Uchaguzi 2020 Marekani yawasihi NEC na Magufuli kujali misingi ya demokrasia kwenye Uchaguzi Mkuu 2020

Uchaguzi 2020 Marekani yawasihi NEC na Magufuli kujali misingi ya demokrasia kwenye Uchaguzi Mkuu 2020

Kamati ya bunge la Marekani la seneti ya mambo ya nje imeisihi tume ya uchaguzi Tanzania kujirekebisha, kuondoa makosa yaliyofanyika ndani ya miaka 5 iliyopita, kuacha kumshitaki Lissu kwa hoja ya kijinga.

Kamati hiyo inamtuhumu Magufuli kuminya Demokrasia, utawala bora, uhuru wa kujieleza toka ameingia madarakani miaka 5 iliyopita, wamemsihi kuwa sasa ni wakati wa kurekebisha makosa aliyoyafanya kwa miaka 5 iliyopita.

======


OCTOBER 05, 2020

CHAIRMAN RISCH: TANZANIA OFFICIALS MUST CORRECT PAST ERRORS AND HOLD CREDIBLE VOTE

BOISE, Idaho – U.S. Senator Jim Risch, chairman of the Senate Foreign Relations Committee, today issued the following statement regarding the recent suspension of the leading Tanzanian opposition candidate's campaign by electoral officials:

“Suspending the leading opposition candidate's presidential campaign on bogus charges raises serious questions about the independence of Tanzania's electoral commission. The political violence and repression of opposition candidates, restrictions on independent media, lack of autonomy and transparency by electoral officials, and government authorities' interference reflect Tanzania's history of flawed elections and the country's democratic erosion over the past five years.

“Despite profoundly troubling developments throughout the electoral campaigns, Tanzania's October 28 general elections provide an opportunity for President Magufuli and electoral officials to correct past errors and return Tanzania to a positive democratic trajectory by holding free, fair, and credible elections. Otherwise, Tanzania's continued democratic decline stands to undermine its future and will negatively influence democratic progress in the rest of the region.”

Background: On Friday, Tanzania's National Electoral Commission (NEC) suspended leading opposition presidential candidate Tundu Lissu from campaigning for seven days for violating the electoral code of ethics. The NEC accused Mr. Lissu of making seditious comments during one of his rallies in complaints filed by two political parties, including the ruling Chama Cha Mapinduzi party. NEC membership is selected solely by the president of Tanzania.

Chanzo:Chairman Risch: Tanzania Officials Must Correct Past Errors and Hold Credible Vote | United States Senate Committee on Foreign Relations

je ,wao hayo wanayo yasema kwao wanayafuata au tunashabikia tu?
 
KWELI KABISA MKUU, ila kwa nyongeza ni kuwa,
magumashi ya wizi wa kura marekani yalifanywa na chama cha siasa kwa kushirikiana na wadukuzi toka urusi. tofauti ya sisi na wao ni kuwa NEC inashiri wizi wa kura na kuharibu uchagu,ila mwaka huu wawe makini kuna watu wataishi ndani ya mipaka ya TANZANIA milele kama wasipokuwa makini.

Hiki kitu nilikuwa nakisema miaka yote, ili kuilazamisha serikali kufuata misingi ya demokrasia tulikuwa tunahitaji sana nguvu ya mataifa ya nje na sisi jumuiya ya diaspora kufanya lobbying. Tundu Lissu amefanya kama nilivyokuwa nafikiria!
 
Hata Familia uchumi ukiyumba nyumba inakosa amani sasa fikiria hao niwatu kama 5 au sita je ukiyumbisha uchumi kwa watu milioni 60 hiyo vurugu ya njaa patatosha kweli?
 
Uchaguzi wa Marekani unaotarajiwa kufanyika November mwaka huu umeingia kasoro nyingi kiasi kwamba Rais Trump amekataa kutoa ahadi ya kukubali matokeo yatakayotangazwa na tume.

