Uchaguzi 2020 Marekani yawasihi NEC na Magufuli kujali misingi ya demokrasia kwenye Uchaguzi Mkuu 2020

Mungu wabariki Wazungu
 
Hivi wale wamarekani weusi wanavyouawanl na mapolisi wao kwa ubaguzi huwa wanatoa matamko gani?
Wasijifanye wanajua demokrasia wakati kwao kuna madudu hawayasemi.

1. Watu waliandamana bila kuzuiwa

2. Vyombo vya habari vililaani bila kufungiwa

3. Baadhi ya wakuu wa polisi walijiuzulu

4. Wahusika walifunguliwa mashitaka
 
1. Watu waliandamana bila kuzuiwa

2. Vyombo vya habari vililaani bila kufungiwa

3. Baadhi ya wakuu wa polisi walijiuzulu

4. Wahusika walifunguliwa mashitaka
Hayo mauaji yalikoma, mbona yaliendelea au hufatilii vizuri mambo ya nje ya nchi.
 
Niliota leo nikaona nyambizi tatu ufukweni bara hindi. Zikiwa na ndege za kijeshi. Ndoto zangu huwaga kweli lakini
 
Marekani yenyewe uchaguzi hovyo na unalalamikiwa na Rais wao ajabu sana
 
Hayo mauaji yalikoma, mbona yaliendelea au hufatilii vizuri mambo ya nje ya nchi.

Uhalifu upo kila kona ya dunia lakini cha msingi ni kuwa na vyombo vya kuwashughulikia wahalifu, uhuru wa watu kuelezea hisia zao n.k. na vitu hivyo wao wanavyo. Hivi uchunguzi wa yule mwanasiasa aliyepigwa risasi 16 umeishia wapi?
 
Ni maoni yake kama ilivyo maoni binafsi ya mgombea wa Chadema anayedhani kuna mpango wa kumuibia kura kura
 
Njia pekee ni kifo cha jiwe ndio tutapona kama taifa!!watu wa system mko wapi?PIGA SHOTI PACEMAKER JIWE LIPASUKE!AMANI IRUDI TUTEUE MWINGINE WA KUTUVUSHA!!
 
Ni maoni yake kama ilivyo maoni binafsi ya mgombea wa Chadema anayedhani kuna mpango wa kumuibia kura kura

Tofauti ni kwamba kule Marekani utaratibu wao ni wakuaminika kwa miaka mingi na wa hapa hauaminiki. Kwahiyo huwezi kumlaumu Lissu akiwa na mashaka. Msimamizi anachaguliwa na rais na rais amesema hawezi kumlipa mtu na kumpa gari kisha akamtangaza mpinzani.
 
Utaratibu wa Marekani bi wa kuaminika na nani?

Uchaguzi wa 2016 Marekani unalalamikiwa kuingiliwa na serikali ya Urusi.
Watanzania wana imani na tume yao ya uchaguzi NEC.
 
Sijui sisi watanzania tulikua wapi kudai tume HURU ya Uchaguzi , majirani zetu Kenya wanashangaa, mgombea ndiye anayeteua wajumbe, wakurugenzi na makamishna wa tume kweli tutegemee mkurugenzi atamwangusha aliyempa ugali?? Tuamke tuamke
 
Utaratibu wa Marekani bi wa kuaminika na nani?

Uchaguzi wa 2016 Marekani unalalamikiwa kuingiliwa na serikali ya Urusi.
Watanzania wana imani na tume yao ya uchaguzi NEC.

"...kuingiliwa na serikali ya Urusi" bado haimaanishi kwamba haukuwa huru. Hata hapa Tanzania Warusi wanaweza kuingia kwenye kompyuta za CCM na NEC bila sisi kujua.
 
MAREKANI, kuna tume huru mpaka zaidi ya uhuru,Rais wa nchi haigusi wala serikari haiwezi kuingilia tume,ndio maana hata yeye unamuona analalamika huenda wamedhibiti magumashi yake ya uchaguzi uliopita.
 
Nilisha sema sitakuwa pamoja, eti tukomae /tuwe wazalendo tukitekeleza vikwazo kwa uchu wa madaraka, hapa tu naishi kama nipo kwenye vikwazo, halafu eti viongezeke sababu siasa!
 
Wanamuomba JPM atakaporudi tena madarakani arekebishe.
Wanatakiwa wajue ya kwamba baada ya uchaguzi ni marufuku siasa mpaka uchaguzi ujao.
Spana,, spana tu mpaka mwisho.
 
Ninyi CCM hamna ubavu wa kuwabishia hao Marekani kwa watakayoyasema............

Kwani misaada yao mnaendelea kupokea kwa wingi hao mnaowaita mabeberu
Usisahau pia Wao wanafaidika na mengi kutoka kwetu! Usipende kujizarau sana,hata Tajiri kuna kitu huwa anataka kutoka kwa masikini, ndiyo maana anamzuga na vizawadi vidogovidogo anavyoviita Msaada!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…