MAREKEBISHO YA SHERIA: Sheria za Uhamiaji na Ardhi Zimefanyiwa Marekebisho. Je, Marekebisho Haya Yanatuletea Maendeleo au Hatari?

MAREKEBISHO YA SHERIA: Sheria za Uhamiaji na Ardhi Zimefanyiwa Marekebisho. Je, Marekebisho Haya Yanatuletea Maendeleo au Hatari?

ukapata uraia ili tu kurahisisha mambo halafu unaambiwa wewe siyo Mtanzania!!
Umeiweka kirahisi sana, nchi ya TZ haina uraia pacha, kuchukua uraia wa nchi nyingine ni kukana uraia wa Tanzania. Na hivyo kupoteza sifa na haki za nchi yako ya zamani.
 
Back
Top Bottom