Maria Sarungi akamatwe, Maria Space ifungiwe

Maria Sarungi akamatwe, Maria Space ifungiwe

dsc02424-edit2.jpg
 
MARIA SARUNGI AKAMATWE, MARIA SPACES IFUNGWE!!

Maria hajawahi kuona zuri lolote la Rais Dkt Samia. Tangu aingie Ikulu 2021, mwezi wa kwanza tu hata hajajua korido za Ikulu alianza kumzodoa. ANA WIVU NA CHUKI na Rais wetu, mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huu nchini tangu tupate uhuru 1961.

Analazimisha Tanzania yetu ionekane ina mifarakano na machafuko. Kutwa humchongea Rais wetu kwa mataifa na Taasisi kubwa nje kwa kichaka cha uhuru wa Kujieleza. Uzuri ANAPUZWA.

Kuna uhuru wa Kujieleza ambao upo halali na ulioimarishwa tele na Rais Dkt Samia kwa mujibu wa Katiba yetu ibara ya 18,

na,

Kuna uhuru wa kueneza chuki, vitisho, kutwezana utu na kudhalilishana ambao ndio unafanywa na kuimarishwa na Mwanaharakati, Maria Sarungi kupitia MARIA SPACE yake katika mtandao wa Twitter (X).

Kutwa "anamshushua" Rais Dkt Samia kutii utawala wa Sheria ila yeye na wafuasi wake vinara wa kuvunja sheria kwa wanaeneza chuki na kutaka kumpindua Rais Dkt Samia.

Kiufupi hadi sasa Maria anastahili kukamatwa na kushtakiwa kwa makosa mawili ama zaidi; makosa ya uhaini na makosa ya mitandao kwa kuvunja sheria zifuatazo;

Sheria ya Makosa ya Mtandao (Cyber Crimes Act) ya mwaka 2015 sehemu ya 3 ambapo huwa anafanya makosa ya kimtandao ikiwemo kuchapisha taarifa za uongo, zinazopotosha, zisizo sahihi, kwa lengo la kudhalilisha, kutishia, kutusi, kudanganya na kuchochea chuki baina ya wananchi na Rais na dola kwa ujumla.

Aidha kwenye uchochezi huo mitandaoni Maria ameleta tafrani nchini kupitia mitandao ya kijamii kinyume na kifungu cha 55 (1) (C) (d)( e) cha sheria ya Kanuni ya adhabu (penal Code) Sura ya 16 kama ilivyofanyiwa marejeo mwaka 2022.

Kosa kubwa lingine zaidi analofanya Maria ni yeye mwenyewe na wafuasi wake kupitia Maria Space aliyoianzisha, kwa nyakati tofauti kuta kauli tata zisizohimilika za kuhamasisha maandamano ya kishari na migogoro inayolenga kuleta machafuko na kumpindua Rais Dkt Samia.

Mfano Agosti 12, 2024 kupitia Space yake alitangaza nia yake ya kuanzisha mafunzo kwa vijana wa CHADEMA kuwafunda namna ya kuanzisha na kuratibu MIGOGORO (RESISTANCE) dhidi ya Rais Dkt Samia na Serikali yake ili iondoke madarakani.

Hii ni kinyume na Vifungu vya 39 na 40 vya Sheria ya Kanuni za Adhabu vinavyoeleza matendo yanayoweza kutambulika kuwa ni makosa ya Uhaini pamoja na adhabu ya matendo hayo.

USHAHIDI wa makosa haya mawili ya uhaini na makosa ya mitandao umejaa tele mitandao hususani twitter (x) na YouTube kwenye online TV yake ya Mwanzo TV ambapo huwa anarekodi kila anachozungumza na wafuasi wake.

Kama tunavyofahamu Sheria ni msumeno, Tunaviomba vyombo vya Ulinzi na Usalama vimkamate popote alipo hata huko Nairobi alipojificha kwa Sheria za Kimataifa aletwe nchini kujibu tuhuma hizi na kuadhibiwa kwa mujibu wa Sheria na KUFUNGWA MARIA SPACE.

Ndugu zangu Watanzania;

Wasiturubuni watu wa aina ya Maria wanaotufitini ili waendelee kulipwa posho na vikundi visivyo na nia njema na nchi yetu kwa manufaa ya familia zao. Usalama wa nchi yetu ni uhai wetu. Machafuko yakitokea hayataangalia chama, dini wala ukanda wako.

