Maria Sarungi amemharibia babake: mazishi yake si ya kuongozwa na Ridhiwani

Maria Sarungi amemharibia babake: mazishi yake si ya kuongozwa na Ridhiwani

saigilomagema

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2015
Posts
4,683
Reaction score
7,222
Biblia imeandika "mtoto mpumbavu ni mzigo kwa mamaye na mtoto mwerevu ni sifa kwa babaye" Mtoto hasa wa kiongozi mkubwa anatakiwa awe mwerevu.

Prof. Sarungi alikuwa mtu mkubwa amewahi kuwa waziri wa Ulinzi na jeshi la kujenga Taifa, Afya, Elimu n.k Hizo ni wizara kubwa kubwa sana. Level yake ni kuanzia waziri mkuu mpaka Rais wa nchi. Sikumwona ht mkuu wa majeshi. Mtoto mpumbavu ni mzigo. Hakuna binadamu mwenye damu na nyama asiyeweza kuumia, mbona ye ameogopa kuhudhuria mazishi ya babake? Si anaogopa ataumizwa? Amemwumiza sana Rais wetu ambaye ndio kiongozi mkuu wa serikali familia isingetegemea uungwaji mkono wa maana.

Tuwe wakali kwa watoto uhuru una mipaka na siasa iendeshwe kistaarabu, ni vigumu sn yule binti kushindana na serikali kwa nguvu, serikali ni dude kubwa sana lenye nguvu sana. Tuheshimu mamlaka maana zote zawekwa na Mungu
 
Maria ni mtoto,katika mambo ya misiba mara nyingi wenye sauti ni wazazi wa marehemu(kama wapo),watu waliozaliwa na marehemu tumb moja,watoto huwa ni kupewa tu taarifa tu juu ya mambo fulani fulani.
 
Watanzania wengi ni mabingwa wa kutoa ushauri ambao hawajaombwa, kwa watu wasiowajua, kuhusu mambo wasiyoyaelewa.

Mtu hajaombwa ushauri na familia ya Sarungi.

Mtu haijui familia ya Sarungi.

Mtu haelewi makubaliano ya familia ya Sarungi.

Lakini atakuja hapa JF kwa kimbelembele kama kaombwa ushauri na familia, kama anaijua familia, kama anajua mambo anayoshauri.

Halafu hapo si ajabu hana hata life insurance ya kuhakikisha familia yake itabaki poa akifa.

Mambo ya Sarungi, muachie Sarungi mwenyewe.
 
Kwani hao watu wengine wangeenda kungeleta tofauti gani?

Watu mnapenda sana kujali vitu na mambo ya watu wengine pasipo wao kuonyesha kujali yale ambayo mnayajali nyinyi kuhusu wao.

Ni kama huwa mnasubiri kuona nani kafa halafu muanze kuchunguza nani kachanga na nani hajachanga na nani kaja na nani hajaja ili mpate cha kuchongea domo!

Shameful!
 
Mara Paap Maria Sarungi Mbunge wa kuteuliwa na Waziri wa Katiba na Sheria! Hahaha 😂 nani alijua Mange Kimambi atapewa Passport na nani alijua Papii na Baba yake na wadogo zage wangefutiwa hukumu ya kifungo cha maisha. Ukweli ni kuwa dunia inaendeshwa na mfumo wa kufurashishana na siyo ukweli, duniani siku hizi ukweli haupo!
 
Walimwengu wanauliza je, ingekuwa Karume nae angesuswa kwa sababu ya Fatma ?....

Hata hivyo, kwa ambao wanamuhukumu Mzee Sarungi kwa kumtomkaripia mwanae naona kama hawaelewi kuwa kuna umri mtu akishafikia na akatoka kwenye mamlaka yako. Huwezi kumpangia ni nini afanye ama asifanye

Mzazi anabaki ni mshauri tu na kwa umri wa mzee sarungi sidhani kama angeweza kushughulika na masuala Ya Maria
 
See what you bwege? Utakufa na stress for nothing. Km yeye bingwa mbn anaishi km nguchiro. Lile limwanamke pumbavu km wewe
Nadhani anaonekana bingwa kwa sababu ya ujasiri wake wa kuongea mambo ambayo wanaume mashababi hawawezi kuyaongelea. Hata hivyo naamini maisha aliyoyachagua anaijua gharama yake kwa hiyo kama anailipia kwa kuishi kwa hofu ni sawa pia maana hata kina Nyerere waliopambana na ukoloni hawakuishi comfortable
 
Back
Top Bottom