kwani unateseka beberu akishauri raia wakeMabeberu bwana wameshaanza mambo yao, Serengeti watakuja tu kwani Simba watawaona wapi zaidi ya Serengeti? tena sasa hivi tuna madege yatawaleta mpaka KIA pale msihofu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani unateseka beberu akishauri raia wakeMabeberu bwana wameshaanza mambo yao, Serengeti watakuja tu kwani Simba watawaona wapi zaidi ya Serengeti? tena sasa hivi tuna madege yatawaleta mpaka KIA pale msihofu..
kwani unateseka beberu akishauri raia wake
Usichukulie simpo...akili kumkichwa.....ivi likitokea jambo mtaongea hivi???Mabeberu bwana wameshaanza mambo yao, Serengeti watakuja tu kwani Simba watawaona wapi zaidi ya Serengeti? tena sasa hivi tuna madege yatawaleta mpaka KIA pale msihofu..
Kwa hiyo na sisi tutwangane kama wamarekani.Mwaka 2018 kuna matukio mangapi ya kutwangwa risasi raia wa huko USA?
Mabeberu bwana wameshaanza mambo yao, Serengeti watakuja tu kwani Simba watawaona wapi zaidi ya Serengeti? tena sasa hivi tuna madege yatawaleta mpaka KIA pale msihofu..
Kiukweli tunaye Mtawala wa ajabu ajabu kweli!halaf wasenge watakuja hapa watasema tuko raiti traki.hii nchi inaenda kuzama korongoni kabsa
Hawa Jamaa wananusa Mbali, wameisha nusa Mbali! Ngoja tuendelee Kusubiria!
Unasema kweli kabisa. Hawa jamaa ndio waliomtengeneza Osama, ndio walioanzisha kundi la ISLAMIC STATES. Inabidi kila mwananchi awe mlinzi wa nchi hii kwani vita vya kiuchumi vina namna yake ya kupigana. Na hii ni vita rahisi kama tutashikamana kama taifa. Wanaotumiwa tutawasubiria 2020.
Hawa ni wa kufukuza, wanajaribu kuleta taharuki za kijinga kwa kila nchi inayowakataa
**** the Americans.
Aliekwambia Americans wanakupenda, muulize vizuri.Wafukuzeni mfe njaa dadeki.
Sijui chanzo cha hii taarifa(validity yake) though jambo hili linaleta ukakasi kwenye intelligence yetu. Kama jambo hili ni kweli basi kuna haja ya kuhoji efficiency ya idara yetu ya usalama wa Taifa kama organ iliyopewa jukumu la kutulinda kwa kubaini viashiria vyote vya uvunjifu wa amani.
Mungu atuepushe kama hii taarifa ni ya kweli