Maria Sarungi: Hili la ahadi ya JWTZ kumtii Samia Suluhu sio la kawaida

Maria Sarungi: Hili la ahadi ya JWTZ kumtii Samia Suluhu sio la kawaida

Seating arrangements ya jana kwa wote tulioangalia LIVE inatosha kuonyesha Taifa nani wako nyuma ya Urais wa Mh Samia
Ile hotuba ya CDF ni warning ya wote walioficha kifo cha Rais ili “wapindue” serikali !!!! ni ONYO !!
TPDF inaenda kusimamia reforms ndani ya IDARA YA USALAMA SOON

Brig Ibuge a TPDF man ndio anasimamia affairs za ikulu na sio Bashiru
Kumbukeni alishahamishiwa Foreigh kama Katibu Mkuu lakini toka samia wa samaki ameingia yeye ndio anaonekana right hand kila mahali mara nyingine kama role ya mkuu wa itifaki na “Katibu mkuu kiongozi”
na mara zote katibu mkuu kiongozi amekalishwa nyuma kule kama wageni waalikwa wengine .. show zote ndani ya ikulu mnajua sasa nani anasimamia
wale ambao bado hawaelewi waendeleee kujaribu waone!!!!
Safi saaana
 
Unamtoa CDF wakati umri wa kustaafu bado alafu unaweka mwingine, huyu cheo chake kinakua kipi? Akisema hataki kustaafu kwa hiari utafanyaje? Toka historia ya jeshi inaanza hapa tz haijawahi tokea una generals 2 wote wako ofisini...
Hilo la kumpangua sio rahisi ni mpaka mda wake uishe kama ilivyofanyika kwa wengine wote.

Nachopenda wanaheshimu viapo vyao na wanajua wajibu wao
 
Nime NOTE mambo mawili makubwa kutokana na speech aliotoa CDF Mabeyo jana.

Kwanza, kitendo cha kutamka kwamba Jeshi kuweka nadharia na tamko la kumtii Rais Samia kama jinsi katiba inavyotaka. Imeashiria kuna watu nyuma ya pazia walianza kushawishi na kusambaza propaganda chini kwa chini kwa jeshi na vyombo vingine kukataa kumtii na kumtambua Rais Samia. Kifupi, kuna struggle of power ilitaka kutokea mara baada ya Rais Magufuli kuugua sana na baada ya kufariki, kupelekea CDF Mabeyo kuingilia kati na kugoma kwenda kinyume na katiba kwa vishawawishi wa waliotaka kufanya mapinduzi.

REF Pia: Tarehe ambazo Rais Magufuli alivyougua sana na ndio usiku wake akafariki, Makamo Wa Rais Samia alipangiwa ziara ya kwenda Tanga ya Siku 7, na alisisitiza sana kwa msisitizo wa juu kabisa kutuomba raia tumuombee dua kwa mungu yeye na msafara wake uende salama na urudi salama alipokua Tanga akihutubia, alionekana ni mtu mwenye hofu na mashaka juu ya usalama wa msafara wake (Rudia kuangalia video zile).

Ziara za viongozi huwa zinapangwa kutoka kwa "Katibu Mkuu Kiongozi Ofisi Ya Rais - Ambaye Ni Dk Bashiru Ally Kakurwa". Kwa scenario hii, hakuna shaka Dk. Bashiru Ally ndio aliompangia ziara Makamo Wa Rais Samia Suluhu kumpeleka tanga kwa siku 7.

Swali,

1) Unampangia vipi Makamo Wa Rais ziara ya kazi ya kusafiri kwa muda wa Siku 7, wakati ukijua kwamba Rais ana hali isioridhisha na muda wowote lolote linaweza kumtokea?

2) Kwamba muda wowote huyo Makamo Wa Rais unaempeleka ziara ya Siku 7, anaweza kutakiwa kutangaza kifo cha Rais na kushika dola ya uongozi wa nchi?

