Maria Sarungi: Hili la ahadi ya JWTZ kumtii Samia Suluhu sio la kawaida

Maria Sarungi: Hili la ahadi ya JWTZ kumtii Samia Suluhu sio la kawaida

Wewe ni muongo! Magufuli anaingia madarakani Mabeyo alikuwa Chief of Staff, yaani alikuwa namba mbili kutoka kwa Mwamunyange ambaye alikuwa CDF. Hivyo hakuna waliopanguliwa kumpisha Mabeyo bali alipandishwa cheo mara baada ya Mwamunyange kustaafu.
Wewe ndio huna taarifa sahihi

Magufuli anaingia madarakani Chief of Staff alikuwa Lt Gen Samuel Ndomba
 
Sawa lakini ni kukosa uelewa Mabeyo ni senior kwa Mwakibolwa.
Mabeyo ni senior kwa Mwakibolwa kwenye nini ? Kama unasema kwa sasa sawa

Ila tukirudi nyuma mwaka 2015 kurudi nyuma Mwakibolwa alikuwa senior kwa Mabeyo ngazi ya Brig Gen na na ngazi ya Maj Gen
 
Ndomba alistaafu akafuatiwa na Mabeyo kama Chief of Staff.
Batch kubwa sana ya majenerali ilistaafu mwezi Jan mwaka 2016 akiwemo na Lt.Gen Ndomba na katika mwezi huo huo Mabeyo akapandishwa kuwa Lt.Gen na kuteuliwa kuwa chief of staff
 

Mwanaharakati Maria Sarungi anaandika

Very unusual statement! Goes without saying that the sitting President is the Commander in Chief, yet Chief of Defence Forces goes out of his way to emphasize that the army will obey President @samia_suluhu_hassan
Kuna haja gani kusisitiza maana sisi wananchi tunajua vyema kuwa Amiri Jeshi Mkuu wetu ni Rais! Huu ujumbe siyo wetu ila kile kikundi alichosema Mama wanauliza “Huyu mama ataweza kuwa Rais” na si ajabu waliongea mengine huko ndani! Ni hivi: [emoji1428] Mh Rais Samia Suluhu Hassan - get used to it!
Asante CDF [emoji1421]
Clearly there must be a lot going on behind the scenes!
Nothing unusual at all. The General was actually speaking to activists and traitors in our midst, plus the TLS president (s) who take advantage of the President's gender to sow mischief as they betray our country. Mkishikwa mnalia gender. You been warned.
 
Mama Samia anza kwa kumpiga chini huyo Bashiru mapema kabisa kabla hajakukwamisha, huyo ni mtu hatari sana kwa uongozi wako.

Just a WARN
 
Nothing unusual at all. The General was actually speaking to activists and traitors in our midst, plus the TLS president (s) who take advantage of the President's gender to sow mischief as they betray our country. Mkishikwa mnalia gender. You been warned.
Rais wa TLS anaingiaje hapa katika sakata hili?
 
mkuu upo vizur
Nime NOTE mambo mawili makubwa kutokana na speech aliotoa CDF Mabeyo jana.

Kwanza, kitendo cha kutamka kwamba Jeshi kuweka nadharia na tamko la kumtii Rais Samia kama jinsi katiba inavyotaka. Imeashiria kuna watu nyuma ya pazia walianza kushawishi na kusambaza propaganda chini kwa chini kwa jeshi na vyombo vingine kukataa kumtii na kumtambua Rais Samia. Kifupi, kuna struggle of power ilitaka kutokea mara baada ya Rais Magufuli kuugua sana na baada ya kufariki, kupelekea CDF Mabeyo kuingilia kati na kugoma kwenda kinyume na katiba kwa vishawawishi wa waliotaka kufanya mapinduzi.

