felakuti
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 659
- 1,207
Very low IQ humu, uwezo.mdogo kiakili na kiufahamu.Wakati fulani waandishi wa jamii ni low understanding aisee akili kiduchuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very low IQ humu, uwezo.mdogo kiakili na kiufahamu.Wakati fulani waandishi wa jamii ni low understanding aisee akili kiduchuuu
Unaaambiwa Sasa wajinga Hawa ndio mtaji mkubwa sana wa chama tawala.Hivi ukiwa CCM na uwezo wa kufikiri unashuka? RUBBISH
Wajinga wengi sana. Kwahiyo wamemkomoa maiti kisa mtoto wake,🚮🚮🚮🚮🚮Biblia imeandika "mtoto mpumbavu ni mzigo kwa mamaye na mtoto mwerevu ni sifa kwa babaye" Mtoto hasa wa kiongozi mkubwa anatakiwa awe mwerevu.
Prof. Sarungi alikuwa mtu mkubwa amewahi kuwa waziri wa Ulinzi na jeshi la kujenga Taifa, Afya, Elimu n.k Hizo ni wizara kubwa kubwa sana. Level yake ni kuanzia waziri mkuu mpaka Rais wa nchi. Sikumwona ht mkuu wa majeshi. Mtoto mpumbavu ni mzigo. Hakuna binadamu mwenye damu na nyama asiyeweza kuumia, mbona ye ameogopa kuhudhuria mazishi ya babake? Si anaogopa ataumizwa?
Tuwe wakali kwa watoto uhuru una mipaka na siasa iendeshwe kistaarabu, ni vigumu sn yule binti kushindana na serikali kwa nguvu, serikali ni dude kubwa sana lenye nguvu sana. Tuheshimu mamlaka maana zote zawekwa na Mungu
Kama huyu mleta uzi.Wakati fulani waandishi wa jamii ni low understanding aisee akili kiduchuuu
Rejea mawe uliyorushiwa na wanajukwaa kisha ujitafakari. Ningekuwa mimi ningewaomba moderators wafute uziBiblia imeandika "mtoto mpumbavu ni mzigo kwa mamaye na mtoto mwerevu ni sifa kwa babaye" Mtoto hasa wa kiongozi mkubwa anatakiwa awe mwerevu.
Prof. Sarungi alikuwa mtu mkubwa amewahi kuwa waziri wa Ulinzi na jeshi la kujenga Taifa, Afya, Elimu n.k Hizo ni wizara kubwa kubwa sana. Level yake ni kuanzia waziri mkuu mpaka Rais wa nchi. Sikumwona ht mkuu wa majeshi. Mtoto mpumbavu ni mzigo. Hakuna binadamu mwenye damu na nyama asiyeweza kuumia, mbona ye ameogopa kuhudhuria mazishi ya babake? Si anaogopa ataumizwa?
Tuwe wakali kwa watoto uhuru una mipaka na siasa iendeshwe kistaarabu, ni vigumu sn yule binti kushindana na serikali kwa nguvu, serikali ni dude kubwa sana lenye nguvu sana. Tuheshimu mamlaka maana zote zawekwa na Mungu
Duh 🙄 !Wajinga wengi sana. Kwahiyo wamemkomoa maiti kisa mtoto wake,🚮🚮🚮🚮🚮
Uhai ni jambo la msingi bora baba yake kazikwa , naye huko aliko anapewa rambirambi katika wakati huu mgumu wa majonzi anamwombolezea baba yake huko huko aliko na baba yake hata kama amekufa lakini roho yake inamwombea Maria Sarungi maisha marefu na yenye mafanikio.Biblia imeandika "mtoto mpumbavu ni mzigo kwa mamaye na mtoto mwerevu ni sifa kwa babaye" Mtoto hasa wa kiongozi mkubwa anatakiwa awe mwerevu.