Itoshe sote kumshukuru Mhe. Rais Dkt Samia kwa kutuletea mageuzi makubwa katika Demokrasia, Haki za Binadamu na Uhuru wa Kujieleza tukiachana na maboresho yasiyomithimika ya sekta zote za uchumi.

Amekubali Maridhiano ya makundi yote, Mchakato wa Katiba Mpya, Mabadiliko ya Sheria za vyama vya Siasa, Uchaguzi na Tume ya Uchaguzi, kurejeshwa wanasiasa waliokimbia nchi, kulipwa mafao kwa wanasiasa kama Tundu Lissu, Uwajibikaji wa watumishi, Ajira mpya, mshikamano baina yetu n.k

Mama "hana baya" tumtunze aendelee kututunza kwa kutuongoza vema hadi 2030, tusiufuje uungwana wake kwa maslahi yetu binafsi kama akina Maria na CHADEMA ambao bila utulivu na migogoro dhidi ya Rais na Serikali ya CCM hawawezi kuendesha maisha yao.

TAHADHARI: Kauli chafu na vitendo haramu dhidi ya Kiongozi mwema, huweza kumgeuza kiongozi huyo mwema kuwa Mtawala aitwaye Dikteta.

Mungu ibariki Tanzania.

Suphian Juma Nkuwi,
A concerned Citizen
Agosti 14, 2024

Wewe tukukamate kwa kueneza kile Mungu anakataza…unakijua

Usitupangie. Ni haki yake kikatiba wewe nani wa kujiona nchi ni ya ukoo.
Tz ni yetu sote acha za kujisemeshasemesha dah

Mungu akutunze Maria
 
MARIA SARUNGI AKAMATWE, MARIA SPACES IFUNGWE!!

Maria hajawahi kuona zuri lolote la Rais Dkt Samia. Tangu aingie Ikulu 2021, mwezi wa kwanza tu hata hajajua korido za Ikulu alianza kumzodoa. ANA WIVU NA CHUKI na Rais wetu, mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huu nchini tangu tupate uhuru 1961.

Analazimisha Tanzania yetu ionekane ina mifarakano na machafuko. Kutwa humchongea Rais wetu kwa mataifa na Taasisi kubwa nje kwa kichaka cha uhuru wa Kujieleza. Uzuri ANAPUZWA.

Kuna uhuru wa Kujieleza ambao upo halali na ulioimarishwa tele na Rais Dkt Samia kwa mujibu wa Katiba yetu ibara ya 18,

na,

Kuna uhuru wa kueneza chuki, vitisho, kutwezana utu na kudhalilishana ambao ndio unafanywa na kuimarishwa na Mwanaharakati, Maria Sarungi kupitia MARIA SPACE yake katika mtandao wa Twitter (X).

Kutwa "anamshushua" Rais Dkt Samia kutii utawala wa Sheria ila yeye na wafuasi wake vinara wa kuvunja sheria kwa wanaeneza chuki na kutaka kumpindua Rais Dkt Samia.

Kiufupi hadi sasa Maria anastahili kukamatwa na kushtakiwa kwa makosa mawili ama zaidi; makosa ya uhaini na makosa ya mitandao kwa kuvunja sheria zifuatazo;

Sheria ya Makosa ya Mtandao (Cyber Crimes Act) ya mwaka 2015 sehemu ya 3 ambapo huwa anafanya makosa ya kimtandao ikiwemo kuchapisha taarifa za uongo, zinazopotosha, zisizo sahihi, kwa lengo la kudhalilisha, kutishia, kutusi, kudanganya na kuchochea chuki baina ya wananchi na Rais na dola kwa ujumla.

Aidha kwenye uchochezi huo mitandaoni Maria ameleta tafrani nchini kupitia mitandao ya kijamii kinyume na kifungu cha 55 (1) (C) (d)( e) cha sheria ya Kanuni ya adhabu (penal Code) Sura ya 16 kama ilivyofanyiwa marejeo mwaka 2022.