REF Pia: Tarehe ambazo Rais Magufuli alivyougua sana na ndio usiku wake akafariki, Makamo Wa Rais Samia alipangiwa ziara ya kwenda Tanga ya Siku 7, na alisisitiza sana kwa msisitizo wa juu kabisa kutuomba raia tumuombee dua kwa mungu yeye na msafara wake uende salama na urudi salama alipokua Tanga akihutubia, alionekana ni mtu mwenye hofu na mashaka juu ya usalama wa msafara wake (Rudia kuangalia video zile).

Ziara za viongozi huwa zinapangwa kutoka kwa "Katibu Mkuu Kiongozi Ofisi Ya Rais - Ambaye Ni Dk Bashiru Ally Kakurwa". Kwa scenario hii, hakuna shaka Dk. Bashiru Ally ndio aliompangia ziara Makamo Wa Rais Samia Suluhu kumpeleka tanga kwa siku 7.

Swali,

1) Unampangia vipi Makamo Wa Rais ziara ya kazi ya kusafiri kwa muda wa Siku 7, wakati ukijua kwamba Rais ana hali isioridhisha na muda wowote lolote linaweza kumtokea?

2) Kwamba muda wowote huyo Makamo Wa Rais unaempeleka ziara ya Siku 7, anaweza kutakiwa kutangaza kifo cha Rais na kushika dola ya uongozi wa nchi?

3) Kwanini Makamo Wa Rais asingefutiwa ziara hizo, kuwekwa sehemu salama na kuongezewa ulinzi wa hali ya juu kwa lolote likitokea kwa Rais anaeumwa?

4) Makamo Wa Rais kupelekwa Tanga kufanya ziara ya Siku 7, mkoa wa tanga ambao ni mdogo na angeweza kuumaliza ziara zake kwa siku moja au mbili tu tena kwa kutumia hata boda boda. Siku 7 zote hizo za nini? Kipi au miradi gani ambayo ipo tanga ingemchukua siku 7 kumaliza kuzifanyia ziara hizo???. Haiingii akilini kabisa.

Jambo la pili,

Lack Of Proffessionalism, hakukua na haja yoyote ya yeye CDF kutangaza mbele ya umma na dunia kwamba kuna siri amepewa yeye na Rais Magufuli, angekaa kimya na kufanya appointment ya kwenda kuonana nae private katika Ofisi Ya Rais Ikulu.

Kitendo cha yeye kutangaza mbele ya umma kwamba amepewa siri na Rais Magufuli ni hatari hata kwake yeye CDF dhidi ya maadui wa nje na ndani ya Tanzania. Pia ni kuzua taharuki na sintofahamu isiokua na ulazima wowote kwa raia na wageni waliohudhuria mazishi na hata kwa wale walioshuhudia mazishi katika vyombo vya habari.

"LABDA PENGINE" CDF Mabeyo nimepokea speech yake ndivyo-sivyo kwenye swala la lack of proffessionalism, na pengine ujumbe aliotaka kuufikisha kwa viongozi wa umma (Makatibu na Mawaziri) ni kuonesha hasira zake kwao waliotaka kuforce na kueneza propaganda ili Mama Samia asiapishwe kuwa Rais na kuchelewesha kutangaza msiba wa Rais Magufuli. Hasira alizielekeza kwa wale waliotaka Katiba ivunjwe na mapinduzi yafanyike sambamba na kujichotea mabillioni ya pesa hazina kabla ya kutangazwa kifo cha Rais.

Ila kitendo cha yeye CDF kutamka kwamba JESHI LINAMUUNGA MKONO NA LIPO NYUMA YAKE RAIS ni jambo la msingi sana kwa taifa, tetesi za kwamba jeshi lilitaka kufanya mapinduzi au jeshi lipo njia panda juu ya uongozi wa Rais Samia umetokomezwa na kufutwa kabisa. Na amethibitisha jeshi letu lipo imara na "HALIJA YUMBISHWA NA WASAKA MADARAKA KWA NGUVU (WAZEE WA PROPAGANDA)", pia ni ONYO KWA YOYOTE ATAKAETAKA KUFANYA UJINGA UJINGA ili kumkwamisha Rais aliepo kikatiba.

