Marekani yawatahadharisha raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania dhidi ya Ugaidi na uhalifu

Marekani yawatahadharisha raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania dhidi ya Ugaidi na uhalifu

Naona wanaanza kumfinya jiwe kwa style tofauti kabisa ambayo alikuwa hajaifikiria!

Baada ya mashambulio ya vituo vya polisi, misikiti na baadhi ya balozi za nchi mbalimbali kitakachofuata ni Zanzibar kudai kujitenga huku ukipewa saport toka magharibi.

Kusema ukweli mabeberu yakiamua mbuzi jike lazima ashike mimba.
 
Serikali ya Marekani imewaonya raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania kuwa makini na matukio ya Ugaidi , uvunjifu wa haki za binadamu na uhalifu ndani ya Tanzania.

Katika taarifa yao wamedai kuwa kuna makundi ya kigaidi ndani ya nchi ambayo huenda yanajipanga kufanya mashambulizi ndani ya nchi.

Pia taarifa hio inadai kuwa ndai ya nchi wanaohisiwa kuwa wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja hukamatwa na huenda wakalazimishwa kupimwa njia ya haja kubwa kwa nguvu na mamlaka husika.

Pia wamedai kuwa polisi ndani ya nchi hawana uwezo na miundombinu ya kupambana na uhalifu kwa hiyo wananchi wao wawe makini.

Katika suala la ugaidi wamedai kuwa mashambulizi huenda yakalenga vituo vya polisi, balozi za nchi mbali mbali, misikiti na maeneo mengine ambayo watu wa Magharibi(wazungu) wanakuwepo.

==========================================
The US State Department has issued a travelling warning to Americans wishing or travelling to Tanzania over crimes , terrorism and human rights violation.

The State Department has urged US citizens to "exercise increased caution" while in Tanzania due to concerns over crime, terrorism and official actions targeting people on the basis of their gender or sexual identity.

Violent crime is "common" in Tanzania, the State Department said on Wednesday, citing risks of assault, kidnapping, sexual assault and carjacking.

"Terrorist groups continue plotting possible attacks in Tanzania," the advisory also stated.
It added that lesbian, gay, bisexual, transgender and intersex (LGBTI) persons have been "arrested, targeted, harassed and/or charged with unrelated offences".

"Individuals detained under suspicion of same-sex sexual conduct could be subject to forced anal examinations," the State Department noted.

The resources
Wednesday's advisory does not cite specific incidents of crime, terrorism or abuse of LGBTI persons.
In the case of violent crime, the State Department did say that "local police may lack the resources to respond effectively".

Regarding the threat of terrorism, the advisory warned that attacks may target "embassies, police stations, mosques and other places frequented by Westerners".

In the Tanzania section of its 2017 global survey of terrorism, the State Department pointed to a series of small-scale attacks in which "masked gunmen killed more than 30 police and local political officials in the Pwani region".

A terrorist group
The perpetrators did not claim allegiance to a terrorist group, last year's terrorism report on Tanzania added.
The December 26 travel advisory concerning LGBTI persons may have come partly in response to comments in October by Dar es Salaam Governor Paul Makonda.
"I have received reports that there are so many homosexuals in our city, and these homosexuals are advertising and selling their services on the internet," Mr Makonda said in a video posted to YouTube.
"Therefore, I am announcing this to every citizen of Dar es Salaam: If you know any gays ... report them to me.”

Special precautions
Tanzania is designated a "Level 2" travel destination on a 4-level scale established by the Trump administration last year.
Kenya and Uganda are also listed as Level 2 countries where the US advises more than normal precautions.
Somalia and South Sudan are both given Level 4 designations, which carry a "Do Not Travel" warning.
Sudan receives a Level 3 classification, whereby US citizens are urged to "Reconsider Travel."
Rwanda is among the countries said to require no special precautions on the part of travellers.

Source: The Citizen
Kweli tumejipaka ma..vi. Haya tulikuwa tunayasikia yakiripotiwa kwa mataifa mengine. Kutoka kuitwa Kisiwa cha Amani mpaka majina haya mapya --mbona muda mfupi sana jamani...... Maskini Mama yangu Tanzania!!!!!
 
Serikali ya Marekani imewaonya raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania kuwa makini na matukio ya Ugaidi , uvunjifu wa haki za binadamu na uhalifu ndani ya Tanzania.

Katika taarifa yao wamedai kuwa kuna makundi ya kigaidi ndani ya nchi ambayo huenda yanajipanga kufanya mashambulizi ndani ya nchi.

Pia taarifa hio inadai kuwa ndai ya nchi wanaohisiwa kuwa wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja hukamatwa na huenda wakalazimishwa kupimwa njia ya haja kubwa kwa nguvu na mamlaka husika.

