Marekani yazitisha nchi za Afrika zisinunue mafuta ya Urusi, nchi inayokaidi itashughulikiwa

Marekani yazitisha nchi za Afrika zisinunue mafuta ya Urusi, nchi inayokaidi itashughulikiwa

Kwani tukinunua mafuta watatufanya nini ? kwani kununua mafuta ni dhambi ....dawa ni bara zima ra afrika kufunga barozi za USA, UK,FRANCE hizo nchi ni hasara kuwa na urafiki nazo
Wakikufungia SWIFT ( uwezo wa kutumia dollar) mtaomba poo tuu, na hata huyo mchina na mrusi hawatafanya biashara na wewe tena, labda kama watachukua malipo kwa shilingi 🤣 lakini itakuwa death sentence
 
Kwani nchi zote za Africa zikiamua kununua ya urusi,marekani ataweza kuziwekea vikwazo bara lote la Africa?
Mbona kishindwa kumuwekea vikwazo India na China?hapo utaona umoja wa Africa hauna maana yoyote
 
Kwani nchi zote za Africa zikiamua kununua ya urusi,marekani ataweza kuziwekea vikwazo bara lote la Africa?
Mbona kishindwa kumuwekea vikwazo India na China?hapo utaona umoja wa Africa hauna maana yoyote
Boss njaa kitu cha ovyo sana, na wengine wanategemea US awanunulie mafuta na kulipa mishahara yao sasa sijui kama watakubaliana na wewe
 
Marekani imezitisha nchi za afrika zisinunue kabisa mafuta ya urusi!. Zinaruhusiwa kununua ngano na mbolea lakini ziachane na mafuta maana marekani imeyawekea vikwazo.

Swali: Je kuna nchi ya afrika itakayoweza kushupaza shingo na kununua mafuta ya Urusi? Labda Afrika ya kusini inaweza kumkomalia marekani na kusema haikubali kuingiliwa uhuru wake!

Kitisho kama hicho marekani alikitoa kwa India na China halafu ndo kwanza wakazidisha kununua mafuta na gesi ya urusi maradufu!!

  • Africa can buy Russian grain but risks actions on oil, says US​

    Washington’s ambassador to the UN has said that African nations are free to buy grain from Russia but could face consequences if they trade in US-sanctioned commodities such as Russian oil.
    “Countries can buy Russian agricultural products, including fertiliser and wheat,” Linda Thomas-Greenfield said at a news conference in the Ugandan capital, Kampala, after a meeting with President Yoweri Museveni.
    “We have no sanctions on any agricultural products coming out of Russia,” she added.
    “If a country decides to engage with Russia where there are sanctions then they are breaking those sanctions. We caution countries not to break those sanctions because then if they do they stand the chance of having actions taken against them for breaking those sanctions.” (Source- Aljazeera).

    Sisi hapa Tz sijui kama tunaweza kuwa na msimamo unaoangalia maslahi yetu tu bila kuangalia vitisho vya mabeberu!! Tatizo tunakopa mno, halafu hawakupi mkopo wote, wanakupa kidogo kidogo kwa kadri unavyozidi kuwaramba miguu na kuitikia "hewala bwana!".

Hawa. Jamaa kwa Africa watafanikiwa kwa sababu ukisha sikia tamko kama hilo ina maana sanctions inakuwa imeongezwa kwenye swift which means unapoenda fanya TT kununua mafuta ya Russia unakuta hiyo bidhaa ipo Sanctions hence payment yako inakuwa rejected.
 
Back
Top Bottom