UJUMBE KWA RAIS SAMIA SUKUHU HASSAN - CDF Mabeyo ni tunu kwa taifa, na ni zawadi kwa utawala wako mama, shirikiana nae mguu kwa mguu kuisafisha serikali na viongozi wa umma wote waliotaka kucheza michezo michafu tokea kipindi Rais Magufuli, anaumwa na mpaka alipofariki.

Hata kama kuna wana CCM wenye vyeo vya juu wamehusika kumwaga sumu ilikufanya mapinduzi washughulikie mapema (Nina Amini kuna Mawaziri/Naibu Waziri/Makatibu Wakuu wamefurahishwa sana na kifo cha Rais Magufuli kufariki, wakiamini aliekuwa anawabana sasa hayupo - VUNJA BARAZA LOTE LA MAWAZIRI).

Wangesababisha machafuko makubwa sana kama wangefanikiwa ushenzi waliotaka kuufanya - Tumesikia, wapo waliojichotea Mabillioni kule hazina kwa kigezo cha kununua vifaa vya kumtibu Rais Magufuli. Wengine hela zile baada ya kuchukua wamegawa kwa wajumbe kumpitisha mtu wao kuwa Makamo Wa Rais. Pita nao woteeeeee!!! Raia na Jeshi lipo nyuma yako Mama!!!
 
Nime NOTE mambo mawili makubwa kutokana na speech aliotoa CDF Mabeyo jana.

Kwanza, kitendo cha kutamka kwamba Jeshi kuweka nadharia na tamko la kumtii Rais Samia kama jinsi katiba inavyotaka. Imeashiria kuna watu nyuma ya pazia walianza kushawishi na kusambaza propaganda chini kwa chini kwa jeshi na vyombo vingine kukataa kumtii na kumtambua Rais Samia. Kifupi, kuna struggle of power ilitaka kutokea mara baada ya Rais Magufuli kuugua sana na baada ya kufariki, kupelekea CDF Mabeyo kuingilia kati na kugoma kwenda kinyume na katiba kwa vishawawishi wa waliotaka kufanya mapinduzi.

REF Pia: Tarehe ambazo Rais Magufuli alivyougua sana na ndio usiku wake akafariki, Makamo Wa Rais Samia alipangiwa ziara ya kwenda Tanga ya Siku 7, na alisisitiza sana kwa msisitizo wa juu kabisa kutuomba raia tumuombee dua kwa mungu yeye na msafara wake uende salama na urudi salama alipokua Tanga akihutubia, alionekana ni mtu mwenye hofu na mashaka juu ya usalama wa msafara wake (Rudia kuangalia video zile).

Ziara za viongozi huwa zinapangwa kutoka kwa "Katibu Mkuu Kiongozi Ofisi Ya Rais - Ambaye Ni Dk Bashiru Ally Kakurwa". Kwa scenario hii, hakuna shaka Dk. Bashiru Ally ndio aliompangia ziara Makamo Wa Rais Samia Suluhu kumpeleka tanga kwa siku 7.

Swali,

1) Unampangia vipi Makamo Wa Rais ziara ya kazi ya kusafiri kwa muda wa Siku 7, wakati ukijua kwamba Rais ana hali isioridhisha na muda wowote lolote linaweza kumtokea?

2) Kwamba muda wowote huyo Makamo Wa Rais unaempeleka ziara ya Siku 7, anaweza kutakiwa kutangaza kifo cha Rais na kushika dola ya uongozi wa nchi?

3) Kwanini Makamo Wa Rais asingefutiwa ziara hizo, kuwekwa sehemu salama na kuongezewa ulinzi wa hali ya juu kwa lolote likitokea kwa Rais anaeumwa?

