Maria Sarungi amemharibia babake: mazishi yake si ya kuongozwa na Ridhiwani

Marehemu huwa hawana kosa.
Lakini najiuliza, hivi kwa nafasi yake kifamilia, Mzee Sarungi alishingwa kumkanya mwanawe ?

Mamlaka zinazowekwa na Mungu ni zile ambazo zimepita kihalali na siyo kama hizi zinazochakachua matokeo Kwa kuiba kura

Ni kweli kabisa .

CCM kwa mfano kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa walipata kura chache sana kutokana na Watu wengi kushindwa kujiandikisha .

Udanganyifu mkubwa sana ulifanywa na wasimamizi kuongeza kura feki.

Ni chukizo kubwa sana kwa Mungu kwa Utawala wa hila kusingizia kuwa ni utawala uliowekwa na Mungu.
Utawala uliowekwa na Mungu unatokana na nguvu ya Umma au Jeshi sio raia kudanganya kwa hila na uongo huku wakiwadhulumu walioshinda kwa halali na kuweka walioshindwa kwa kukataliwa na kura za wananchi
 

Kwahiyo Maria ndio alikuwa kiongozi wa familia ya Professor Sarungi? Nani aliyempa huo uongozi?
 
Una akili ndogo sana.
 

Mtu mzima anayejiongoza, Baba yake anahusikaje? Naanza kuamini akili zetu zinazidi kupungua kadri siku zinavyozidi kwenda mbele.

Tukiendeleza hizi akili, wazungu watatuacha wenyewe siku wakihamia kwenye sayari nyingine. Tusije kuupeleka ujinga wetu huko
 
hacha kumshirikisha Mungu kwenye mambo yako ya upinde na njaa zako za makalio wazi
 
wazazi wako wangekutupa chooni ukiwa mchanga sasa wametuletea uchafu kwenye jamii takataka mafi
 
hakuna mbulu mjinga kama wewe
 
Mbona we unatoa ushauri?

Mimi sitoi ushauri.

Mimi nachangia mada ya JF.

JF ni public square. JF ni uwanja wangu.

Ukileta mada JF umeniletea kwenye uwanja wangu, umeniomba nitoe maoni yangu.

Hakuna niliposhauri. Nimetoa maoni yangu.

Nikisema "Watanzania wako hivi na hivi na hivi" hayo ni maoni yangu. Naweza kuweka anecdotes na facts kuya support. Naweza kuyaunganisha na comments nyingine kuyapa uzito.

Nikisema "Watanzania sasa hivi mnatakiwa kuwa hivi na hivi na hivi" huo ni ushauri.

Jua tofauti.
 
Hata Maria na familia yake ni familia maarufu na hata msiba wa Baba yake kauweka wazi kwenye social media kwahiyo kila mtu ana uhuru wa kuweka maoni yake kutokana na kile alichokiona kama vile wewe ulivyo na uhuru wa kuweka maoni yako kwa post iliyokuja Jf kwahiyo muache jamaa atumie uhuru wake wa kujieleza na kutoa maoni.
 
ficha upumbavu wako
 
Upo sahihi hata mamlaka ya Boko Haram,mamlaka ya chama cha mashoga kule Tel aviv ,mamlaka zilitozumika kumuua Ben Saanae,mzee kibao,zote zimewekwa na mungu,upo sahihi
 
Kuna tofauti kati ya kutoa maoni na kutoa ushauri wa kuingikia mambo ya ndani ya famikia ya watu.

Mtu hujui Maria na famikia yake wamekubaliana vipi, utakujaje hapa JF na kulazimisha kwamba ni kazima Maria aje kumzika baba yake na akishindwa kufanya hivyo ni kitu kibaya, na kutoa ushauri kemkem kuhusu suala hilo ambalo hujaombwa ushauri, ni ka watu usiowajua, na dynamics zake za ndani ya famikia huzielewi?

Huoni kwamba watu wanajipa umuhimu sana kwenye misiba ya watu wasiowafahamu, just because hao watu ni maarufu?

Mtu hata hajui makubaliano ya familia ya Sarungi, lakini anakuja hapa kutaka kushauri nini kifanyike.

Kwa nini watu wanajipa nafasi ambazo si zao?

Yani Maria kapata msiba wa kufiwa na baba yake, sasa hivi anapata msiba mwingine wa ku deal na Waswahili wa Social Media wanaojifanya wanaijua familia yake kuliko yeye anavyoijua mpaka wanataka kupanga mazoshi yaweje wao!
 
Mipaka pekee inayomzuia mtu kutoa maoni ni mipaka ya kisheria kama hajavunja sheria muache atumie uhuru wake wa kutoa maoni
 
Mipaka pekee inayomzuia mtu kutoa maoni ni mipaka ya kisheria kama hajavunja sheria muache atumie uhuru wake wa kutoa maoni
Kwani wapi nimekataza kutoa maoni?

Wewe unajua hata kusoma kwa ufahamu?

Hata hiyo hoja ua mipaka unayoisema ya sheria ni logical fallacy ya "argument from authority".

Sheria si lazima iwe haki, sheria si kazima iwe sawa.

Ndiyo maana sheria za kibaguzi zilibadilishwa Afrika Kusini.
 
Angalia usijekutombw@ maana una kimbelembele ka changudoa wa buguruni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…