3) Kwanini Makamo Wa Rais asingefutiwa ziara hizo, kuwekwa sehemu salama na kuongezewa ulinzi wa hali ya juu kwa lolote likitokea kwa Rais anaeumwa?

4) Makamo Wa Rais kupelekwa Tanga kufanya ziara ya Siku 7, mkoa wa tanga ambao ni mdogo na angeweza kuumaliza ziara zake kwa siku moja au mbili tu tena kwa kutumia hata boda boda. Siku 7 zote hizo za nini? Kipi au miradi gani ambayo ipo tanga ingemchukua siku 7 kumaliza kuzifanyia ziara hizo???. Haiingii akilini kabisa.

Jambo la pili,

Lack Of Proffessionalism, hakukua na haja yoyote ya yeye CDF kutangaza mbele ya umma na dunia kwamba kuna siri amepewa yeye na Rais Magufuli, angekaa kimya na kufanya appointment ya kwenda kuonana nae private katika Ofisi Ya Rais Ikulu.

Kitendo cha yeye kutangaza mbele ya umma kwamba amepewa siri na Rais Magufuli ni hatari hata kwake yeye CDF dhidi ya maadui wa nje na ndani ya Tanzania. Pia ni kuzua taharuki na sintofahamu isiokua na ulazima wowote kwa raia na wageni waliohudhuria mazishi na hata kwa wale walioshuhudia mazishi katika vyombo vya habari.

"LABDA PENGINE" CDF Mabeyo nimepokea speech yake ndivyo-sivyo kwenye swala la lack of proffessionalism, na pengine ujumbe aliotaka kuufikisha kwa viongozi wa umma (Makatibu na Mawaziri) ni kuonesha hasira zake kwao waliotaka kuforce na kueneza propaganda ili Mama Samia asiapishwe kuwa Rais na kuchelewesha kutangaza msiba wa Rais Magufuli. Hasira alizielekeza kwa wale waliotaka Katiba ivunjwe na mapinduzi yafanyike sambamba na kujichotea mabillioni ya pesa hazina kabla ya kutangazwa kifo cha Rais.

Ila kitendo cha yeye CDF kutamka kwamba JESHI LINAMUUNGA MKONO NA LIPO NYUMA YAKE RAIS ni jambo la msingi sana kwa taifa, tetesi za kwamba jeshi lilitaka kufanya mapinduzi au jeshi lipo njia panda juu ya uongozi wa Rais Samia umetokomezwa na kufutwa kabisa. Na amethibitisha jeshi letu lipo imara na "HALIJA YUMBISHWA NA WASAKA MADARAKA KWA NGUVU (WAZEE WA PROPAGANDA)", pia ni ONYO KWA YOYOTE ATAKAETAKA KUFANYA UJINGA UJINGA ili kumkwamisha Rais aliepo kikatiba.

UJUMBE KWA RAIS SAMIA SUKUHU HASSAN - CDF Mabeyo ni tunu kwa taifa, na ni zawadi kwa utawala wako mama, shirikiana nae mguu kwa mguu kuisafisha serikali na viongozi wa umma wote waliotaka kucheza michezo michafu tokea kipindi Rais Magufuli, anaumwa na mpaka alipofariki.

Hata kama kuna wana CCM wenye vyeo vya juu wamehusika kumwaga sumu ilikufanya mapinduzi washughulikie mapema (Nina Amini kuna Mawaziri/Naibu Waziri/Makatibu Wakuu wamefurahishwa sana na kifo cha Rais Magufuli kufariki, wakiamini aliekuwa anawabana sasa hayupo - VUNJA BARAZA LOTE LA MAWAZIRI).