4) Makamo Wa Rais kupelekwa Tanga kufanya ziara ya Siku 7, mkoa wa tanga ambao ni mdogo na angeweza kuumaliza ziara zake kwa siku moja au mbili tu tena kwa kutumia hata boda boda. Siku 7 zote hizo za nini? Kipi au miradi gani ambayo ipo tanga ingemchukua siku 7 kumaliza kuzifanyia ziara hizo???. Haiingii akilini kabisa.

Jambo la pili,

Lack Of Proffessionalism, hakukua na haja yoyote ya yeye CDF kutangaza mbele ya umma na dunia kwamba kuna siri amepewa yeye na Rais Magufuli, angekaa kimya na kufanya appointment ya kwenda kuonana nae private katika Ofisi Ya Rais Ikulu.

Kitendo cha yeye kutangaza mbele ya umma kwamba amepewa siri na Rais Magufuli ni hatari hata kwake yeye CDF dhidi ya maadui wa nje na ndani ya Tanzania. Pia ni kuzua taharuki na sintofahamu isiokua na ulazima wowote kwa raia na wageni waliohudhuria mazishi na hata kwa wale walioshuhudia mazishi katika vyombo vya habari.

"LABDA PENGINE" CDF Mabeyo nimepokea speech yake ndivyo-sivyo kwenye swala la lack of proffessionalism, na pengine ujumbe aliotaka kuufikisha kwa viongozi wa umma (Makatibu na Mawaziri) ni kuonesha hasira zake kwao waliotaka kuforce na kueneza propaganda ili Mama Samia asiapishwe kuwa Rais na kuchelewesha kutangaza msiba wa Rais Magufuli. Hasira alizielekeza kwa wale waliotaka Katiba ivunjwe na mapinduzi yafanyike sambamba na kujichotea mabillioni ya pesa hazina kabla ya kutangazwa kifo cha Rais.

Ila kitendo cha yeye CDF kutamka kwamba JESHI LINAMUUNGA MKONO NA LIPO NYUMA YAKE RAIS ni jambo la msingi sana kwa taifa, tetesi za kwamba jeshi lilitaka kufanya mapinduzi au jeshi lipo njia panda juu ya uongozi wa Rais Samia umetokomezwa na kufutwa kabisa. Na amethibitisha jeshi letu lipo imara na "HALIJA YUMBISHWA NA WASAKA MADARAKA KWA NGUVU (WAZEE WA PROPAGANDA)", pia ni ONYO KWA YOYOTE ATAKAETAKA KUFANYA UJINGA UJINGA ili kumkwamisha Rais aliepo kikatiba.

UJUMBE KWA RAIS SAMIA SUKUHU HASSAN - CDF Mabeyo ni tunu kwa taifa, na ni zawadi kwa utawala wako mama, shirikiana nae mguu kwa mguu kuisafisha serikali na viongozi wa umma wote waliotaka kucheza michezo michafu tokea kipindi Rais Magufuli, anaumwa na mpaka alipofariki.

Hata kama kuna wana CCM wenye vyeo vya juu wamehusika kumwaga sumu ilikufanya mapinduzi washughulikie mapema (Nina Amini kuna Mawaziri/Naibu Waziri/Makatibu Wakuu wamefurahishwa sana na kifo cha Rais Magufuli kufariki, wakiamini aliekuwa anawabana sasa hayupo - VUNJA BARAZA LOTE LA MAWAZIRI).

Wangesababisha machafuko makubwa sana kama wangefanikiwa ushenzi waliotaka kuufanya - Tumesikia, wapo waliojichotea Mabillioni kule hazina kwa kigezo cha kununua vifaa vya kumtibu Rais Magufuli. Wengine hela zile baada ya kuchukua wamegawa kwa wajumbe kumpitisha mtu wao kuwa Makamo Wa Rais. Pita nao woteeeeee!!! Raia na Jeshi lipo nyuma yako Mama!!!
Upo sahihi kwa uloyaeleza, ila swala la kusema CDF kutamka mbele ya umati kuwa ana jambo la kumweleza Rais, kuwa ni unproffessional siyo sahihi. Hiyo ndo proffesionalism ya kijeshi. Jeshi sikuzote linatawaliwa kwa kanuni zake, si kwa sheria za kiraia. Huyu CDF ni Military intelligency. Ni mtu aliebobea katika fani yake na anajua maswala ya utawala pia.