Trump amesema kuwa utaratibu wa kupiga kura umepangwa kwa mtindo unaolenga kukandamiza wapiga kura wanaomuunga mkono.

Vilevile kumekuwa na hours kuwa matokeo ya uchaguzi huo yatachelewa kutolewa kwa sababu uhesabuji kura katika baadhi ya majimbo utaendelea kwa siku 4 baada ya vituo vya kupiga kura kufungwa.
Ananyosha kidole kimoja kwa Nchi yetu amesahau kuwa vidole vinne vinamwelekea mwenyewe marekan. Kweli maandiko hayakukosea kuwa 'unatoa kibanzi kwenye hicho la mwingine wakati kwako kuna Boriti kubwa unalofanya huliooni?????? Kweli akili za kuambiwa changanya na zako by JK ! Hii ndio marikani kiranja mkuu ! Upuuzi mtupu. Malizeni yenu kwanza ndipo muone ya wengine
 
Kwa miaka mingi ukaribu kati ya Marekani na Tanzania unathibitishwa toka ujumbe wa Robert Kennedy Robert F. Kennedy | JFK Library ulipoitembelea Tanzania na kukutana na Mwalimu Nyerere ikulu ya Dar es Salaam kisha pamoja na mambo mengi ya kisiasa na ushirikiano walichezeshwa mchezo wa bao. Ni awamu ya tano ya CCM Mpya ndiyo imeamua kujiweka mbali na mahusiano hayo ya muda mrefu yaliyohitimishwa na ujio wa Marais kadhaa wakiwemo Bill Clinton President Clinton’s Site Visits in Tanzania, Thursday, April 30, 2015 , George Bush Obama to meet George W. Bush in Tanzania on Tuesday na Barack Obama
Namuona Mwalimu akiwa na mabeberu.
 
Ukitaka watu waandamane na kutokee machafuko usiwaletee mchele!! [emoji1787] [emoji1787][emoji1787]
Kukosa TAKUKURU Mzee wa Ubwabwa alikua anachukua Nchi Mapema kwa Sera ya Ubwabwa!![emoji3][emoji2]
 
Kamati ya bunge la Marekani la seneti ya mambo ya nje imeisihi tume ya uchaguzi Tanzania kujirekebisha, kuondoa makosa yaliyofanyika ndani ya miaka 5 iliyopita, kuacha kumshitaki Lissu kwa hoja ya kijinga.

Kamati hiyo inamtuhumu Magufuli kuminya Demokrasia, utawala bora, uhuru wa kujieleza toka ameingia madarakani miaka 5 iliyopita, wamemsihi kuwa sasa ni wakati wa kurekebisha makosa aliyoyafanya kwa miaka 5 iliyopita.

======


OCTOBER 05, 2020

CHAIRMAN RISCH: TANZANIA OFFICIALS MUST CORRECT PAST ERRORS AND HOLD CREDIBLE VOTE

BOISE, Idaho – U.S. Senator Jim Risch, chairman of the Senate Foreign Relations Committee, today issued the following statement regarding the recent suspension of the leading Tanzanian opposition candidate's campaign by electoral officials:

“Suspending the leading opposition candidate's presidential campaign on bogus charges raises serious questions about the independence of Tanzania's electoral commission. The political violence and repression of opposition candidates, restrictions on independent media, lack of autonomy and transparency by electoral officials, and government authorities' interference reflect Tanzania's history of flawed elections and the country's democratic erosion over the past five years.

“Despite profoundly troubling developments throughout the electoral campaigns, Tanzania's October 28 general elections provide an opportunity for President Magufuli and electoral officials to correct past errors and return Tanzania to a positive democratic trajectory by holding free, fair, and credible elections. Otherwise, Tanzania's continued democratic decline stands to undermine its future and will negatively influence democratic progress in the rest of the region.”

Background: On Friday, Tanzania's National Electoral Commission (NEC) suspended leading opposition presidential candidate Tundu Lissu from campaigning for seven days for violating the electoral code of ethics. The NEC accused Mr. Lissu of making seditious comments during one of his rallies in complaints filed by two political parties, including the ruling Chama Cha Mapinduzi party. NEC membership is selected solely by the president of Tanzania.

