Maria Sarungi alipewa na nani siri ya Ziara ya Rais Samia Nchini Marekani wiki moja kabla ya kutolewa Taarifa rasmi?

SaSa wewe Lucas si umuulize Maria nani kampa taarifa za safari ya Rais ? Kuja hapa kutuuliza sisi ndo nini ?/
Huyu mshamba anamuonea wivu Maria, yaani kumlinganisha Maria na Lucas katika tasnia ya habari ni sawa kulinganisha Treni ya SGR na bajaji Lucas akiwa ndiye bajaji.
 
Asante sana mkuu Pascal kwa ufafanuzi mzuri, wewe ni mwanaccm unayejielewa hatuna shaka na uwezo wako, ila huyu Lucas Mwashamba ni mzigo kwenye chama chenu msaidieni.
Asante sana kwa compliments zako kuhusu mimi, ila huyu dogo sio mzigo, ana kipaji kikubwa na uwezo mkubwa hivyo ni asset muhimu kwa CCM, haswa kwenye kujibu hoja za mitandaoni, sisi wazee hatuwezani na speed ya social media, madogo hawa wanaweza.

P
 
Mwanamke mwenye hasira na wanawake wenzake inamaanisha hapati bakora kabisa au za kumtosha.

Nawashangaa gen Z wapenda mishangazi hamzijuwi hizo dalili.
 
Dogo watu wanajua mpaka aina ya ktanda acholalia sembuse ratiba

Biblia inasema hivi " Mungu asipoulinda mji waulindao wafanyabkazi bure"

Acheni viburi tenda haki hamna ulinzi wowote

Mrudisheni uraian Soka afurahie maisha yake vinginevyo yatawakuta ya mwendazake
 
Kwani soka yupo wapi huko unaposema arudishwe ? Maana inaonyesha unafahamu aliko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