Wangesababisha machafuko makubwa sana kama wangefanikiwa ushenzi waliotaka kuufanya - Tumesikia, wapo waliojichotea Mabillioni kule hazina kwa kigezo cha kununua vifaa vya kumtibu Rais Magufuli. Wengine hela zile baada ya kuchukua wamegawa kwa wajumbe kumpitisha mtu wao kuwa Makamo Wa Rais. Pita nao woteeeeee!!! Raia na Jeshi lipo nyuma yako Mama!!!
Mimi nimeelewa siri Mabeyo amesema atampa mama inahusiana na MERELANI
 
Isn't that a norm. Even in their songs that's what they sing. I presume it's part of their oath. When CDF publicly declares military intentions it's a form of affirmation and assurance to the new boss. It's a norm!

Tunashangaa utaratibu. Sawa na kushangaa mtoza ushuru anapokusanya mapato. Ama mwisho wa maisha kuwa kifo. Sad!
Kushangaa sio kosa ..maana watu wanafanya reference kua Mzee Mwinyi,Hayati Mkapa,Mzee JK na Hayati JPM hakuna taarifa au kumbukumbu kusikia kauli kama hiyo!
 
Ndiyo maana lilikuwa recorded na mazingira fulani yasiyoeleweka kwenye Ile background. Mambo mazito
mwenyewe nikashangaa mbona makamu anatangaza kifo cha rais sebuleni kwake
ni kama haikua rasmi kabisa
 
Nime NOTE mambo mawili makubwa kutokana na speech aliotoa CDF Mabeyo jana.

Kwanza, kitendo cha kutamka kwamba Jeshi kuweka nadharia na tamko la kumtii Rais Samia kama jinsi katiba inavyotaka. Imeashiria kuna watu nyuma ya pazia walianza kushawishi na kusambaza propaganda chini kwa chini kwa jeshi na vyombo vingine kukataa kumtii na kumtambua Rais Samia. Kifupi, kuna struggle of power ilitaka kutokea mara baada ya Rais Magufuli kuugua sana na baada ya kufariki, kupelekea CDF Mabeyo kuingilia kati na kugoma kwenda kinyume na katiba kwa vishawawishi wa waliotaka kufanya mapinduzi.

REF Pia: Tarehe ambazo Rais Magufuli alivyougua sana na ndio usiku wake akafariki, Makamo Wa Rais Samia alipangiwa ziara ya kwenda Tanga ya Siku 7, na alisisitiza sana kwa msisitizo wa juu kabisa kutuomba raia tumuombee dua kwa mungu yeye na msafara wake uende salama na urudi salama alipokua Tanga akihutubia, alionekana ni mtu mwenye hofu na mashaka juu ya usalama wa msafara wake (Rudia kuangalia video zile).

Ziara za viongozi huwa zinapangwa kutoka kwa "Katibu Mkuu Kiongozi Ofisi Ya Rais - Ambaye Ni Dk Bashiru Ally Kakurwa". Kwa scenario hii, hakuna shaka Dk. Bashiru Ally ndio aliompangia ziara Makamo Wa Rais Samia Suluhu kumpeleka tanga kwa siku 7.

Swali,

1) Unampangia vipi Makamo Wa Rais ziara ya kazi ya kusafiri kwa muda wa Siku 7, wakati ukijua kwamba Rais ana hali isioridhisha na muda wowote lolote linaweza kumtokea?

2) Kwamba muda wowote huyo Makamo Wa Rais unaempeleka ziara ya Siku 7, anaweza kutakiwa kutangaza kifo cha Rais na kushika dola ya uongozi wa nchi?

3) Kwanini Makamo Wa Rais asingefutiwa ziara hizo, kuwekwa sehemu salama na kuongezewa ulinzi wa hali ya juu kwa lolote likitokea kwa Rais anaeumwa?

4) Makamo Wa Rais kupelekwa Tanga kufanya ziara ya Siku 7, mkoa wa tanga ambao ni mdogo na angeweza kuumaliza ziara zake kwa siku moja au mbili tu tena kwa kutumia hata boda boda. Siku 7 zote hizo za nini? Kipi au miradi gani ambayo ipo tanga ingemchukua siku 7 kumaliza kuzifanyia ziara hizo???. Haiingii akilini kabisa.

