Swali la kipumbavu, wenye mamlaka ni kina nani?Kwahy hawa wa sasa Wanaotekwa na kuuawa wanafanyiwa hvy na nan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali la kipumbavu, wenye mamlaka ni kina nani?Kwahy hawa wa sasa Wanaotekwa na kuuawa wanafanyiwa hvy na nan
Hisia zangu: Kilichomuokoa Mary Ni kuzaliwa royal family.Nadhani idara ya usalama Kenya hawajataka kujichafua kwa hili, na imepelekea wajuba wamuache aende...
Kwa maana wasingetoboa, zingepigwa border check up za kufa mtu, halafu mwisho wa siku ikawa noma.
Na inaelekea walikubaliana mwanzoni lakini baada ya watu kupaza sauti, wakaona dili imeharibika, utakuta kina Lissu walishavuta waya hadi kwa Ruto..
Hilo ndio lilianzisha mambo ya utekaji lilaaniwe mara milioni uko chatoJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Ety swali la kipumbavu 😂Swali la kipumbavu, wenye mamlaka ni kina nani?
Mwaka wa tatu sasa hayupo duniani, vp anaendeleza kuua na kuteka akiwa kaburini?Hilo ndio lilianzisha mambo ya utekaji lilaaniwe mara milioni uko chato
Msimamo wangu sikuzote wasasa ni katili zaidiWanaotekwa sasa na kuuawa wametendewa na JPM?
Aisee nyumbu mnatia huruma, mmebaki kudandiadandia msivyovielewa tu.Humu jf utagundua CCM wengi wapumbavu mfano tlaatlaah, Lucas Mwanshambya na Dr wa Manesi. Comments zao utajua kichwani tatizo
Mkuu ndivyo ilivyo...Watu mnapredict everything
ni habari njema kama hawajamfanya kitu chochoteWakuu,
Kupitia ukurasa wake wa X, Fatma Karume ameweka post ya kuwashukuru wote waliyohakikisha Sarungi anakuwa salama, na kwamba ameambiwa Sarungi amerejea nyumbani kwake.
View attachment 3199978yu

😂 JPM mlisema katili, amekufa ila mambo yanaendelea ety bado katili 😂 labla huo ukatili anafanya online akiwa kaburiniMsimamo wangu sikuzote wasasa ni katili zaidi
Bado hoja ya kipumbavu, kati ya wote ambao walitekwa wakati wa utawala wa JPM ni yupi ambaye serikali yake ilifanya uchunguzi kujua nini kilichotokea? Ushahidi kitabu cha Eric Kabendera kuwa JPM alimbangua risasi ya kichwa, kama unabisha tuambie Ben Saanane yuko wapi?Ety swali la kipumbavu 😂
Em leteni ushahidi kuwa JPM anahusika na utekaji na uuaji wakati akiwa madarakani pia fanyeni marejeo na mambo yanayoendelea sasa
Kwel asee ata dr ulimboka jamaa alimteka yeye bulllshitHilo ndio lilianzisha mambo ya utekaji lilaaniwe mara milioni uko chato
Una mjua shetani?Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Hawa wa sasa Wanaotekwa na kuuawa kuna uchunguzi umefanyika?Bado hoja ya kipumbavu, kati ya wote ambao walitekwa wakati wa utawala wa JPM ni yupi ambaye serikali yake ilifanya uchunguzi kujua nini kilichotokea? Ushahidi kitabu cha Eric Kabendera kuwa JPM alimbangua risasi ya kichwa, kama unabisha tuambie Ben Saanane yuko wapi?
Marejeo ya mambo yanayoendelea sasa yanarelate vipi kumsafisha muuaji JPM?