Umeiweka kirahisi sana, nchi ya TZ haina uraia pacha, kuchukua uraia wa nchi nyingine ni kukana uraia wa Tanzania. Na hivyo kupoteza sifa na haki za nchi yako ya zamani.
Umeiweka kirahisi sana, nchi ya TZ haina uraia pacha, kuchukua uraia wa nchi nyingine ni kukana uraia wa Tanzania. Na hivyo kupoteza sifa na haki za nchi yako ya zamani.