Jambo la pili,

Lack Of Proffessionalism, hakukua na haja yoyote ya yeye CDF kutangaza mbele ya umma na dunia kwamba kuna siri amepewa yeye na Rais Magufuli, angekaa kimya na kufanya appointment ya kwenda kuonana nae private katika Ofisi Ya Rais Ikulu.

Kitendo cha yeye kutangaza mbele ya umma kwamba amepewa siri na Rais Magufuli ni hatari hata kwake yeye CDF dhidi ya maadui wa nje na ndani ya Tanzania. Pia ni kuzua taharuki na sintofahamu isiokua na ulazima wowote kwa raia na wageni waliohudhuria mazishi na hata kwa wale walioshuhudia mazishi katika vyombo vya habari.

"LABDA PENGINE" CDF Mabeyo nimepokea speech yake ndivyo-sivyo kwenye swala la lack of proffessionalism, na pengine ujumbe aliotaka kuufikisha kwa viongozi wa umma (Makatibu na Mawaziri) ni kuonesha hasira zake kwao waliotaka kuforce na kueneza propaganda ili Mama Samia asiapishwe kuwa Rais na kuchelewesha kutangaza msiba wa Rais Magufuli. Hasira alizielekeza kwa wale waliotaka Katiba ivunjwe na mapinduzi yafanyike sambamba na kujichotea mabillioni ya pesa hazina kabla ya kutangazwa kifo cha Rais.

Ila kitendo cha yeye CDF kutamka kwamba JESHI LINAMUUNGA MKONO NA LIPO NYUMA YAKE RAIS ni jambo la msingi sana kwa taifa, tetesi za kwamba jeshi lilitaka kufanya mapinduzi au jeshi lipo njia panda juu ya uongozi wa Rais Samia umetokomezwa na kufutwa kabisa. Na amethibitisha jeshi letu lipo imara na "HALIJA YUMBISHWA NA WASAKA MADARAKA KWA NGUVU (WAZEE WA PROPAGANDA)", pia ni ONYO KWA YOYOTE ATAKAETAKA KUFANYA UJINGA UJINGA ili kumkwamisha Rais aliepo kikatiba.

UJUMBE KWA RAIS SAMIA SUKUHU HASSAN - CDF Mabeyo ni tunu kwa taifa, na ni zawadi kwa utawala wako mama, shirikiana nae mguu kwa mguu kuisafisha serikali na viongozi wa umma wote waliotaka kucheza michezo michafu tokea kipindi Rais Magufuli, anaumwa na mpaka alipofariki.

Hata kama kuna wana CCM wenye vyeo vya juu wamehusika kumwaga sumu ilikufanya mapinduzi washughulikie mapema (Nina Amini kuna Mawaziri/Naibu Waziri/Makatibu Wakuu wamefurahishwa sana na kifo cha Rais Magufuli kufariki, wakiamini aliekuwa anawabana sasa hayupo - VUNJA BARAZA LOTE LA MAWAZIRI).

Wangesababisha machafuko makubwa sana kama wangefanikiwa ushenzi waliotaka kuufanya - Tumesikia, wapo waliojichotea Mabillioni kule hazina kwa kigezo cha kununua vifaa vya kumtibu Rais Magufuli. Wengine hela zile baada ya kuchukua wamegawa kwa wajumbe kumpitisha mtu wao kuwa Makamo Wa Rais. Pita nao woteeeeee!!! Raia na Jeshi lipo nyuma yako Mama!!!
Toka mwaka umeanza comment bora kabisa kuisoma jf
 
Wapenda mabaya kwa TZ, kuzaliwa kwenye raha nako kuna shida zake, wako bored na yule mwenzake anayesumbuliwa na midlife crisis, ni shida kwa kweli..
Hao majamaa wanazingua Sana , wanaumia Sana wanapoona Kwa Mwinyi , Kenyatta na hata mseveni Wanaona kama haki Yao kurithishana , Nyerere angekuwa na ubinafs huo sjui tungefika wap, mbaya Zaid hawana talent yyte ya uongozi wala mvuto kisiasa ....
 
