Marekani yazitisha nchi za Afrika zisinunue mafuta ya Urusi, nchi inayokaidi itashughulikiwa

Marekani yazitisha nchi za Afrika zisinunue mafuta ya Urusi, nchi inayokaidi itashughulikiwa

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Marekani imezitisha nchi za afrika zisinunue kabisa mafuta ya urusi!. Zinaruhusiwa kununua ngano na mbolea lakini ziachane na mafuta maana marekani imeyawekea vikwazo.

Swali: Je kuna nchi ya afrika itakayoweza kushupaza shingo na kununua mafuta ya Urusi? Labda Afrika ya kusini inaweza kumkomalia marekani na kusema haikubali kuingiliwa uhuru wake!

Kitisho kama hicho marekani alikitoa kwa India na China halafu ndo kwanza wakazidisha kununua mafuta na gesi ya urusi maradufu!!

  • Africa can buy Russian grain but risks actions on oil, says US​

    Washington’s ambassador to the UN has said that African nations are free to buy grain from Russia but could face consequences if they trade in US-sanctioned commodities such as Russian oil.
    “Countries can buy Russian agricultural products, including fertiliser and wheat,” Linda Thomas-Greenfield said at a news conference in the Ugandan capital, Kampala, after a meeting with President Yoweri Museveni.
    “We have no sanctions on any agricultural products coming out of Russia,” she added.
    “If a country decides to engage with Russia where there are sanctions then they are breaking those sanctions. We caution countries not to break those sanctions because then if they do they stand the chance of having actions taken against them for breaking those sanctions.” (Source- Aljazeera).

    Sisi hapa Tz sijui kama tunaweza kuwa na msimamo unaoangalia maslahi yetu tu bila kuangalia vitisho vya mabeberu!! Tatizo tunakopa mno, halafu hawakupi mkopo wote, wanakupa kidogo kidogo kwa kadri unavyozidi kuwaramba miguu na kuitikia "hewala bwana!".


 
Marekani imezitisha nchi za afrika zisinunue kabisa mafuta ya urusi!. Zinaruhusiwa kununua ngano na mbolea lakini ziachane na mafuta maana marekani imeyawekea vikwazo.

Swali: Je kuna nchi ya afrika itakayoweza kushupaza shingo na kununua mafuta ya Urusi? Labda Afrika ya kusini inaweza kumkomalia marekani na kusema haikubali kuingiliwa uhuru wake!

Kitisho kama hicho marekani alikitoa kwa India na China halafu ndo kwanza wakazidisha kununua mafuta na gesi ya urusi maradufu!!

  • Africa can buy Russian grain but risks actions on oil, says US​

    Washington’s ambassador to the UN has said that African nations are free to buy grain from Russia but could face consequences if they trade in US-sanctioned commodities such as Russian oil.
    “Countries can buy Russian agricultural products, including fertiliser and wheat,” Linda Thomas-Greenfield said at a news conference in the Ugandan capital, Kampala, after a meeting with President Yoweri Museveni.
    “We have no sanctions on any agricultural products coming out of Russia,” she added.
    “If a country decides to engage with Russia where there are sanctions then they are breaking those sanctions. We caution countries not to break those sanctions because then if they do they stand the chance of having actions taken against them for breaking those sanctions.” (Source- Aljazeera).

    Sisi hapa Tz sijui kama tunaweza kuwa na msimamo unaoangalia maslahi yetu tu bila kuangalia vitisho vya mabeberu!! Tatizo tunakopa mno, halafu hawakupi mkopo wote, wanakupa kidogo kidogo kwa kadri unavyozidi kuwaramba miguu na kuitikia "hewala bwana!".
Pambafu zake kwa kuwa mbolea na ngano yeye ananunua ndio tununue ,asichonunua yeye anataka na sisi tusinunue .
 
Marekani imezitisha nchi za afrika zisinunue kabisa mafuta ya urusi!. Zinaruhusiwa kununua ngano na mbolea lakini ziachane na mafuta maana marekani imeyawekea vikwazo.

Swali: Je kuna nchi ya afrika itakayoweza kushupaza shingo na kununua mafuta ya Urusi? Labda Afrika ya kusini inaweza kumkomalia marekani na kusema haikubali kuingiliwa uhuru wake!

Kitisho kama hicho marekani alikitoa kwa India na China halafu ndo kwanza wakazidisha kununua mafuta na gesi ya urusi maradufu!!

  • Africa can buy Russian grain but risks actions on oil, says US​

    Washington’s ambassador to the UN has said that African nations are free to buy grain from Russia but could face consequences if they trade in US-sanctioned commodities such as Russian oil.
    “Countries can buy Russian agricultural products, including fertiliser and wheat,” Linda Thomas-Greenfield said at a news conference in the Ugandan capital, Kampala, after a meeting with President Yoweri Museveni.
    “We have no sanctions on any agricultural products coming out of Russia,” she added.
    “If a country decides to engage with Russia where there are sanctions then they are breaking those sanctions. We caution countries not to break those sanctions because then if they do they stand the chance of having actions taken against them for breaking those sanctions.” (Source- Aljazeera).

    Sisi hapa Tz sijui kama tunaweza kuwa na msimamo unaoangalia maslahi yetu tu bila kuangalia vitisho vya mabeberu!! Tatizo tunakopa mno, halafu hawakupi mkopo wote, wanakupa kidogo kidogo kwa kadri unavyozidi kuwaramba miguu na kuitikia "hewala bwana!".