Kwa nini alistahili kutamka hivyo. Hayati Rais Magufuli alishafahamu atakufa. Na uenda alishajua kuwa kuna mambo ajaacha sawa na hivyo alihitaji kuongea na mtu alie karibu zaidi. Bahati mbaya Makamu wake inasemekana hakupewa ukaribu kujua nini kinaendelea. Hivyo Magufuli kaacha wosia kwa CDF.
Na uenda CDF anamengi aliyoelezwa. Ila katamka hilo moja kuonesha kuwa hata Magufuli kunamaagizo kayaacha kwa mtu atakae mrithi ambae ni mama Samia.

Hii ni kutaka kuonesha lile kundi lilolo kinyume na Rais mama Samia kuwa jeshi lina siri ambayo ni maalum kwa mama Samia si vinginevyo. Na kwamba tayari kuna connection kubwa kati ya Jeshi na Rais mama Samia. Hii mara nyingi ni mbinu za kijeshi ili kuondoa mbinu chafu. Ndo maana ikawekwa wazi kuwa kuna jambo, lakini mwenye kuambiwa hilo jambo ni Rais Samia pekee.
Ni kweli angeweza mfuata akamwambia. Lakini kwakua kuna mchezo mchafu kwa baadhi ya viongozi, CDF akaonesha indictor tu. Hiyo ni indicator ya gari watu wawe alerted. Hivyo hiyo mbinu ilotumika ni kutaka iwe wazi kwa wananchi na viongozi wote kuwa jeshi lilivyokuwa likifanya kazi na Rais Magufuli kabla ya umauti wake litaendelea kushirikiana na Rais Samia Suluhu. Hivyo hayo maelezo ni tambo za kijeshi. Na hiyo ilikuwa ishara tu mtu yoyote asilete fyokofyoko juu ya Rais Samia Suluhu.
Ndo maana CDF katamka wazi. Subirini, kuna watu watapigwa chini. Uwezi kuongoza na watu ambao inaonesha hawakukubali. Haitajalisha ukubwa wa nafasi zao. Piga wote chini Rais Samia Suluhu. Bado Sumaye ndo ataendelea kubaki kuwa Waziri Mkuu pekee alo kaa madarakani kwa miaka 10.
 
Seating arrangements ya jana kwa wote tulioangalia LIVE inatosha kuonyesha Taifa nani wako nyuma ya Urais wa Mh Samia
Ile hotuba ya CDF ni warning ya wote walioficha kifo cha Rais ili “wapindue” serikali !!!! ni ONYO !!
TPDF inaenda kusimamia reforms ndani ya IDARA YA USALAMA SOON

Brig Ibuge a TPDF man ndio anasimamia affairs za ikulu na sio Bashiru
Kumbukeni alishahamishiwa Foreigh kama Katibu Mkuu lakini toka samia wa samaki ameingia yeye ndio anaonekana right hand kila mahali mara nyingine kama role ya mkuu wa itifaki na “Katibu mkuu kiongozi”
na mara zote katibu mkuu kiongozi amekalishwa nyuma kule kama wageni waalikwa wengine .. show zote ndani ya ikulu mnajua sasa nani anasimamia
wale ambao bado hawaelewi waendeleee kujaribu waone!!!!
Kweli kabisa hilo hata mimi nimeliona kwa BRIG.IBUGE
 
Una point za msingi ila cdf hakusema ana siri toka kwa rais jpm bali DOKEZO, nafikiri hapa watafsiri wa hili neno dokezo ndio wanaweka mafuta kuwa ni SIRI fulani...
Lakini mbona hilo dokezo ni kama alilichomekea katikati ya maelezo yaliyohusu ujenzi wa ukuta wa Mererani au mimi ndiye sikusiiliza vizuri.
 