Pia wamedai kuwa polisi ndani ya nchi hawana uwezo na miundombinu ya kupambana na uhalifu kwa hiyo wananchi wao wawe makini.

Katika suala la ugaidi wamedai kuwa mashambulizi huenda yakalenga vituo vya polisi, balozi za nchi mbali mbali, misikiti na maeneo mengine ambayo watu wa Magharibi(wazungu) wanakuwepo.

==========================================
The US State Department has issued a travelling warning to Americans wishing or travelling to Tanzania over crimes , terrorism and human rights violation.

The State Department has urged US citizens to "exercise increased caution" while in Tanzania due to concerns over crime, terrorism and official actions targeting people on the basis of their gender or sexual identity.

Violent crime is "common" in Tanzania, the State Department said on Wednesday, citing risks of assault, kidnapping, sexual assault and carjacking.

"Terrorist groups continue plotting possible attacks in Tanzania," the advisory also stated.
It added that lesbian, gay, bisexual, transgender and intersex (LGBTI) persons have been "arrested, targeted, harassed and/or charged with unrelated offences".

"Individuals detained under suspicion of same-sex sexual conduct could be subject to forced anal examinations," the State Department noted.

The resources
Wednesday's advisory does not cite specific incidents of crime, terrorism or abuse of LGBTI persons.
In the case of violent crime, the State Department did say that "local police may lack the resources to respond effectively".

Regarding the threat of terrorism, the advisory warned that attacks may target "embassies, police stations, mosques and other places frequented by Westerners".

In the Tanzania section of its 2017 global survey of terrorism, the State Department pointed to a series of small-scale attacks in which "masked gunmen killed more than 30 police and local political officials in the Pwani region".

A terrorist group
The perpetrators did not claim allegiance to a terrorist group, last year's terrorism report on Tanzania added.
The December 26 travel advisory concerning LGBTI persons may have come partly in response to comments in October by Dar es Salaam Governor Paul Makonda.
"I have received reports that there are so many homosexuals in our city, and these homosexuals are advertising and selling their services on the internet," Mr Makonda said in a video posted to YouTube.
"Therefore, I am announcing this to every citizen of Dar es Salaam: If you know any gays ... report them to me.”

Special precautions
Tanzania is designated a "Level 2" travel destination on a 4-level scale established by the Trump administration last year.
Kenya and Uganda are also listed as Level 2 countries where the US advises more than normal precautions.
Somalia and South Sudan are both given Level 4 designations, which carry a "Do Not Travel" warning.
Sudan receives a Level 3 classification, whereby US citizens are urged to "Reconsider Travel."
Rwanda is among the countries said to require no special precautions on the part of travellers.

Source: The Citizen
Hii tarifa kama ni ya kweli, serikali ilifanyie kazi suala hili

Americans hua wanafanya hivi ili kuleta panic katika nchi, wananchi wasiviamini vyombo vyao vya ulinzi

Cha kufanya serikali iwaite watu wa ubalozi wa marekani na wahojiwe effectively ili waseme hizi tarifa wametoa wapi?

Na ikibainika kwamba ni uongo, serikali iufunge ubalozi wa marekani

Hawa jamaa wameharibu nchi nyingi sana kwa ujinga wao huu, wa kupandikiza magaidi na kujifanya wana tarifa za kiintelijensia

Kama wao ni smart sana walishindwaje kuzuia ubalozi wao usilipuliwe mwaka 98, maana hata hints hawakua nazo.
 
Serikali ya Marekani imewaonya raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania kuwa makini na matukio ya Ugaidi , uvunjifu wa haki za binadamu na uhalifu ndani ya Tanzania.

Katika taarifa yao wamedai kuwa kuna makundi ya kigaidi ndani ya nchi ambayo huenda yanajipanga kufanya mashambulizi ndani ya nchi.

Pia taarifa hio inadai kuwa ndai ya nchi wanaohisiwa kuwa wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja hukamatwa na huenda wakalazimishwa kupimwa njia ya haja kubwa kwa nguvu na mamlaka husika.

Pia wamedai kuwa polisi ndani ya nchi hawana uwezo na miundombinu ya kupambana na uhalifu kwa hiyo wananchi wao wawe makini.

Katika suala la ugaidi wamedai kuwa mashambulizi huenda yakalenga vituo vya polisi, balozi za nchi mbali mbali, misikiti na maeneo mengine ambayo watu wa Magharibi(wazungu) wanakuwepo.

==========================================
The US State Department has issued a travelling warning to Americans wishing or travelling to Tanzania over crimes , terrorism and human rights violation.

The State Department has urged US citizens to "exercise increased caution" while in Tanzania due to concerns over crime, terrorism and official actions targeting people on the basis of their gender or sexual identity.

Violent crime is "common" in Tanzania, the State Department said on Wednesday, citing risks of assault, kidnapping, sexual assault and carjacking.