Chanzo:Chairman Risch: Tanzania Officials Must Correct Past Errors and Hold Credible Vote | United States Senate Committee on Foreign Relations
Tayari hakuna dollar kwenye mabenki
 
Uhalifu upo kila kona ya dunia lakini cha msingi ni kuwa na vyombo vya kuwashughulikia wahalifu, uhuru wa watu kuelezea hisia zao n.k. na vitu hivyo wao wanavyo. Hivi uchunguzi wa yule mwanasiasa aliyepigwa risasi 16 umeishia wapi?
Mada inahusu tamko la maseneta marekani kuhusu hilo jingine ulilouliza kuna nyuzi zake nyingi unaweza kuingia humo
 
Lisu kasimamishwa na Kamati ya Maadili ya vyama vya siasa kwa matamshi yake mabaya sasa iweje ilaumiwe serikali wakati ndani ya Kamati ile ina wawakilishi wa kila chama i wawili na hivyo wakati wa kutoa maamuzi Chama cha Lisu kiliridhia na kikaomba ipunguzwe adhabu . Hivi wanadhani wazungu watakuja kumpigia kura hapa , watuache na nchi yetu.
 
Haaaa haaaa haaaa nafuu inyooshe kidole nchi nyingine na si Marekani. Sijui nani aliipa hii nchi uenyekiti wa vijiji. Hivi hatuwezi kutoa tamko kuwahusu juu ya Trump kugoma kukabidhi uongozi na pia mauaji ya ndugu zetu tunawaachia wenyewe kutusemea tu.
 
Wanamuomba JPM atakaporudi tena madarakani arekebishe.
Wanatakiwa wajue ya kwamba baada ya uchaguzi ni marufuku siasa mpaka uchaguzi ujao.
Spana,, spana tu mpaka mwisho.
Jidanganye tu!!! Hamjui linalowajia kwa sababu mmenyimwa akili vilaza nyie
 
Mada inahusu tamko la maseneta marekani kuhusu hilo jingine ulilouliza kuna nyuzi zake nyingi unaweza kuingia humo

Wewe ndiye ulieleta mada nyingine. Tulikuwa tunaongelea kuhusu uchaguzi ukaja na mada ya Wamarekani weusi wanavyouliwa, sasa kuna kosa gani na mimi nikimtaja Lissu.

"Kuna nyuzi zake nyingi unaweza kuingia humo", mimi nataka jibu kutoka kwako.
 
Ndungai alisema CCM inachohitaji ni 3/4 ya wabunge wote ili iwe na maamuzi ya kupitisha sheria bungeni. Kilichofuatia ni wabunge wa Chadema kuenguliwa na mawaziri na makada waandamizi wa CCM kupita bila kupingwa.

Nimeona kama NEC imekwisha rekebisha kasoro hizo zikizo kuwa zinalitia DOA kubwa Taifa letu kimataifa - NEC imekubali kurudisha majina ya wagombea walio kuwa wame enguliwa kimizengwe kweli kweli karibu wote walikuwa wanatoka kwenye vyama vya upinzani, hata wale waliokuwa wanadaiwa walipita bila kupingwa imekuwa reversed vile vile - sina shaka kadri siku zinavyo kwenda NEC itajirudi - my opinion.
 
Jidanganye tu!!! Hamjui linalowajia kwa sababu mmenyimwa akili vilaza nyie
Nyinyi ndo mnajidanganya.
utashangaa uatakapoona atakapoapishwa Rais mabalozi wa hizo nchi wanazowazuga wanaudhuria na wanampa mkono wa baraka Rais JPM na wanampa mikataba minono.
 
Kamati ya bunge la Marekani la seneti ya mambo ya nje imeisihi tume ya uchaguzi Tanzania kujirekebisha, kuondoa makosa yaliyofanyika ndani ya miaka 5 iliyopita, kuacha kumshitaki Lissu kwa hoja ya kijinga.