Nime NOTE mambo mawili makubwa kutokana na speech aliotoa CDF Mabeyo jana.

Kwanza, kitendo cha kutamka kwamba Jeshi kuweka nadharia na tamko la kumtii Rais Samia kama jinsi katiba inavyotaka. Imeashiria kuna watu nyuma ya pazia walianza kushawishi na kusambaza propaganda chini kwa chini kwa jeshi na vyombo vingine kukataa kumtii na kumtambua Rais Samia. Kifupi, kuna struggle of power ilitaka kutokea mara baada ya Rais Magufuli kuugua sana na baada ya kufariki, kupelekea CDF Mabeyo kuingilia kati na kugoma kwenda kinyume na katiba kwa vishawawishi wa waliotaka kufanya mapinduzi.

REF Pia: Tarehe ambazo Rais Magufuli alivyougua sana na ndio usiku wake akafariki, Makamo Wa Rais Samia alipangiwa ziara ya kwenda Tanga ya Siku 7, na alisisitiza sana kwa msisitizo wa juu kabisa kutuomba raia tumuombee dua kwa mungu yeye na msafara wake uende salama na urudi salama alipokua Tanga akihutubia, alionekana ni mtu mwenye hofu na mashaka juu ya usalama wa msafara wake (Rudia kuangalia video zile).

Ziara za viongozi huwa zinapangwa kutoka kwa "Katibu Mkuu Kiongozi Ofisi Ya Rais - Ambaye Ni Dk Bashiru Ally Kakurwa". Kwa scenario hii, hakuna shaka Dk. Bashiru Ally ndio aliompangia ziara Makamo Wa Rais Samia Suluhu kumpeleka tanga kwa siku 7.

Swali,

1) Unampangia vipi Makamo Wa Rais ziara ya kazi ya kusafiri kwa muda wa Siku 7, wakati ukijua kwamba Rais ana hali isioridhisha na muda wowote lolote linaweza kumtokea?

2) Kwamba muda wowote huyo Makamo Wa Rais unaempeleka ziara ya Siku 7, anaweza kutakiwa kutangaza kifo cha Rais na kushika dola ya uongozi wa nchi?

3) Kwanini Makamo Wa Rais asingefutiwa ziara hizo, kuwekwa sehemu salama na kuongezewa ulinzi wa hali ya juu kwa lolote likitokea kwa Rais anaeumwa?

4) Makamo Wa Rais kupelekwa Tanga kufanya ziara ya Siku 7, mkoa wa tanga ambao ni mdogo na angeweza kuumaliza ziara zake kwa siku moja au mbili tu tena kwa kutumia hata boda boda. Siku 7 zote hizo za nini? Kipi au miradi gani ambayo ipo tanga ingemchukua siku 7 kumaliza kuzifanyia ziara hizo???. Haiingii akilini kabisa.

Jambo la pili,

Lack Of Proffessionalism, hakukua na haja yoyote ya yeye CDF kutangaza mbele ya umma na dunia kwamba kuna siri amepewa yeye na Rais Magufuli, angekaa kimya na kufanya appointment ya kwenda kuonana nae private katika Ofisi Ya Rais Ikulu.

Kitendo cha yeye kutangaza mbele ya umma kwamba amepewa siri na Rais Magufuli ni hatari hata kwake yeye CDF dhidi ya maadui wa nje na ndani ya Tanzania. Pia ni kuzua taharuki na sintofahamu isiokua na ulazima wowote kwa raia na wageni waliohudhuria mazishi na hata kwa wale walioshuhudia mazishi katika vyombo vya habari.