Nime NOTE mambo mawili makubwa kutokana na speech aliotoa CDF Mabeyo jana.

Kwanza, kitendo cha kutamka kwamba Jeshi kuweka nadharia na tamko la kumtii Rais Samia kama jinsi katiba inavyotaka. Imeashiria kuna watu nyuma ya pazia walianza kushawishi na kusambaza propaganda chini kwa chini kwa jeshi na vyombo vingine kukataa kumtii na kumtambua Rais Samia. Kifupi, kuna struggle of power ilitaka kutokea mara baada ya Rais Magufuli kuugua sana na baada ya kufariki, kupelekea CDF Mabeyo kuingilia kati na kugoma kwenda kinyume na katiba kwa vishawawishi wa waliotaka kufanya mapinduzi.

REF Pia: Tarehe ambazo Rais Magufuli alivyougua sana na ndio usiku wake akafariki, Makamo Wa Rais Samia alipangiwa ziara ya kwenda Tanga ya Siku 7, na alisisitiza sana kwa msisitizo wa juu kabisa kutuomba raia tumuombee dua kwa mungu yeye na msafara wake uende salama na urudi salama alipokua Tanga akihutubia, alionekana ni mtu mwenye hofu na mashaka juu ya usalama wa msafara wake (Rudia kuangalia video zile).

Ziara za viongozi huwa zinapangwa kutoka kwa "Katibu Mkuu Kiongozi Ofisi Ya Rais - Ambaye Ni Dk Bashiru Ally Kakurwa". Kwa scenario hii, hakuna shaka Dk. Bashiru Ally ndio aliompangia ziara Makamo Wa Rais Samia Suluhu kumpeleka tanga kwa siku 7.

Swali,

1) Unampangia vipi Makamo Wa Rais ziara ya kazi ya kusafiri kwa muda wa Siku 7, wakati ukijua kwamba Rais ana hali isioridhisha na muda wowote lolote linaweza kumtokea?

2) Kwamba muda wowote huyo Makamo Wa Rais unaempeleka ziara ya Siku 7, anaweza kutakiwa kutangaza kifo cha Rais na kushika dola ya uongozi wa nchi?

3) Kwanini Makamo Wa Rais asingefutiwa ziara hizo, kuwekwa sehemu salama na kuongezewa ulinzi wa hali ya juu kwa lolote likitokea kwa Rais anaeumwa?

4) Makamo Wa Rais kupelekwa Tanga kufanya ziara ya Siku 7, mkoa wa tanga ambao ni mdogo na angeweza kuumaliza ziara zake kwa siku moja au mbili tu tena kwa kutumia hata boda boda. Siku 7 zote hizo za nini? Kipi au miradi gani ambayo ipo tanga ingemchukua siku 7 kumaliza kuzifanyia ziara hizo???. Haiingii akilini kabisa.

Jambo la pili,

Lack Of Proffessionalism, hakukua na haja yoyote ya yeye CDF kutangaza mbele ya umma na dunia kwamba kuna siri amepewa yeye na Rais Magufuli, angekaa kimya na kufanya appointment ya kwenda kuonana nae Rais Samia private katika Ofisi Ya Rais Ikulu.

Kitendo cha yeye kutangaza mbele ya umma kwamba amepewa siri na Rais Magufuli ni hatari hata kwake yeye CDF dhidi ya maadui wa nje na ndani ya Tanzania. Pia ni kuzua taharuki na sintofahamu isiokua na ulazima wowote kwa raia na wageni waliohudhuria mazishi na hata kwa wale walioshuhudia mazishi katika vyombo vya habari.

