Maria Sarungi apeleka ICC nyaraka muhimu za ukiukwaji wa Haki za Binadamu Tanzania wakati wa Uchaguzi Mkuu

Usitumie vyeti visivyo vyako kufanya kaz serikalini 😀 madhara yake ndio haya.
 
kujimwambafai kwa huyu dada. Huo upupu hauna vigezo vya kupokelewa kwenye ICC . Propaganda tu ; hela ya mabeberu siyo lelemama.
Ukute hata vigezo vyenyewe hauvijui, inaonekana jamaa kasuku sana wewe. Kama unavyosema hela ya mabeberu.Ukiulizwa mabeberu ni wakina nani utajibu kweli? haya mnaforce upinzani upokee special seats...ili mpate pesa kutoka kwa donor countries, je hao ndio mabeberu?
 
Ndio maana Marekani haitaki hii ICC.
 
Ila huwa hawaguswi na serikali,pengine hiyo inawapa ujasiri.
 
Maria,
Unamuaibisha mjukuu wangu Prof Sarungi na sifa zako za kijinga. Profesa ametumikia taifa la Tz kwa uaminifu na uzalendo wa hali ya juu. ICC hawafanyi kazi kwa cheap politics. Tizama ni vema ukaongeza marafiki kuliko kuongeza maadui.
potelea mbali vyovyote itakavyokuwa haya maisha tunapita tu wacha waende ICC wakutanishwe na Fatou Bensuda
 
Kama Maria anaona shida kuishi Tanzania aondoke yeye na wenzake watuachie nchi yetu.
 
Mbona kamsahau Makonda, Mwigulu, Rpc Dodoma, na kamanda anda maalum Dar?
 
Kwanini Mungu hakulinda kura zisiibiwe?
Ulishajiuliza kwa nini Mungu aliruhusu Yohana akatwe kichwa au Daniel afungwe gerezani?
Ukipata jibu utaelewa kwa nini Mungu karuhusu ccm waibe kura.
 
Jiwe jiandae na safari za ICC; hilo la ukomo utabadilishia katiba huko huko ili iwe Rais wa milele Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…