Prof. Sarungi alikuwa mtu mkubwa amewahi kuwa waziri wa Ulinzi na jeshi la kujenga Taifa, Afya, Elimu n.k Hizo ni wizara kubwa kubwa sana. Level yake ni kuanzia waziri mkuu mpaka Rais wa nchi. Sikumwona ht mkuu wa majeshi. Mtoto mpumbavu ni mzigo. Hakuna binadamu mwenye damu na nyama asiyeweza kuumia, mbona ye ameogopa kuhudhuria mazishi ya babake? Si anaogopa ataumizwa?
Tuwe wakali kwa watoto uhuru una mipaka na siasa iendeshwe kistaarabu, ni vigumu sn yule binti kushindana na serikali kwa nguvu, serikali ni dude kubwa sana lenye nguvu sana. Tuheshimu mamlaka maana zote zawekwa na Mungu
Fact.Kitu muhimu mzee kasindikizwa na familia, na watu wake wa karibu.
Hao wengine ambao wameshindwa kuhudhuria sababu ya Maria. Watajijua wenyewe
Ila wee jamaaUlitaka azikwe na nani
Kikubwa kuzikwa.
Kikubwa kwenda mbinguni
CCM wenye akili alikuwa nyerere tu,alimruhusu mwanae makongoro kwenda upinzani,weww ni boya boya kabisa
wenyewe wanaita akili kisodaWakati fulani waandishi wa jamii ni low understanding aisee akili kiduchuuu
Nadhani ni kwa viongozi wasiokuwa na vifua.mpumbavu ni mzigo
Walaaniwe waliomsusa Professor Sarungi, mbona hao ngedere hawajamsuma Amani Karume kwa sababu za Fatma Karume na upumbavu wake.Biblia imeandika "mtoto mpumbavu ni mzigo kwa mamaye na mtoto mwerevu ni sifa kwa babaye" Mtoto hasa wa kiongozi mkubwa anatakiwa awe mwerevu.
Prof. Sarungi alikuwa mtu mkubwa amewahi kuwa waziri wa Ulinzi na jeshi la kujenga Taifa, Afya, Elimu n.k Hizo ni wizara kubwa kubwa sana. Level yake ni kuanzia waziri mkuu mpaka Rais wa nchi. Sikumwona ht mkuu wa majeshi. Mtoto mpumbavu ni mzigo. Hakuna binadamu mwenye damu na nyama asiyeweza kuumia, mbona ye ameogopa kuhudhuria mazishi ya babake? Si anaogopa ataumizwa?
Tuwe wakali kwa watoto uhuru una mipaka na siasa iendeshwe kistaarabu, ni vigumu sn yule binti kushindana na serikali kwa nguvu, serikali ni dude kubwa sana lenye nguvu sana. Tuheshimu mamlaka maana zote zawekwa na Mungu
Kwani hata msiba usingesuswa Sarungi angefufuka??? Na je kwann huu utamaduni wa kijinga kuhukumu watu kwasababu ndg zao ni wapinzani unaota mizizi??? Huu ubaguzi utakuja kujutiwa mtu ahukumiwe kwa kosa lake sio uonevu na kujumlisha jumlishaWalimwengu wanauliza je, ingekuwa Karume nae angesuswa kwa sababu ya Fatma ?....
Hata hivyo, kwa ambao wanamuhukumu Mzee Sarungi kwa kumtomkaripia mwanae naona kama hawaelewi kuwa kuna umri mtu akishafikia na akatoka kwenye mamlaka yako. Huwezi kumpangia ni nini afanye ama asifanye
Mzazi anabaki ni mshauri tu na kwa umri wa mzee sarungi sidhani kama angeweza kushughulika na masuala Ya Maria
Marehemu huwa hawana kosa.Biblia imeandika "mtoto mpumbavu ni mzigo kwa mamaye na mtoto mwerevu ni sifa kwa babaye" Mtoto hasa wa kiongozi mkubwa anatakiwa awe mwerevu.