No need to panic. Hivyo sio vikwazo vya Umoja wa Mataifa (UN). Ni vikwazo vya Marekani. Hata sisi tunaweza kuwawekea vyetu na kuachana nao. Au tulishaachana na lengo la kuwa donor country?
 
Marekani imezitisha nchi za afrika zisinunue kabisa mafuta ya urusi!. Zinaruhusiwa kununua ngano na mbolea lakini ziachane na mafuta maana marekani imeyawekea vikwazo.

Swali: Je kuna nchi ya afrika itakayoweza kushupaza shingo na kununua mafuta ya Urusi? Labda Afrika ya kusini inaweza kumkomalia marekani na kusema haikubali kuingiliwa uhuru wake!

Kitisho kama hicho marekani alikitoa kwa India na China halafu ndo kwanza wakazidisha kununua mafuta na gesi ya urusi maradufu!!

  • Africa can buy Russian grain but risks actions on oil, says US​

    Washington’s ambassador to the UN has said that African nations are free to buy grain from Russia but could face consequences if they trade in US-sanctioned commodities such as Russian oil.
    “Countries can buy Russian agricultural products, including fertiliser and wheat,” Linda Thomas-Greenfield said at a news conference in the Ugandan capital, Kampala, after a meeting with President Yoweri Museveni.
    “We have no sanctions on any agricultural products coming out of Russia,” she added.
    “If a country decides to engage with Russia where there are sanctions then they are breaking those sanctions. We caution countries not to break those sanctions because then if they do they stand the chance of having actions taken against them for breaking those sanctions.” (Source- Aljazeera).

    Sisi hapa Tz sijui kama tunaweza kuwa na msimamo unaoangalia maslahi yetu tu bila kuangalia vitisho vya mabeberu!! Tatizo tunakopa mno, halafu hawakupi mkopo wote, wanakupa kidogo kidogo kwa kadri unavyozidi kuwaramba miguu na kuitikia "hewala bwana!".


Kuanzia mwaka 2010-2019 uchumi wa afrika diniani ulikuwa ukipaa kuliko nchi nyingi Duniani.. ila kuanzia kwenye Covid19 na hii crisis ya mafuta wanao umia zaidi ni sisi nchi za Afrika!!
 
Sisi hapa Tz sijui kama tunaweza kuwa na msimamo unaoangalia maslahi yetu tu bila kuangalia vitisho vya mabeberu!! Tatizo tunakopa mno, halafu hawakupi mkopo wote, wanakupa kidogo kidogo kwa kadri unavyozidi kuwaramba miguu na kuitikia "hewala bwana!".
Msimamo sisi hatufungamani na upande wowote, pia tunatii matakwa ya vikwazo yaliyoidhinishwa na UN Security Council!!
===
Adui wao siyo lazima na kweli kuwa ni adui yetu!!! Nina imani Mama yetu ataupiga mwingi.
 
Suluhisho ni kuchimba ya kwetu.
Tunaambiwa serikali ni tajiri lakini Cha ajabu wanashindwa kuwekeza kwenye vitu Kama hivi wanasubiri wawekezaji waje.
Hivi kweli serikali inashindwa kusema hapa tunaweka mitambo ya uchimbaji wa mafuta na gesi na tutawauzia wananchi wetu kwa Bei nafuu .Basi kopeni kwa ajili ya haya mambo ya msingi.
Unakopa unaenda kujenga madarasa ya corona
 
Marekani imezitisha nchi za afrika zisinunue kabisa mafuta ya urusi!. Zinaruhusiwa kununua ngano na mbolea lakini ziachane na mafuta maana marekani imeyawekea vikwazo.

Swali: Je kuna nchi ya afrika itakayoweza kushupaza shingo na kununua mafuta ya Urusi? Labda Afrika ya kusini inaweza kumkomalia marekani na kusema haikubali kuingiliwa uhuru wake!

Kitisho kama hicho marekani alikitoa kwa India na China halafu ndo kwanza wakazidisha kununua mafuta na gesi ya urusi maradufu!!

  • Africa can buy Russian grain but risks actions on oil, says US​

    Washington’s ambassador to the UN has said that African nations are free to buy grain from Russia but could face consequences if they trade in US-sanctioned commodities such as Russian oil.
    “Countries can buy Russian agricultural products, including fertiliser and wheat,” Linda Thomas-Greenfield said at a news conference in the Ugandan capital, Kampala, after a meeting with President Yoweri Museveni.
    “We have no sanctions on any agricultural products coming out of Russia,” she added.
    “If a country decides to engage with Russia where there are sanctions then they are breaking those sanctions. We caution countries not to break those sanctions because then if they do they stand the chance of having actions taken against them for breaking those sanctions.” (Source- Aljazeera).

    Sisi hapa Tz sijui kama tunaweza kuwa na msimamo unaoangalia maslahi yetu tu bila kuangalia vitisho vya mabeberu!! Tatizo tunakopa mno, halafu hawakupi mkopo wote, wanakupa kidogo kidogo kwa kadri unavyozidi kuwaramba miguu na kuitikia "hewala bwana!".
Wasitutishe hao,tutanunua
Worry.jpg
.....
 
Back
Top Bottom