Kosa kubwa lingine zaidi analofanya Maria ni yeye mwenyewe na wafuasi wake kupitia Maria Space aliyoianzisha, kwa nyakati tofauti kuta kauli tata zisizohimilika za kuhamasisha maandamano ya kishari na migogoro inayolenga kuleta machafuko na kumpindua Rais Dkt Samia.

Mfano Agosti 12, 2024 kupitia Space yake alitangaza nia yake ya kuanzisha mafunzo kwa vijana wa CHADEMA kuwafunda namna ya kuanzisha na kuratibu MIGOGORO (RESISTANCE) dhidi ya Rais Dkt Samia na Serikali yake ili iondoke madarakani.

Hii ni kinyume na Vifungu vya 39 na 40 vya Sheria ya Kanuni za Adhabu vinavyoeleza matendo yanayoweza kutambulika kuwa ni makosa ya Uhaini pamoja na adhabu ya matendo hayo.

USHAHIDI wa makosa haya mawili ya uhaini na makosa ya mitandao umejaa tele mitandao hususani twitter (x) na YouTube kwenye online TV yake ya Mwanzo TV ambapo huwa anarekodi kila anachozungumza na wafuasi wake.

Kama tunavyofahamu Sheria ni msumeno, Tunaviomba vyombo vya Ulinzi na Usalama vimkamate popote alipo hata huko Nairobi alipojificha kwa Sheria za Kimataifa aletwe nchini kujibu tuhuma hizi na kuadhibiwa kwa mujibu wa Sheria na KUFUNGWA MARIA SPACE.

Ndugu zangu Watanzania;

Wasiturubuni watu wa aina ya Maria wanaotufitini ili waendelee kulipwa posho na vikundi visivyo na nia njema na nchi yetu kwa manufaa ya familia zao. Usalama wa nchi yetu ni uhai wetu. Machafuko yakitokea hayataangalia chama, dini wala ukanda wako.

Itoshe sote kumshukuru Mhe. Rais Dkt Samia kwa kutuletea mageuzi makubwa katika Demokrasia, Haki za Binadamu na Uhuru wa Kujieleza tukiachana na maboresho yasiyomithimika ya sekta zote za uchumi.

Amekubali Maridhiano ya makundi yote, Mchakato wa Katiba Mpya, Mabadiliko ya Sheria za vyama vya Siasa, Uchaguzi na Tume ya Uchaguzi, kurejeshwa wanasiasa waliokimbia nchi, kulipwa mafao kwa wanasiasa kama Tundu Lissu, Uwajibikaji wa watumishi, Ajira mpya, mshikamano baina yetu n.k

Mama "hana baya" tumtunze aendelee kututunza kwa kutuongoza vema hadi 2030, tusiufuje uungwana wake kwa maslahi yetu binafsi kama akina Maria na CHADEMA ambao bila utulivu na migogoro dhidi ya Rais na Serikali ya CCM hawawezi kuendesha maisha yao.

TAHADHARI: Kauli chafu na vitendo haramu dhidi ya Kiongozi mwema, huweza kumgeuza kiongozi huyo mwema kuwa Mtawala aitwaye Dikteta.

Mungu ibariki Tanzania.

Suphian Juma Nkuwi,
A concerned Citizen
Agosti 14, 2024

Huu ndio mtindio wa kufikiri typical. Wale wanaosimama na kumpamba kila kukicha Bila kuona baya lolote nao ushawashitaki wafungiwe? Akisema mabaya tu na wewe weka mijadala ya mazuri tu. Hii dunia inatutosha wote kila mtu ashike lake.
 
MARIA SARUNGI AKAMATWE, MARIA SPACES IFUNGWE!!

Maria hajawahi kuona zuri lolote la Rais Dkt Samia. Tangu aingie Ikulu 2021, mwezi wa kwanza tu hata hajajua korido za Ikulu alianza kumzodoa. ANA WIVU NA CHUKI na Rais wetu, mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huu nchini tangu tupate uhuru 1961.

Analazimisha Tanzania yetu ionekane ina mifarakano na machafuko. Kutwa humchongea Rais wetu kwa mataifa na Taasisi kubwa nje kwa kichaka cha uhuru wa Kujieleza. Uzuri ANAPUZWA.

