Marekani yawatahadharisha raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania dhidi ya Ugaidi na uhalifu

Marekani yawatahadharisha raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania dhidi ya Ugaidi na uhalifu

Ndallo

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2010
Posts
7,619
Reaction score
4,299
Serikali ya Marekani imewaonya raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania kuwa makini na matukio ya Ugaidi , uvunjifu wa haki za binadamu na uhalifu ndani ya Tanzania.

Katika taarifa yao wamedai kuwa kuna makundi ya kigaidi ndani ya nchi ambayo huenda yanajipanga kufanya mashambulizi ndani ya nchi.

Pia taarifa hio inadai kuwa ndai ya nchi wanaohisiwa kuwa wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja hukamatwa na huenda wakalazimishwa kupimwa njia ya haja kubwa kwa nguvu na mamlaka husika.

Pia wamedai kuwa polisi ndani ya nchi hawana uwezo na miundombinu ya kupambana na uhalifu kwa hiyo wananchi wao wawe makini.

Katika suala la ugaidi wamedai kuwa mashambulizi huenda yakalenga vituo vya polisi, balozi za nchi mbali mbali, misikiti na maeneo mengine ambayo watu wa Magharibi(wazungu) wanakuwepo.
=========


Exercise increased caution in Tanzania due to crime, terrorism, and targeting of LGBTI persons.

Violent crime, such as assault, sexual assault, express kidnapping, mugging, and carjacking, is common. Local police may lack the resources to respond effectively to serious crime.

Terrorist groups continue plotting possible attacks in Tanzania. Terrorists may attack with little or no warning, targeting embassies, police stations, mosques, and other places frequented by Westerners.

Members of the LGBTI community have been arrested, targeted, harassed, and/or charged with unrelated offenses. Individuals detained under suspicion of same-sex sexual conduct could be subject to forced anal examinations.

Read the Safety and Security section on the country information page.

If you decide to travel to Tanzania:
  • Always carry a copy of your U.S. passport and visa and keep original documents in a secure location.
  • Be aware of your surroundings.
  • Do not leave your food or drink unattended.
  • Stay alert in all locations, especially those frequented by Westerners.
  • Avoid public displays of affection particularly between same-sex couples.
  • Enroll in the Smart Traveler Enrollment Program (STEP) to receive Alerts and make it easier to locate you in an emergency.
Follow the Department of State and the US Embassy in Tanzania on Facebook and Twitter Review the Crime and Safety Report for Tanzania.

U.S. citizens who travel abroad should always have a contingency plan for emergency situations. Review the Traveler’s Checklist.

Souce: Tanzania Travel Advisory
 
Serikali ya Marekani imewaonya raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania kuwa makini na matukio ya Ugaidi , uvunjifu wa haki za binadamu na uhalifu ndani ya Tanzania.

Katika taarifa yao wamedai kuwa kuna makundi ya kigaidi ndani ya nchi ambayo huenda yanajipanga kufanya mashambulizi ndani ya nchi.

Pia taarifa hio inadai kuwa ndai ya nchi wanaohisiwa kuwa wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja hukamatwa na huenda wakalazimishwa kupimwa njia ya haja kubwa kwa nguvu na mamlaka husika.

Pia wamedai kuwa polisi ndani ya nchi hawana uwezo na miundombinu ya kupambana na uhalifu kwa hiyo wananchi wao wawe makini.

Katika suala la ugaidi wamedai kuwa mashambulizi huenda yakalenga vituo vya polisi, balozi za nchi mbali mbali, misikiti na maeneo mengine ambayo watu wa Magharibi(wazungu) wanakuwepo.

================================

The US State Department has issued a travelling warning to Americans wishing or travelling to Tanzania over crimes, terrorism and human rights violation.

The State Department has urged US citizens to "exercise increased caution" while in Tanzania due to concerns over crime, terrorism and official actions targeting people on the basis of their gender or sexual identity.

Violent crime is "common" in Tanzania, the State Department said on Wednesday, citing risks of assault, kidnapping, sexual assault and carjacking.

"Terrorist groups continue plotting possible attacks in Tanzania," the advisory also stated.
It added that lesbian, gay, bisexual, transgender and intersex (LGBTI) persons have been "arrested, targeted, harassed and/or charged with unrelated offences".

"Individuals detained under suspicion of same-sex sexual conduct could be subject to forced anal examinations," the State Department noted.

The resources

Wednesday's advisory does not cite specific incidents of crime, terrorism or abuse of LGBTI persons.

In the case of violent crime, the State Department did say that "local police may lack the resources to respond effectively".

Regarding the threat of terrorism, the advisory warned that attacks may target "embassies, police stations, mosques and other places frequented by Westerners".

In the Tanzania section of its 2017 global survey of terrorism, the State Department pointed to a series of small-scale attacks in which "masked gunmen killed more than 30 police and local political officials in the Pwani region".

A terrorist group

The perpetrators did not claim allegiance to a terrorist group, last year's terrorism report on Tanzania added.

The December 26 travel advisory concerning LGBTI persons may have come partly in response to comments in October by Dar es Salaam Governor Paul Makonda.

"I have received reports that there are so many homosexuals in our city, and these homosexuals are advertising and selling their services on the internet," Mr Makonda said in a video posted to YouTube.

"Therefore, I am announcing this to every citizen of Dar es Salaam: If you know any gays ... report them to me.”

Special precautions

Tanzania is designated a "Level 2" travel destination on a 4-level scale established by the Trump administration last year.

Kenya and Uganda are also listed as Level 2 countries where the US advises more than normal precautions.

Somalia and South Sudan are both given Level 4 designations, which carry a "Do Not Travel" warning.

Sudan receives a Level 3 classification, whereby US citizens are urged to "Reconsider Travel."
Rwanda is among the countries said to require no special precautions on the part of travellers.

Source: The Citizen
 
Mmmhhh Mbona sasa wanatutisha..!! au ndiyo wale waliokutana Zenji wakidai mwaka 2019 ni mwaka wa kudai Demokrasia.? hawachelewi kurushiana risasi then wenyewe alafu wasingizie polis!

Ila ni mbaya kwa wawekezaji sijui hawataki waje...!
 
Sijui chanzo cha hii taarifa(validity yake) though jambo hili linaleta ukakasi kwenye intelligence yetu. Kama jambo hili ni kweli basi kuna haja ya kuhoji efficiency ya idara yetu ya usalama wa Taifa kama organ iliyopewa jukumu la kutulinda kwa kubaini viashiria vyote vya uvunjifu wa amani.
Mungu atuepushe kama hii taarifa ni ya kweli
 
Nadhani pia baada ya kuona taarifa hii inayoonesha silaha mbalimbali zilizotumika ktk mlolongo wa matukio na vyombo vya usalama kushindwa kutoa mrejesho wa watuhumiwa kutiwa mbaroni, hofu ktk jamii na jumuiya ya kimataifa imezidi badala ya kupungua
Watekaji wa Mohamed Dewji 'MO' wafikishwa kwa Magufuli
22 Dec 2018
Jeshi la Polisi nchini limekabidhi silaha mbalimbali kwa Rais Magufuli zilizokamatwa katika operesheni zake zilizofanyika ndani ya nchi katika kukomesha uhalifu. Baadhi ya silaha hizo ni zile zilizotumika kumteka mfanyabiashara maarufu nchini Bilionea Mohamed Dewji maarufu kwa jina la MO

Source : Daily News Digital
 
Back
Top Bottom