Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,079
- 4,521
Hakuna anayependa nchi na watu wake atamshauri Rais aanze upyaBinafsi naona Kuna Jambo lilitaka kufanyika, Mimi simuamini bashiru Ally kabisa.Ndo maana wanaopenda nchi yetu kwa dhati wanashauri avunje Baraza la mawaziri
Ni kweli ulilosema jakaya ni nyoka,ana michezo ya hatari sana wanaomfahamu wanalijua vizuri,mama anatakiwa awe smart sana... Jamaa ni nyokaaa.The only person who might tarnish her presidency is Jakaya Kikwete!! Huyu ni mtu hatari sana ambae Rais anatakiwa atumie busara na akili kumkwepe ingawa alijinasibu kuwa alikuwa instrumental kumpandisha Samia mpaka hapo alipo!!
Ana uswahili Swahili fulani hivi halafu ni mtu wa makundi ambayo ni divisive!!!
Natamani nianze kampeni ya kumwondoa kwenye system hyu mnyarwanda,yaani nimeunga dot hyu bashiru hafai kwa ustawi wa serikali yetu,unampangia samia ziara ya siku saba ikiwa raisi yupo hoi kitandani?mlitaka kuipindua katiba?na vipi majaliwa kuahirisha ziara afu makamu akapangiwa ziara yaani basi tuJamaa ana wasalimiaView attachment 1736491
Well said!The only person who might tarnish her presidency is Jakaya Kikwete!! Huyu ni mtu hatari sana ambae Rais anatakiwa atumie busara na akili kumkwepe ingawa alijinasibu kuwa alikuwa instrumental kumpandisha Samia mpaka hapo alipo!!
Ana uswahili Swahili fulani hivi halafu ni mtu wa makundi ambayo ni divisive!!!
Umenikuna sana kiongozi, nimependa intellect yako, wewe ni mtu uonaye in 3DIts very true that the message was NOT intended for the WHOLE public consumption but rather for few power mongering individuals within the upper political class. Hata ile tu ya kumpa CDF nafasi ya kuongea kwa niaba ya vikosi vya ulinzi na usalama it was UNUSUAL according to our burial rituals.
Kuna mengi nyuma ya pazia.
Una point ya msingi, nilikua najiuliza mbona yule mjeda yuko karibu sana na rais na sio kawaida kuwa na adc na body guard wa rais na mjeda mwingine...
Ok
Ni kweli ulilosema jakaya ni nyoka,ana michezo ya hatari sana wanaomfahamu wanalijua vizuri,mama anatakiwa awe smart sana... Jamaa ni nyokaaa.
Thanks for your appreciation,,,jamiiforum imevamiwa na watu ambao hawana muda wa kufikiri. They politicize everything brother.Umenikuna sana kiongozi, nimependa intellect yako, wewe ni mtu uonaye in 3D