Kuna uhuru wa Kujieleza ambao upo halali na ulioimarishwa tele na Rais Dkt Samia kwa mujibu wa Katiba yetu ibara ya 18,

na,

Kuna uhuru wa kueneza chuki, vitisho, kutwezana utu na kudhalilishana ambao ndio unafanywa na kuimarishwa na Mwanaharakati, Maria Sarungi kupitia MARIA SPACE yake katika mtandao wa Twitter (X).

Kutwa "anamshushua" Rais Dkt Samia kutii utawala wa Sheria ila yeye na wafuasi wake vinara wa kuvunja sheria kwa wanaeneza chuki na kutaka kumpindua Rais Dkt Samia.

Kiufupi hadi sasa Maria anastahili kukamatwa na kushtakiwa kwa makosa mawili ama zaidi; makosa ya uhaini na makosa ya mitandao kwa kuvunja sheria zifuatazo;

Sheria ya Makosa ya Mtandao (Cyber Crimes Act) ya mwaka 2015 sehemu ya 3 ambapo huwa anafanya makosa ya kimtandao ikiwemo kuchapisha taarifa za uongo, zinazopotosha, zisizo sahihi, kwa lengo la kudhalilisha, kutishia, kutusi, kudanganya na kuchochea chuki baina ya wananchi na Rais na dola kwa ujumla.

Aidha kwenye uchochezi huo mitandaoni Maria ameleta tafrani nchini kupitia mitandao ya kijamii kinyume na kifungu cha 55 (1) (C) (d)( e) cha sheria ya Kanuni ya adhabu (penal Code) Sura ya 16 kama ilivyofanyiwa marejeo mwaka 2022.

Kosa kubwa lingine zaidi analofanya Maria ni yeye mwenyewe na wafuasi wake kupitia Maria Space aliyoianzisha, kwa nyakati tofauti kuta kauli tata zisizohimilika za kuhamasisha maandamano ya kishari na migogoro inayolenga kuleta machafuko na kumpindua Rais Dkt Samia.

Mfano Agosti 12, 2024 kupitia Space yake alitangaza nia yake ya kuanzisha mafunzo kwa vijana wa CHADEMA kuwafunda namna ya kuanzisha na kuratibu MIGOGORO (RESISTANCE) dhidi ya Rais Dkt Samia na Serikali yake ili iondoke madarakani.

Hii ni kinyume na Vifungu vya 39 na 40 vya Sheria ya Kanuni za Adhabu vinavyoeleza matendo yanayoweza kutambulika kuwa ni makosa ya Uhaini pamoja na adhabu ya matendo hayo.

USHAHIDI wa makosa haya mawili ya uhaini na makosa ya mitandao umejaa tele mitandao hususani twitter (x) na YouTube kwenye online TV yake ya Mwanzo TV ambapo huwa anarekodi kila anachozungumza na wafuasi wake.

Kama tunavyofahamu Sheria ni msumeno, Tunaviomba vyombo vya Ulinzi na Usalama vimkamate popote alipo hata huko Nairobi alipojificha kwa Sheria za Kimataifa aletwe nchini kujibu tuhuma hizi na kuadhibiwa kwa mujibu wa Sheria na KUFUNGWA MARIA SPACE.

Ndugu zangu Watanzania;

Wasiturubuni watu wa aina ya Maria wanaotufitini ili waendelee kulipwa posho na vikundi visivyo na nia njema na nchi yetu kwa manufaa ya familia zao. Usalama wa nchi yetu ni uhai wetu. Machafuko yakitokea hayataangalia chama, dini wala ukanda wako.

Itoshe sote kumshukuru Mhe. Rais Dkt Samia kwa kutuletea mageuzi makubwa katika Demokrasia, Haki za Binadamu na Uhuru wa Kujieleza tukiachana na maboresho yasiyomithimika ya sekta zote za uchumi.

Amekubali Maridhiano ya makundi yote, Mchakato wa Katiba Mpya, Mabadiliko ya Sheria za vyama vya Siasa, Uchaguzi na Tume ya Uchaguzi, kurejeshwa wanasiasa waliokimbia nchi, kulipwa mafao kwa wanasiasa kama Tundu Lissu, Uwajibikaji wa watumishi, Ajira mpya, mshikamano baina yetu n.k

Mama "hana baya" tumtunze aendelee kututunza kwa kutuongoza vema hadi 2030, tusiufuje uungwana wake kwa maslahi yetu binafsi kama akina Maria na CHADEMA ambao bila utulivu na migogoro dhidi ya Rais na Serikali ya CCM hawawezi kuendesha maisha yao.

