hivi?

Maana povu letu sisi halikuwa kwa haki ya US thidi ya raia wake, bali ukweli wa data anazotoa.
 
kwani US wanasemaje juu ya hali iliyopo tz sasa hivi??

maana povu letu sisi halikuwa kwa haki ya US thidi ya raia wake, bali ukweli wa data anazotoa.
Kama umenisoma vizuri mwanzoni nimesema US wamegawa nchi zote duniani from Level 1 (Low Risk) to Level 3 (High Risk).

Tanzania ipo kwenye Level 3; yaani High Risks. Na high risk countries ni zile zenye more than 500 Cases; na kama utakumbuka, hadi Tanzania tunaacha kutoa takwimu, final report ilionesha kuna 509 Cases!

Sasa kwani hizo 509 cases walizitoa US au tulizitoa sisi wenyewe?!
 
Hatuiogopi ila tunachukua tahadhari, muhimu kwanza ni kupima na kujua hali kisha kuchukua hatua, wanaiogopa ni wale wanaficha na kuogopa hata kuitaja ilivyo ndani yao, hususan nyie watu.
Hiv alshabab wamepotelea wap, watutandikie hawa watu.
 
Transparency ni moja ya characteristics za capitalist countries.. So wanatembelea reli yao sisi yetu tunatembelea nayo kichinachina
Serikali ya Marekani imewaonya raia wake kutotembelea Kenya Sababu ya ongezeko la wagonjwa wa Covd19 na hatari ya ugaidi kutokea.
Hii itakuwa pigo kubwa sana kwa sekta ya utalii ambapo Jana Waziri Balala na Rais Uhuru Kenyatta walizindua kampeni kababe ya kuvutia watalii kutembelea nchi hiyo.

Reconsider Travel to Kenya - US Embassy Advises
 
Wagonjwa wanafichika tena virahisi sana, kwanza kwa taifa la kiujamaa kama lenu ni rahisi sana maana wenyewe ndani kwa ndani hakuna mwenye jeuri ya kuhoji, huwa mnaishi kiutumwa.
Sasa mbona hata wspinzani tz hawachukui tahadhari yoyote juu ya korona ? ,hii inamaanisha hata wao wamekubali kuwa korona kwa tz imetii
 
Hatujui mnavyokufa maana mlishaficha hamtaki kusema, ila corona haiui wengi Afrika kama Ulaya, vifo vya huku vinafichika, haswa kwa waliojichokea kwenye umaskini kama nyie.
Hadi Leo mmesha kufa zaidi ya 1500 hizi ni habari za kweli kutoka ikulu ya Kenya sasa kama korona haiui sana jiachieni kama sisi kila kitu kirudi kama hakuna korona tuone kama amjafa 1000 kwa siku.
 
Hatujui mnavyokufa maana mlishaficha hamtaki kusema, ila corona haiui wengi Afrika kama Ulaya, vifo vya huku vinafichika, haswa kwa waliojichokea kwenye umaskini kama nyie.
Hadi Leo mmesha kufa zaidi ya 1500 hizi ni habari za kweli kutoka ikulu ya Kenya sasa kama korona haiui sana jiachieni kama sisi kila kitu kirudi kama hakuna korona tuone kama amjafa 1000 kwa siku.
 
MK254 njoo uone hii taarifa yenu ni nzuri msije kuwaambukiza waamerika corona yenu
FB_IMG_1597133182688.jpg
 
Wanakutumia Kama karai la kubebea zege! Wakimalizana mahitaji yao wanakubwaga[emoji134][emoji134]!
Mtu mweus kwa mtu mweupe anaonwa takataka..hata ajue kizungu vip.sasa mikenya inahis wazungu watawapenda kwa kuongea kizungu..wakenya wanahitaj ukomboz wa fikra..for a slave to speak proudly masters language..ni disgrace
 
Vifo vyetu hatutangazii Watanzania, tunavitangaza maana sisi sio mifugo kwamba watu waachwe wateseke ndani kwa ndani na kujifia, aisei ujamaa...
Mtu mweus kwa mtu mweupe anaonwa takataka..hata ajue kizungu vip.sasa mikenya inahis wazungu watawapenda kwa kuongea kizungu..wakenya wanahitaj ukomboz wa fikra..for a slave to speak proudly masters language..ni disgrace
 
Mtu mweus kwa mtu mweupe anaonwa takataka..hata ajue kizungu vip.sasa mikenya inahis wazungu watawapenda kwa kuongea kizungu..wakenya wanahitaj ukomboz wa fikra..for a slave to speak proudly masters language..ni disgrace

Dunia hii huwa tunaonana takataka kulingana na hadhi yako kiuchumi, ukiwa maskini unadharauliwa tu, uwe mzungu au mweusi, hata wazungu kunao huonwa wa hovyoo, na huku pia nchi yako ikiwa nyumi kiuchumi tunaidharau.
 
Dunia hii huwa tunaonana takataka kulingana na hadhi yako kiuchumi, ukiwa maskini unadharauliwa tu, uwe mzungu au mweusi, hata wazungu kunao huonwa wa hovyoo, na huku pia nchi yako ikiwa nyumi kiuchumi tunaidharau.....
Si kwel...nyie mnawapapatikia ngozi nyeupe sana..kama mmeweza kupapatikia lugha yake tu itakua hyo ngoz yake...wakenya mna matatizo kuhis nchi yenu ina hadh ya west, yaan mnajionaga wazungu wazungu.

west africa wamebadirika sasa wako proud na nchi zao na lugha zao..wakenya mmebak peke yenu mnaolamba miguu wazungu..mpaka lin mtakua independent...ingia kwenye list/ matabaka ya nchi maskin dunian.usipoiona kenya bas ntakubal..yaan east zote za east africa ni maskin wa kutupwa..kwahyo sielew mkenya unamchekaje mtz...wote rank moja...wote maskin wakutupwa...nyie bado mnalamba miguu..hata mifumo ya serikal zenu yaan mnaiga kila kitu...hadi mitaa mnaipa majina ya kizungu hiv nyie wakenya mna matatzo gan...mental slavery
 
Back
Top Bottom