"LABDA PENGINE" CDF Mabeyo nimepokea speech yake ndivyo-sivyo kwenye swala la lack of proffessionalism, na pengine ujumbe aliotaka kuufikisha kwa viongozi wa umma (Makatibu na Mawaziri) ni kuonesha hasira zake kwao waliotaka kuforce na kueneza propaganda ili Mama Samia asiapishwe kuwa Rais na kuchelewesha kutangaza msiba wa Rais Magufuli. Hasira alizielekeza kwa wale waliotaka Katiba ivunjwe na mapinduzi yafanyike sambamba na kujichotea mabillioni ya pesa hazina kabla ya kutangazwa kifo cha Rais.

Ila kitendo cha yeye CDF kutamka kwamba JESHI LINAMUUNGA MKONO NA LIPO NYUMA YAKE RAIS ni jambo la msingi sana kwa taifa, tetesi za kwamba jeshi lilitaka kufanya mapinduzi au jeshi lipo njia panda juu ya uongozi wa Rais Samia umetokomezwa na kufutwa kabisa. Na amethibitisha jeshi letu lipo imara na "HALIJA YUMBISHWA NA WASAKA MADARAKA KWA NGUVU (WAZEE WA PROPAGANDA)", pia ni ONYO KWA YOYOTE ATAKAETAKA KUFANYA UJINGA UJINGA ili kumkwamisha Rais aliepo kikatiba.

UJUMBE KWA RAIS SAMIA SUKUHU HASSAN - CDF Mabeyo ni tunu kwa taifa, na ni zawadi kwa utawala wako mama, shirikiana nae mguu kwa mguu kuisafisha serikali na viongozi wa umma wote waliotaka kucheza michezo michafu tokea kipindi Rais Magufuli, anaumwa na mpaka alipofariki.

Hata kama kuna wana CCM wenye vyeo vya juu wamehusika kumwaga sumu ilikufanya mapinduzi washughulikie mapema (Nina Amini kuna Mawaziri/Naibu Waziri/Makatibu Wakuu wamefurahishwa sana na kifo cha Rais Magufuli kufariki, wakiamini aliekuwa anawabana sasa hayupo - VUNJA BARAZA LOTE LA MAWAZIRI).

Wangesababisha machafuko makubwa sana kama wangefanikiwa ushenzi waliotaka kuufanya - Tumesikia, wapo waliojichotea Mabillioni kule hazina kwa kigezo cha kununua vifaa vya kumtibu Rais Magufuli. Wengine hela zile baada ya kuchukua wamegawa kwa wajumbe kumpitisha mtu wao kuwa Makamo Wa Rais. Pita nao woteeeeee!!! Raia na Jeshi lipo nyuma yako Mama!!!
Umeongea maneno mazito lakini msingi wake upo kwenye kudhaniadhania! How I wish ungekuwa na uhakika nayo ili hao walafi wa madaraka tuwajue na kuwashughurikia huko kitaa🤔! Otherwise, statement s kama hizo ulizoleta zisipokuwa na ukweli zinaweza kuleta taharuki kwa rais wetu zisizo za lazima! Maoni yangu ni yeye rais wetu kutovunja balaza la mawaziri na kufuatilia mienendo ya mawaziri wote bila majungu na uzushi! Awatumbue watakao shindwa kufanya kazi kwa viwango vinavyotakiwa, speed + uadirifu!
Mungu azidi kumlinda kumuongoza na kumbariki rais wetu mpendwa mama SSH na nchi yetu yote🙏, amen🙏!
 
Samia will be a good president

The only person who might tarnish her presidency is Jakaya Kikwete!! Huyu ni mtu hatari sana ambae Rais anatakiwa atumie busara na akili kumkwepe ingawa alijinasibu kuwa alikuwa instrumental kumpandisha Samia mpaka hapo alipo!!
Ana uswahili Swahili fulani hivi halafu ni mtu wa makundi ambayo ni divisive!!!
 