TAHADHARI: Kauli chafu na vitendo haramu dhidi ya Kiongozi mwema, huweza kumgeuza kiongozi huyo mwema kuwa Mtawala aitwaye Dikteta.

Mungu ibariki Tanzania.

Suphian Juma Nkuwi,
A concerned Citizen
Agosti 14, 2024

Na ambaye hajawahi ona baya lolote naye akamatwe?
 
Hiyo space wanaoifahamu hawafiki hata asilimia 20 ya wamiliki wa smartphone ,hakuna haja ya kumfungia huyo maria,hapo kama sio chuoni uliza watu kumi wenye smartphone nani anatumia x utapata majibu

Hata ndege wanatumia wachache ila serikali imewekeza matrilioni kuyanunua. Ina maana wanatumia watu wenye hadhi ya juu sio kila mtu.
 
Punguza unafiki. Ukiulizwa alibwabwaja Nini utasema? Usipende kuongea mambo usilojua.
Nilikuwepo kwenye Hilo tukio wiki hii anaongea vitu vya ovyo sana. Si yeye tu Hadi wanasheria wakubwa kabisa walikuwepo na wao pia hawakua nyuma kuongea urojo .
 
MARIA SARUNGI AKAMATWE, MARIA SPACES IFUNGWE!!

Maria hajawahi kuona zuri lolote la Rais Dkt Samia. Tangu aingie Ikulu 2021, mwezi wa kwanza tu hata hajajua korido za Ikulu alianza kumzodoa. ANA WIVU NA CHUKI na Rais wetu, mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huu nchini tangu tupate uhuru 1961.

Analazimisha Tanzania yetu ionekane ina mifarakano na machafuko. Kutwa humchongea Rais wetu kwa mataifa na Taasisi kubwa nje kwa kichaka cha uhuru wa Kujieleza. Uzuri ANAPUZWA.

Kuna uhuru wa Kujieleza ambao upo halali na ulioimarishwa tele na Rais Dkt Samia kwa mujibu wa Katiba yetu ibara ya 18,

na,

Kuna uhuru wa kueneza chuki, vitisho, kutwezana utu na kudhalilishana ambao ndio unafanywa na kuimarishwa na Mwanaharakati, Maria Sarungi kupitia MARIA SPACE yake katika mtandao wa Twitter (X).

Kutwa "anamshushua" Rais Dkt Samia kutii utawala wa Sheria ila yeye na wafuasi wake vinara wa kuvunja sheria kwa wanaeneza chuki na kutaka kumpindua Rais Dkt Samia.

Kiufupi hadi sasa Maria anastahili kukamatwa na kushtakiwa kwa makosa mawili ama zaidi; makosa ya uhaini na makosa ya mitandao kwa kuvunja sheria zifuatazo;

Sheria ya Makosa ya Mtandao (Cyber Crimes Act) ya mwaka 2015 sehemu ya 3 ambapo huwa anafanya makosa ya kimtandao ikiwemo kuchapisha taarifa za uongo, zinazopotosha, zisizo sahihi, kwa lengo la kudhalilisha, kutishia, kutusi, kudanganya na kuchochea chuki baina ya wananchi na Rais na dola kwa ujumla.

Aidha kwenye uchochezi huo mitandaoni Maria ameleta tafrani nchini kupitia mitandao ya kijamii kinyume na kifungu cha 55 (1) (C) (d)( e) cha sheria ya Kanuni ya adhabu (penal Code) Sura ya 16 kama ilivyofanyiwa marejeo mwaka 2022.

Kosa kubwa lingine zaidi analofanya Maria ni yeye mwenyewe na wafuasi wake kupitia Maria Space aliyoianzisha, kwa nyakati tofauti kuta kauli tata zisizohimilika za kuhamasisha maandamano ya kishari na migogoro inayolenga kuleta machafuko na kumpindua Rais Dkt Samia.

Mfano Agosti 12, 2024 kupitia Space yake alitangaza nia yake ya kuanzisha mafunzo kwa vijana wa CHADEMA kuwafunda namna ya kuanzisha na kuratibu MIGOGORO (RESISTANCE) dhidi ya Rais Dkt Samia na Serikali yake ili iondoke madarakani.