"LABDA PENGINE" CDF Mabeyo nimepokea speech yake ndivyo-sivyo kwenye swala la lack of proffessionalism, na pengine ujumbe aliotaka kuufikisha kwa viongozi wa umma (Makatibu na Mawaziri) ni kuonesha hasira zake kwao waliotaka kuforce na kueneza propaganda ili Mama Samia asiapishwe kuwa Rais na kuchelewesha kutangaza msiba wa Rais Magufuli. Hasira alizielekeza kwa wale waliotaka Katiba ivunjwe na mapinduzi yafanyike sambamba na kujichotea mabillioni ya pesa hazina kabla ya kutangazwa kifo cha Rais.

Ila kitendo cha yeye CDF kutamka kwamba JESHI LINAMUUNGA MKONO NA LIPO NYUMA YAKE RAIS ni jambo la msingi sana kwa taifa, tetesi za kwamba jeshi lilitaka kufanya mapinduzi au jeshi lipo njia panda juu ya uongozi wa Rais Samia umetokomezwa na kufutwa kabisa. Na amethibitisha jeshi letu lipo imara na "HALIJA YUMBISHWA NA WASAKA MADARAKA KWA NGUVU (WAZEE WA PROPAGANDA)", pia ni ONYO KWA YOYOTE ATAKAETAKA KUFANYA UJINGA UJINGA ili kumkwamisha Rais aliepo kikatiba.

UJUMBE KWA RAIS SAMIA SUKUHU HASSAN - CDF Mabeyo ni tunu kwa taifa, na ni zawadi kwa utawala wako mama, shirikiana nae mguu kwa mguu kuisafisha serikali na viongozi wa umma wote waliotaka kucheza michezo michafu tokea kipindi Rais Magufuli, anaumwa na mpaka alipofariki.

Hata kama kuna wana CCM wenye vyeo vya juu wamehusika kumwaga sumu ilikufanya mapinduzi washughulikie mapema (Nina Amini kuna Mawaziri/Naibu Waziri/Makatibu Wakuu wamefurahishwa sana na kifo cha Rais Magufuli kufariki, wakiamini aliekuwa anawabana sasa hayupo - VUNJA BARAZA LOTE LA MAWAZIRI).

Wangesababisha machafuko makubwa sana kama wangefanikiwa ushenzi waliotaka kuufanya - Tumesikia, wapo waliojichotea Mabillioni kule hazina kwa kigezo cha kununua vifaa vya kumtibu Rais Magufuli. Wengine hela zile baada ya kuchukua wamegawa kwa wajumbe kumpitisha mtu wao kuwa Makamo Wa Rais. Pita nao woteeeeee!!! Raia na Jeshi lipo nyuma yako Mama!!!
Dah, umeandika kitaaluma zaidi!!

I appreciate this thread your Excellency Alexander the Great
 
Speculations.

In corridors of leadership, let alone meetings, this is the questions set to security forces: CDF mmejipangaje kwa ulinzi? Typical question. CDF was narrating a reply based on routine question.
He was affirming allegiance to the new head of state!
 
Kwa sasa Baada ya JPM kuachia usukani nchi imeachwa katika safu ya CDF -> RAIS -> CCM lakini wananchi sisi tuko nnje ya uwanja tunaona safu imeanzia kwa RAIS - > CCM ila ukweli ni kwamba nchi sasa inaongozwa na JESHI kwa ushirikiano wa MAMA (rais), Na itakua hivyoo mpaka MAMA atakapotoka madarakani. Uongozi huu si kwa ubaya au nia ovu ila ni kwa mustakabali wa usalama wa MAMA SAMIA (rais) bila hivyo Nchi ingeangukia pua maana madereva wangekua wengi mpk makondakta wangejifanya nao udereva wanaujua.
 
Unamtoa CDF wakati umri wa kustaafu bado alafu unaweka mwingine, huyu cheo chake kinakua kipi? Akisema hataki kustaafu kwa hiari utafanyaje? Toka historia ya jeshi inaanza hapa tz haijawahi tokea una generals 2 wote wako ofisini...
Kikwete hakuendana na Waitara alimbadilisha na kumuweka Mwamunyange!!
 
Back
Top Bottom