"Terrorist groups continue plotting possible attacks in Tanzania," the advisory also stated.
It added that lesbian, gay, bisexual, transgender and intersex (LGBTI) persons have been "arrested, targeted, harassed and/or charged with unrelated offences".

"Individuals detained under suspicion of same-sex sexual conduct could be subject to forced anal examinations," the State Department noted.

The resources
Wednesday's advisory does not cite specific incidents of crime, terrorism or abuse of LGBTI persons.
In the case of violent crime, the State Department did say that "local police may lack the resources to respond effectively".

Regarding the threat of terrorism, the advisory warned that attacks may target "embassies, police stations, mosques and other places frequented by Westerners".

In the Tanzania section of its 2017 global survey of terrorism, the State Department pointed to a series of small-scale attacks in which "masked gunmen killed more than 30 police and local political officials in the Pwani region".

A terrorist group
The perpetrators did not claim allegiance to a terrorist group, last year's terrorism report on Tanzania added.
The December 26 travel advisory concerning LGBTI persons may have come partly in response to comments in October by Dar es Salaam Governor Paul Makonda.
"I have received reports that there are so many homosexuals in our city, and these homosexuals are advertising and selling their services on the internet," Mr Makonda said in a video posted to YouTube.
"Therefore, I am announcing this to every citizen of Dar es Salaam: If you know any gays ... report them to me.”

Special precautions
Tanzania is designated a "Level 2" travel destination on a 4-level scale established by the Trump administration last year.
Kenya and Uganda are also listed as Level 2 countries where the US advises more than normal precautions.
Somalia and South Sudan are both given Level 4 designations, which carry a "Do Not Travel" warning.
Sudan receives a Level 3 classification, whereby US citizens are urged to "Reconsider Travel."
Rwanda is among the countries said to require no special precautions on the part of travellers.

Source: The Citizen
What are political and economic implications of this classification by Trump administration?
 
Hapana kwa hili hawawezi mkuu subiri kuwe na mikutano ya kisiasa ndio utaijua hiyo idara
Kama ndivyo basi wanakuwa wanakiuka kiapo chao kwa kuendekeza mambo ya vyama badala ya taaluma. Vyama vipo vitapita (refer TANU+ASP=CCM) lakini Tanzania itabaki milele. Nakumbuka hata lile tukio la kigaidi la kulipuliwa kwa balozi za Marekani za Dsm na Nairobi intelligensia yetu haikuweza kunotice mpaka maafa yakatokea. So muhimu TISS ikarudi kwenye misingi na dhima ya kuanzishwa kwake na kuachana na kutumika kwa faida za wanasiasa.
 
Serikali ya Marekani imewaonya raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania kuwa makini na matukio ya Ugaidi , uvunjifu wa haki za binadamu na uhalifu ndani ya Tanzania.

Katika taarifa yao wamedai kuwa kuna makundi ya kigaidi ndani ya nchi ambayo huenda yanajipanga kufanya mashambulizi ndani ya nchi.

Pia taarifa hio inadai kuwa ndai ya nchi wanaohisiwa kuwa wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja hukamatwa na huenda wakalazimishwa kupimwa njia ya haja kubwa kwa nguvu na mamlaka husika.

Pia wamedai kuwa polisi ndani ya nchi hawana uwezo na miundombinu ya kupambana na uhalifu kwa hiyo wananchi wao wawe makini.

Katika suala la ugaidi wamedai kuwa mashambulizi huenda yakalenga vituo vya polisi, balozi za nchi mbali mbali, misikiti na maeneo mengine ambayo watu wa Magharibi(wazungu) wanakuwepo.

==========================================
The US State Department has issued a travelling warning to Americans wishing or travelling to Tanzania over crimes , terrorism and human rights violation.

The State Department has urged US citizens to "exercise increased caution" while in Tanzania due to concerns over crime, terrorism and official actions targeting people on the basis of their gender or sexual identity.

Violent crime is "common" in Tanzania, the State Department said on Wednesday, citing risks of assault, kidnapping, sexual assault and carjacking.

"Terrorist groups continue plotting possible attacks in Tanzania," the advisory also stated.
It added that lesbian, gay, bisexual, transgender and intersex (LGBTI) persons have been "arrested, targeted, harassed and/or charged with unrelated offences".

"Individuals detained under suspicion of same-sex sexual conduct could be subject to forced anal examinations," the State Department noted.

The resources
Wednesday's advisory does not cite specific incidents of crime, terrorism or abuse of LGBTI persons.
In the case of violent crime, the State Department did say that "local police may lack the resources to respond effectively".

Regarding the threat of terrorism, the advisory warned that attacks may target "embassies, police stations, mosques and other places frequented by Westerners".

In the Tanzania section of its 2017 global survey of terrorism, the State Department pointed to a series of small-scale attacks in which "masked gunmen killed more than 30 police and local political officials in the Pwani region".