Hii ni kinyume na Vifungu vya 39 na 40 vya Sheria ya Kanuni za Adhabu vinavyoeleza matendo yanayoweza kutambulika kuwa ni makosa ya Uhaini pamoja na adhabu ya matendo hayo.

USHAHIDI wa makosa haya mawili ya uhaini na makosa ya mitandao umejaa tele mitandao hususani twitter (x) na YouTube kwenye online TV yake ya Mwanzo TV ambapo huwa anarekodi kila anachozungumza na wafuasi wake.

Kama tunavyofahamu Sheria ni msumeno, Tunaviomba vyombo vya Ulinzi na Usalama vimkamate popote alipo hata huko Nairobi alipojificha kwa Sheria za Kimataifa aletwe nchini kujibu tuhuma hizi na kuadhibiwa kwa mujibu wa Sheria na KUFUNGWA MARIA SPACE.

Ndugu zangu Watanzania;

Wasiturubuni watu wa aina ya Maria wanaotufitini ili waendelee kulipwa posho na vikundi visivyo na nia njema na nchi yetu kwa manufaa ya familia zao. Usalama wa nchi yetu ni uhai wetu. Machafuko yakitokea hayataangalia chama, dini wala ukanda wako.

Itoshe sote kumshukuru Mhe. Rais Dkt Samia kwa kutuletea mageuzi makubwa katika Demokrasia, Haki za Binadamu na Uhuru wa Kujieleza tukiachana na maboresho yasiyomithimika ya sekta zote za uchumi.

Amekubali Maridhiano ya makundi yote, Mchakato wa Katiba Mpya, Mabadiliko ya Sheria za vyama vya Siasa, Uchaguzi na Tume ya Uchaguzi, kurejeshwa wanasiasa waliokimbia nchi, kulipwa mafao kwa wanasiasa kama Tundu Lissu, Uwajibikaji wa watumishi, Ajira mpya, mshikamano baina yetu n.k

Mama "hana baya" tumtunze aendelee kututunza kwa kutuongoza vema hadi 2030, tusiufuje uungwana wake kwa maslahi yetu binafsi kama akina Maria na CHADEMA ambao bila utulivu na migogoro dhidi ya Rais na Serikali ya CCM hawawezi kuendesha maisha yao.

TAHADHARI: Kauli chafu na vitendo haramu dhidi ya Kiongozi mwema, huweza kumgeuza kiongozi huyo mwema kuwa Mtawala aitwaye Dikteta.

Mungu ibariki Tanzania.

Suphian Juma Nkuwi,
A concerned Citizen
Agosti 14, 2024

Huyo mtoto wa mziba pancha ana akili ya kimaskini, na maskini siku zote ana chuki
 
MARIA SARUNGI AKAMATWE, MARIA SPACES IFUNGWE!!

Maria hajawahi kuona zuri lolote la Rais Dkt Samia. Tangu aingie Ikulu 2021, mwezi wa kwanza tu hata hajajua korido za Ikulu alianza kumzodoa. ANA WIVU NA CHUKI na Rais wetu, mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huu nchini tangu tupate uhuru 1961.

Analazimisha Tanzania yetu ionekane ina mifarakano na machafuko. Kutwa humchongea Rais wetu kwa mataifa na Taasisi kubwa nje kwa kichaka cha uhuru wa Kujieleza. Uzuri ANAPUZWA.

Kuna uhuru wa Kujieleza ambao upo halali na ulioimarishwa tele na Rais Dkt Samia kwa mujibu wa Katiba yetu ibara ya 18,

na,

Kuna uhuru wa kueneza chuki, vitisho, kutwezana utu na kudhalilishana ambao ndio unafanywa na kuimarishwa na Mwanaharakati, Maria Sarungi kupitia MARIA SPACE yake katika mtandao wa Twitter (X).

Kutwa "anamshushua" Rais Dkt Samia kutii utawala wa Sheria ila yeye na wafuasi wake vinara wa kuvunja sheria kwa wanaeneza chuki na kutaka kumpindua Rais Dkt Samia.