Prof. Sarungi alikuwa mtu mkubwa amewahi kuwa waziri wa Ulinzi na jeshi la kujenga Taifa, Afya, Elimu n.k Hizo ni wizara kubwa kubwa sana. Level yake ni kuanzia waziri mkuu mpaka Rais wa nchi. Sikumwona ht mkuu wa majeshi. Mtoto mpumbavu ni mzigo. Hakuna binadamu mwenye damu na nyama asiyeweza kuumia, mbona ye ameogopa kuhudhuria mazishi ya babake? Si anaogopa ataumizwa?
Tuwe wakali kwa watoto uhuru una mipaka na siasa iendeshwe kistaarabu, ni vigumu sn yule binti kushindana na serikali kwa nguvu, serikali ni dude kubwa sana lenye nguvu sana. Tuheshimu mamlaka maana zote zawekwa na Mungu
Idiot
Ndio nyie mkiwa mwenye maamuzi mnauza nyumba ya mzazi kisa m
toto anadaiwa kuiba.
Katika viongozi ambao hawajui wasimame upande upi ni huyu wa kwetu. Anahubiri amani na mapatano wakati upande mwingine anaumiza watu.
Kama Maria alitekwa Akiwa nchi ya Kigeni Nini kitatokea akiwa kwao,unataka familia ya Sarungi iwe na misiba miwili? Mpuuzi wa mwisho wewe.
Kiongozi aliesema mbele za watu kuwa kifo ni kifo kwa kiongozi wa Upinzani alietekwa mchana kweupe kwenye basi akauwawa.
Ukiwa kiongozi kubali kuwa mvumilivu,huwezi kupendwa na kila mtu.
Hakuna njia nzuri kwenye kukosoa Ufisadi na ubadhirifu wa Mali Za Uma.
Usije Leta tena Usenge wako hapa wa kugeuza maandiko ya kitabu takatifu kuhalalisha wengine kuumizwa.
Vipi kuhusu Fatma Karume na Balozi Ally Karume,ni wakosoaji wakubwa tena ally ana matusi sana kwa Hussein Mwinyi je akifa Baba yake mtafanya kama Isskuutenga msiba wa babà yao?
Kama kweli viongozi wamesusia wafiwa na miati kwa sababu tu ya mtoto wao (wafiwa) kutetea haki, kuitaka serikali itende haki kwa raia wake hawana utu, ubinadamu na hawatufai .Biblia imeandika "mtoto mpumbavu ni mzigo kwa mamaye na mtoto mwerevu ni sifa kwa babaye" Mtoto hasa wa kiongozi mkubwa anatakiwa awe mwerevu.
Prof. Sarungi alikuwa mtu mkubwa amewahi kuwa waziri wa Ulinzi na jeshi la kujenga Taifa, Afya, Elimu n.k Hizo ni wizara kubwa kubwa sana. Level yake ni kuanzia waziri mkuu mpaka Rais wa nchi. Sikumwona ht mkuu wa majeshi. Mtoto mpumbavu ni mzigo. Hakuna binadamu mwenye damu na nyama asiyeweza kuumia, mbona ye ameogopa kuhudhuria mazishi ya babake? Si anaogopa ataumizwa?
Tuwe wakali kwa watoto uhuru una mipaka na siasa iendeshwe kistaarabu, ni vigumu sn yule binti kushindana na serikali kwa nguvu, serikali ni dude kubwa sana lenye nguvu sana. Tuheshimu mamlaka maana zote zawekwa na Mungu
Mbona we unatoa ushauri?Watanzania wengi ni mabingwa wa kutoa ushauri ambao hawajaombwa, kwa watu wasiowajua, kuhusu mambo wasiyoyaelewa.
Mtu hajaombwa ushauri na familia ya Sarungi.
Mtu haijui familia ya Sarungi.
Mtu haelewi makubaliano ya familia ya Sarungi.
Lakini atakuja hapa JF kwa kimbelembele kama kaombwa ushauri na familia, kama anaijua familia, kama anajua mambo anayoshauri.
Halafu hapo si ajabu hana hata life insurance ya kuhakikisha familia yake itabaki poa akifa.
Mambo ya Sarungi, muachie Sarungi mwenyewe.