Kamati hiyo inamtuhumu Magufuli kuminya Demokrasia, utawala bora, uhuru wa kujieleza toka ameingia madarakani miaka 5 iliyopita, wamemsihi kuwa sasa ni wakati wa kurekebisha makosa aliyoyafanya kwa miaka 5 iliyopita.

======


OCTOBER 05, 2020

CHAIRMAN RISCH: TANZANIA OFFICIALS MUST CORRECT PAST ERRORS AND HOLD CREDIBLE VOTE

BOISE, Idaho – U.S. Senator Jim Risch, chairman of the Senate Foreign Relations Committee, today issued the following statement regarding the recent suspension of the leading Tanzanian opposition candidate's campaign by electoral officials:

“Suspending the leading opposition candidate's presidential campaign on bogus charges raises serious questions about the independence of Tanzania's electoral commission. The political violence and repression of opposition candidates, restrictions on independent media, lack of autonomy and transparency by electoral officials, and government authorities' interference reflect Tanzania's history of flawed elections and the country's democratic erosion over the past five years.

“Despite profoundly troubling developments throughout the electoral campaigns, Tanzania's October 28 general elections provide an opportunity for President Magufuli and electoral officials to correct past errors and return Tanzania to a positive democratic trajectory by holding free, fair, and credible elections. Otherwise, Tanzania's continued democratic decline stands to undermine its future and will negatively influence democratic progress in the rest of the region.”

Background: On Friday, Tanzania's National Electoral Commission (NEC) suspended leading opposition presidential candidate Tundu Lissu from campaigning for seven days for violating the electoral code of ethics. The NEC accused Mr. Lissu of making seditious comments during one of his rallies in complaints filed by two political parties, including the ruling Chama Cha Mapinduzi party. NEC membership is selected solely by the president of Tanzania.

Chanzo:Chairman Risch: Tanzania Officials Must Correct Past Errors and Hold Credible Vote | United States Senate Committee on Foreign Relations
Please go and tell Chairman Risch of the US Senate Committee on Foreign Relations to correct first the past and present errors pertaining to the ongoing campaigns in their 3rd November 2020 Presidential elections in US. That will help him and his fellow Americans to first put their house in order instead of nosing in other people's houses while your house is in very bad conditions!
 
Dictators never heed to words, the only language they understand is Bombs!
 
Dar es Salaam, Tanzania

Happy Democracy day- Greetings from Ambassador Dr. Donald Wright


source : USEmbassyTZ
Dr. Donald Wright balozi wa Marekani nchini Tanzania, anatoa pongezi kwa wote kueneza ufahamu wa demokrasia na hasahasa kwa vile mwaka huu 2020 ni muhimu kwa waTanzania kujua masuala haya hivyo usisite kutembelea mtandao wa Tume Ya Taifa ya Uchaguzi - NEC kuhakikisha taarifa zako kama mpiga kura zipo, maana kupiga kura 28 Oktoba 2020 ni zoezi muhimu kwako mpiga kura kuhakikisha sauti yako inasikika.

Historia hutoa somo zuri ,Kunapokuwa na mazingira ya kubinya demokrasia basi wapiga kura wachache hujitokeza. Lakini kukiwepo mazingira ya uhuru na haki wengi hujitokeza kupiga kura.

Hivyo shimeshime vijana mjitokeze kwa wingi maana ninyi ndiyo sehemu kubwa kwa idadi ya watu wa Tanzania, kupiga kura ili muwe sehemu ya kushiriki kupanga mipango ijayo ya nchi yenu kwa kupitia kura zenu.

Hivyo mwambie mwenzako, asikose haki hii adhimu ya mpiga kura na umuhimu wa kushiriki kupiga kura.

TWENDE PAMOJA
Dr. Donald Wright balozi wa Marekani nchini Tanzania.
tz.usembassy.gov
 
Back
Top Bottom