Kiufupi hadi sasa Maria anastahili kukamatwa na kushtakiwa kwa makosa mawili ama zaidi; makosa ya uhaini na makosa ya mitandao kwa kuvunja sheria zifuatazo;

Sheria ya Makosa ya Mtandao (Cyber Crimes Act) ya mwaka 2015 sehemu ya 3 ambapo huwa anafanya makosa ya kimtandao ikiwemo kuchapisha taarifa za uongo, zinazopotosha, zisizo sahihi, kwa lengo la kudhalilisha, kutishia, kutusi, kudanganya na kuchochea chuki baina ya wananchi na Rais na dola kwa ujumla.

Aidha kwenye uchochezi huo mitandaoni Maria ameleta tafrani nchini kupitia mitandao ya kijamii kinyume na kifungu cha 55 (1) (C) (d)( e) cha sheria ya Kanuni ya adhabu (penal Code) Sura ya 16 kama ilivyofanyiwa marejeo mwaka 2022.

Kosa kubwa lingine zaidi analofanya Maria ni yeye mwenyewe na wafuasi wake kupitia Maria Space aliyoianzisha, kwa nyakati tofauti kuta kauli tata zisizohimilika za kuhamasisha maandamano ya kishari na migogoro inayolenga kuleta machafuko na kumpindua Rais Dkt Samia.

Mfano Agosti 12, 2024 kupitia Space yake alitangaza nia yake ya kuanzisha mafunzo kwa vijana wa CHADEMA kuwafunda namna ya kuanzisha na kuratibu MIGOGORO (RESISTANCE) dhidi ya Rais Dkt Samia na Serikali yake ili iondoke madarakani.

Hii ni kinyume na Vifungu vya 39 na 40 vya Sheria ya Kanuni za Adhabu vinavyoeleza matendo yanayoweza kutambulika kuwa ni makosa ya Uhaini pamoja na adhabu ya matendo hayo.

USHAHIDI wa makosa haya mawili ya uhaini na makosa ya mitandao umejaa tele mitandao hususani twitter (x) na YouTube kwenye online TV yake ya Mwanzo TV ambapo huwa anarekodi kila anachozungumza na wafuasi wake.

Kama tunavyofahamu Sheria ni msumeno, Tunaviomba vyombo vya Ulinzi na Usalama vimkamate popote alipo hata huko Nairobi alipojificha kwa Sheria za Kimataifa aletwe nchini kujibu tuhuma hizi na kuadhibiwa kwa mujibu wa Sheria na KUFUNGWA MARIA SPACE.

Ndugu zangu Watanzania;

Wasiturubuni watu wa aina ya Maria wanaotufitini ili waendelee kulipwa posho na vikundi visivyo na nia njema na nchi yetu kwa manufaa ya familia zao. Usalama wa nchi yetu ni uhai wetu. Machafuko yakitokea hayataangalia chama, dini wala ukanda wako.

Itoshe sote kumshukuru Mhe. Rais Dkt Samia kwa kutuletea mageuzi makubwa katika Demokrasia, Haki za Binadamu na Uhuru wa Kujieleza tukiachana na maboresho yasiyomithimika ya sekta zote za uchumi.

Amekubali Maridhiano ya makundi yote, Mchakato wa Katiba Mpya, Mabadiliko ya Sheria za vyama vya Siasa, Uchaguzi na Tume ya Uchaguzi, kurejeshwa wanasiasa waliokimbia nchi, kulipwa mafao kwa wanasiasa kama Tundu Lissu, Uwajibikaji wa watumishi, Ajira mpya, mshikamano baina yetu n.k

Mama "hana baya" tumtunze aendelee kututunza kwa kutuongoza vema hadi 2030, tusiufuje uungwana wake kwa maslahi yetu binafsi kama akina Maria na CHADEMA ambao bila utulivu na migogoro dhidi ya Rais na Serikali ya CCM hawawezi kuendesha maisha yao.

TAHADHARI: Kauli chafu na vitendo haramu dhidi ya Kiongozi mwema, huweza kumgeuza kiongozi huyo mwema kuwa Mtawala aitwaye Dikteta.

Mungu ibariki Tanzania.

Suphian Juma Nkuwi,
A concerned Citizen
Agosti 14, 2024

Umesomea kitu gani nikusaidie kupata ajira kijana wangu?
 
Back
Top Bottom