Sasa mbona nyinyi hakuna wazungu mnaowadharau mnafeli wapi?Dunia hii huwa tunaonana takataka kulingana na hadhi yako kiuchumi, ukiwa maskini unadharauliwa tu, uwe mzungu au mweusi, hata wazungu kunao huonwa wa hovyoo, na huku pia nchi yako ikiwa nyumi kiuchumi tunaidharau.....
Si kwel...nyie mnawapapatikia ngozi nyeupe sana..kama mmeweza kupapatikia lugha yake tu itakua hyo ngoz yake...wakenya mna matatizo kuhis nchi yenu ina hadh ya west.yaan mnajionaga wazungu wazungu.na hvyo mlivyo weusi tii bas mnakuaga kituko..west africa wamebadirika sasa wako proud na nchi zao na lugha zao..wakenya mmebak peke yenu mnaolamba miguu wazungu..mpaka lin mtakua independent...ingia kwenye list/ matabaka ya nchi maskin dunian.usipoiona kenya bas ntakubal..yaan east zote za east africa ni maskin wa kutupwa..kwahyo sielew mkenya unamchekaje mtz...wote rank moja...wote maskin wakutupwa...nyie bado mnalamba miguu..hata mifumo ya serikal zenu yaan mnaiga kila kitu...hadi mitaa mnaipa majina ya kizungu hiv nyie wakenya mna matatzo gan...mental slavery
Hahaha, kaazi kwelikweliMabeberu kama kitu ambacho sijawaelew ndiyo hiki hapa, mnawakataza watu wenu wasiende kenya wakati wenyewe wanawapenda kuliko wanavyojipenda wenyewe halafu mna washit bila chenga.