Mwanaharakati Maria Sarungi anaandika

Very unusual statement! Goes without saying that the sitting President is the Commander in Chief, yet Chief of Defence Forces goes out of his way to emphasize that the army will obey President @samia_suluhu_hassan
Kuna haja gani kusisitiza maana sisi wananchi tunajua vyema kuwa Amiri Jeshi Mkuu wetu ni Rais! Huu ujumbe siyo wetu ila kile kikundi alichosema Mama wanauliza “Huyu mama ataweza kuwa Rais” na si ajabu waliongea mengine huko ndani! Ni hivi: [emoji1428] Mh Rais Samia Suluhu Hassan - get used to it!
Asante CDF [emoji1421]
Clearly there must be a lot going on behind the scenes!
Huyu dada anazidi kujiweka yeye na familia yake kwenye wakat mgumu sana....haya tusubiri
 
Binafsi naona Kuna Jambo lilitaka kufanyika, Mimi simuamini bashiru Ally kabisa.Ndo maana wanaopenda nchi yetu kwa dhati wanashauri avunje Baraza la mawaziri
 
Sawa anapewa, ila unamvua alitaka fanya coup d'etat au kuna sababu nyingine ya msingi? kum-demote general kuwa luten general sio kazi rahisi kama unavyoongea hapa, lazima uwe na sababu ya msingi..
Kumvua tu ili kuweka mtu wako bila ya kuwa na sababu ya msingi labda kafanya mutiny au ame plot coup d'etat sababu nyingine haina mashiko...i dont think madame president is this dumb...
Kama ni kumtoa mabeyo ni asubiri afikishe umri wa kustaafu kisha ataweka mtu wake! Cdf sio kama igp...
Hamna kitu kama icho general anaondolewa na raisi tena kwa utashi wake bila kuhojiwa na yyte yule, na akitolewa haina maana cheo chake cha kijeshi pia kinashuka no, anaweza tolewa akapangiwa majukumu mengine...kama ambavo inspekta general wa police mangu alivotolewa akurudi kicheo kuwa commisioner no alibaki na cheo chake cha kipolisi ila akapewa ubalozi, kama ambavo mkurugenzi wa usalama alivotolewa ndivo hivohivo general wa jeshi la ulinzi nae anavoweza kutolewa..rejea mifano ya nchi mbambali yenye mifumo kama yetu jinsi maraisi walivowaondo ma jenerali kirahisi tu........mtu kama judge mkuu wa Tanzania ndio kuna kipengele katika kumtoa tena kimeainishwa kwene katiba, mtu kama CAG ila wakuu wa vyombo vya ulinzi wanatolewa asubuhi kweupe
 
Mkuu wa majeshi muda wote alikuwa anakaa jirani Mh Rais badala ya kukaa na wakuu wengine wa vyombo vya ulinzi na usalama! Means bado Jeshi linaendesha show hadi "idara" zinyooke!
Hamna ki itifaki swala la maziko wa mkuu wa nchi ni swala lipo chini ya jeshi la ulinzi ndo maana cdf anakuwa mbele kama pia mwene shuhuri
 
Mimi nina wazazi, dada kama yeye na hata watoto wa kike ninao pia, naushangaa uanamke wake ulivyo tofauti tu, wala sina nia jambo jingine.

Baada ya msiba wa Rais Magufuli aliandika wazi "sitaki kuwa mnafiki, nimefurahi kwa kifo hicho, sijui alifurahishwaje!!maana wanawake wakati kama huu, ndio utajua udhaifu wao.

Leo tena anakuja na hitimisho lake kwamba kuna kitu baada ya kauli ile ya CDF! haya sio maoni ni muendelezo wa tabia ile ile ya kuwaza vitu kwa namna ya ajabu ajabu.

Wakati mimi naonekana labda namdhalilisha inawezekana nikaka kueleweka baadae huko kwamba niliona tatizo mapema.
Nakuunga mkono
 
Back
Top Bottom