ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Kabisa kabisa ! 💯✅Mazishi ni mazishi tu ukifa umekufa tu hata yaongozwe na mwenyekiti wa mtaa au waje hadi marais kama kwa uncle Magu haibadili chochote kwa aliyekufa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa kabisa ! 💯✅Mazishi ni mazishi tu ukifa umekufa tu hata yaongozwe na mwenyekiti wa mtaa au waje hadi marais kama kwa uncle Magu haibadili chochote kwa aliyekufa
uyu ni Babylon's puppeteti tuwe wakali kwa watoto, how? na huyo mtoto yuko wapi hapo? basides wewe ni nani hata uwapangie watu?
Watu huwa wanaogopa hali ya hewa itachafua Mazingira 😳 !Mtu akifa hana tofauti na mzoga wa mbwa.Hata asingezikwa ni sawa tu.
Wenye nguvu hilo jambo la kumvunjia heshima mtu mzima ni jambo dogo sana kwao !Ila si hekima kumvunjia heshima mtu mzima
Truth 💯 ✅La msingi na ambalo hupaswi kusahau ni kwamba kila mtu atakufa, ni suala la muda tu. Kuzikwa kifahari au kifukara au dhihaka yote ni mazishi, wenye kufedheheka ni ninyi mnaofikri kuwa mtaishi milele!!