Wakati mnateka Mo mlijua ishu ndogo, sasa itawatokea puani. Bashite anaendesha operation za kijinga, kumpiga risasi Lisu, kumteka Ben, kumuua Mawazo hata hawahesabiki. Mnaona sawa tu, Mungu haziakiwi nawaambia.Wazee wafitina wameanza, hawana aibu hata sababu za kuokota okota watazileta tu
Dhamana kwa kosa gani alilofanya? Kuua waue CCM, Mbowe akamatwe au?....unawezekana wao ndo wanadhamini show ! Huoni wengine wanaruka dhamana makusudi tu ili watangaze nje kuwa wao ni wafungwa wa kisiasa.
Mbona Nchi za kiarabu zunaruhusu ushoga ila hairuhusiwi kufanywa hadhararani Lebanon juzijuzi tu kulikuwa na Gay pride.Chama cha Maaskofu kisaidie kuomba radhi na iwahakikishie mashoga usalama wao. Kanisa liaunga mkono kwa maslahi yetu.
Wazee wa 'fitna' wanaweza kupiga bomu la sumu wao, wanaweza kukodisha mercenaries wakawaita ISIS wakakupiga, hata kukuchomekea kuwa una silaha za maangamizi.Wakati mnateka Mo mlijua ishu ndogo, sasa itawatokea puani. Bashite anaendesha operation za kijinga, kumpiga risasi Lisu, kumteka Ben, kumuua Mawazo hata hawahesabiki. Mnaona sawa tu, Mungu haziakiwi nawaambia.
Hiyo ni Lebanon, kule kuna upande wa wakiristu na upande wa Waislaam.Mbona Nchi za kiarabu zunaruhusu ushoga ila hairuhusiwi kufanywa hadhararani Lebanon juzijuzi tu kulikuwa na Gay pride.
Hahaha kama alivyofanya libya mkuu?Ccm na wapinzani ni watoto wa mama mmoja au nimesoma vibaya ulichoandika? Watoto wa mama mmoja kisha wapinzani wanafanyiwa ukatili wa wazi tena kwa uratibu wa vyombo vya dola? Acha Marekani aje atukumbushe kwamba sisi ni watoto wa mama mmoja maana tumesahau.
"Ninakuahidi muheshimiwa Rais baada ya uchaguzi mkuu 2020 nitakukabidhi Dar es salaam ikiwa na wabunge na madiwani wote wa CCM" - Paul Makonda, 2018.ningekuwa bashite now ningesha achia cheo
ushoga hatuutaki kweli lkn kwann bashite alopoke vile?
nimeamini jamaa anaupeo finyu wa kufikilia yaani alishindwa ata na watoto wa form four wanajua kabisa wazungu wanamuwinda jiwe
muheshimiwa raisi nitadili na hao wanaopinga kwenye mitandao
haya maendeleo ni miaka mitatu tu je akiongoza miaka 30
kama mtu ni mfupi tusiseme
all in all bashite cheo kimekushinda UWEZO
Letter P = simply means PIMBI.To hell with them, hata wamarekani wote na wazungu wasipokuja, it’s ok, hii warning ni utekelezaji wa mkakati huu
US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali? - JamiiForums
Hivyo they can just go to hell as long as tuna rafiki wa kweli Mchina, tukimkaribisha Mchina kwa bidii, anatosha
P
Mbona viumbe wengine ambao sio binadamu wanafanya?!Hiyo ni Lebanon, kule kuna upande wa wakiristu na upande wa Waislaam.
Miaka ya 80's kulikuwa na vita ya 'wanamgambo wa kikiristo na Wakiislaam'
Huo ujinga upo upande wa wakiristo.
Hahaha kama alivyofanya libya mkuu?
Alipoenda kupandikiza kijusi cha mkeweHivi kwa hali hii bashite likizo atakuwa anaenda wapi??
Europe sidhani,america ndio doh,SA??,
Watakuwa washampiga stop kitambo.
Usikute ni huduma iliyo kinyume na maadili!Sijui huduma gani muhimu Bashite anayompa Jiwe hadi ikafikia hatua hii
Benni saanane yuko wapi?wakina mboye wanakosa gani?To hell with them, hata wamarekani wote na wazungu wasipokuja, it’s ok, hii warning ni utekelezaji wa mkakati huu
US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali? - JamiiForums
Hivyo they can just go to hell as long as tuna rafiki wa kweli Mchina, tukimkaribisha Mchina kwa bidii, anatosha
P
Upupu wa kinye.SiiiUnasema kweli kabisa. Hawa jamaa ndio waliomtengeneza Osama, ndio walioanzisha kundi la ISLAMIC STATES. Inabidi kila mwananchi awe mlinzi wa nchi hii kwani vita vya kiuchumi vina namna yake ya kupigana. Na hii ni vita rahisi kama tutashikamana kama taifa. Wanaotumiwa tutawasubiria 2020.
Nani alimuua akwilina?....unawezekana wao ndo wanadhamini show ! Huoni wengine wanaruka dhamana makusudi tu ili watangaze nje kuwa wao ni wafungwa wa kisiasa.