A terrorist group
The perpetrators did not claim allegiance to a terrorist group, last year's terrorism report on Tanzania added.
The December 26 travel advisory concerning LGBTI persons may have come partly in response to comments in October by Dar es Salaam Governor Paul Makonda.
"I have received reports that there are so many homosexuals in our city, and these homosexuals are advertising and selling their services on the internet," Mr Makonda said in a video posted to YouTube.
"Therefore, I am announcing this to every citizen of Dar es Salaam: If you know any gays ... report them to me.”

Special precautions
Tanzania is designated a "Level 2" travel destination on a 4-level scale established by the Trump administration last year.
Kenya and Uganda are also listed as Level 2 countries where the US advises more than normal precautions.
Somalia and South Sudan are both given Level 4 designations, which carry a "Do Not Travel" warning.
Sudan receives a Level 3 classification, whereby US citizens are urged to "Reconsider Travel."
Rwanda is among the countries said to require no special precautions on the part of travellers.

Source: The Citizen
Taking into consideration the shooting of numerous innocent citizens either by police or some crazies in US and compare with what is happening in TZ, which country is safer??????
 
Sijui chanzo cha hii taarifa(validity yake) though jambo hili linaleta ukakasi kwenye intelligence yetu. Kama jambo hili ni kweli basi kuna haja ya kuhoji efficiency ya idara yetu ya usalama wa Taifa kama organ iliyopewa jukumu la kutulinda kwa kubaini viashiria vyote vya uvunjifu wa amani.
Mungu atuepushe kama hii taarifa ni ya kweli
Unaanza kuvishutumu vyomo vyetu vya interejensia kwa lipi wakati ata wao wakijua kazi yao ni kuhakikishi hicho kitu hakitimii katu na si kwenda kuuzuia ubarozi wa USA kutoa taarifa hiyo?
 
Security level kwa nchi za Africa Mashariki ni moja;

Kwa Tanzania sidhani kama kuna magaidi/vikundi vya magaidi.

Ila naanza kupata mashaka kwakua kuna member alishawahi leta Uzi kuhusiana na uwepo wa Taasisi flani toka huko Mashariki ya Kati.

Yatupasa kuwa makini mno.

Hawa wageni waliopo mitaani kinyume cha sheria na tunaendelea kuwachekea chekea ipo siku tutaja juta.
 
Uzalendo unaanzia kwa kiongozi wa nchi kama hana uzalendo huwezi kuona wananchi wakiwa na uzalendo.....Kumbuka kipindi cha Kikwete pamoja na mapungufu yake ya kiuongozi lakini bado wananchi walisimama nae kwenye maswala ya kimataifa.

Rejea mgogoro na Malawi kuhusu ziwa Nyasa, nchi nzima ilisimama nyuma ya Kikwete
Njoo Kwenye Mkwara wa Kagame, nchi nzima ilikuwa nyuma ya Kikwete.

Angalia alivyokuja Obama Ikulu, Viongozi wa upinzani wote walijumuika Ikulu pamoja na kuwa kulikuwa na msuguano kuhusu katiba wakati ule.

Je sasa hivi inaweza kutokea hivyo? na hao jamaa huwa wanapenyeza propaganda zao kwenye ufa.!
Watanzania tuwapumbavu sana yaan mnafurahia propaganda za america kwa interest zake
 
Taking into consideration the shooting of numerous innocent citizens either by police or some crazies in US and compare with what is happening in TZ, which country is safer??????
Americans are only good on promoting gays right

Hawawezi kuona ubovu unaofanyika kwenye nchi yao.
 
Labda ni watu wasiyojulikana ndiowatakuja kwa sura ya ugaidi.
 
Naona wanaanza kumfinya jiwe kwa style tofauti kabisa ambayo alikuwa hajaifikiria!

Baada ya mashambulio ya vituo vya polisi, misikiti na baadhi ya balozi za nchi mbalimbali kitakachofuata ni Zanzibar kudai kujitenga huku ukipewa saport toka magharibi.

Kusema ukweli mabeberu yakiamua mbuzi jike lazima ashike mimba.

hahahahajahhaajhahahahaha.u made my day kwahyo magu its like mee jike😂😂😂😂..hahahahahahahahaa..tunacheka tu hapa lakini hii ni sign mbaya kuwah tokea toka tuwe na ufaham
 
hahahahajahhaajhahahahaha.u made my day kwahyo magu its like mee jike[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..hahahahahahahahaa..tunacheka tu hapa lakini hii ni sign mbaya kuwah tokea toka tuwe na ufaham
Hahahah, wale wazungu hawatoi taarifa ya namna hii kwa bahati mbaya hasa ukizingatia hatupo kwenye mwaka wa uchaguzi
 
Back
Top Bottom