Mocumentary
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 806
- 2,049
Marekani imewawekea vikwazo waendesha mashitaka Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) siku kadhaa baada ya mahakama hiyo kuidhinisha uchunguzi kuhusu tuhuma za uhalifu wa kivita unaodaiwa kutekelezwa na Marekani nchini Afghanistan.
WALE MASHABIKI WA USA NA WASHIRIKA WAKE, NA KUAMINI KUWA JAMAA WAPO SAHIHI KWA KILA KITU KUNA, JAMBO KUBWA SANA LA KUJIFUNZA HAPA
WALE MASHABIKI WA USA NA WASHIRIKA WAKE, NA KUAMINI KUWA JAMAA WAPO SAHIHI KWA KILA KITU KUNA, JAMBO KUBWA SANA LA KUJIFUNZA HAPA