King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
JPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Sawa, ila bado wewe na wenzio mko juu kwa comments za kipumbavu jukwaaniAisee nyumbu mnatia huruma, mmebaki kudandiadandia msivyovielewa tu.
Watu mnajua sanaMkuu ndivyo ilivyo...
Idara ya usalama kumtafuta mtu nchi nyingine lazima wapate ruhusa, kwa sababu Kenya juzi hapa, Besigye kakamatwa kapelekwa hadi Uganda.
Na wangekaidi kumuachia Maria, hapo wangekamatwa hao watekaji halafu ikawa noma, wangechapika ile noma.
Hapo najua kuna raia wamevuta waya halafu wamepiga bonge la biti hadi Kenyans wakaona mission iwe failed tu..
Cause hio michongo ya kutekana kwa KE ni kujiharibia..
Hawa wa sasa Wanaotekwa na kuuawa wanafanyiwa hvy na JPM kwa njia ya online akiwa kaburini au?Mkuu huyo mtu alifanya ufirauni mwingi ingawa kuna mazuri yake pia.
Hauwezi kusema alisingiziwa kuna mengine alifanya yeye na genge lake.
1.Kuuawa kwa Ben watch eight
2.Assassination attempt - TAL
Mkuu rejea Imrani Kombe aliuawa na polisi...Hisia zangu: Kilichomuokoa Mary Ni kuzaliwa royal family.
Angekuwa mtoto wa mtu wa kawaida, baba yake hajagusa wadhifa mkubwa ingekuwa imeisha habari yake.
Vijana toka familia hoehae wasiige tembo kunya 'mafi' makubwa. Wajifunze kwa Soka, Beniii, aliyechoma naniliu, n.k.
Kuwaambia kuwa nyie Bado saaaana kuchukua nchi ndo upumbavu?!!! Sasa nchi hiyo achukue nani, lissu au mbowe?!!!!!!Sawa, ila bado wewe na wenzio mko juu kwa comments za kipumbavu jukwaani
Kwani ukiasisi kitu ukifa nacho kinakufa?Mwaka wa tatu sasa hayupo duniani, vp anaendeleza kuua na kuteka akiwa kaburini?
Hao walioasisi n akina nanKwani ukiasisi kitu ukifa nacho kinakufa?
Aliyeanzisha kampuni ya Apple ashakufa? iPhone zimekufa?
Atasema mara baada ya script inayoandaliwa kukamilika.Maria Sarungi Asikae Kimya Apasue Mbarika Namna Jambo Lilivyokuwa
Ameacha anemfundisha mama abduliMwaka wa tatu sasa hayupo duniani, vp anaendeleza kuua na kuteka akiwa kaburini?
Yaani mpaka inaumaaaJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Asante sana Mkuu ubinadamu KWANZAππ chukua maua yako mkuuπππ
Aacha utoto, kwani mrithi wake akitaka kuendeleza mazuri na mabaya ya mtangulizi wake nani wa kumkataza?π JPM mlisema katili, amekufa ila mambo yanaendelea ety bado katili π labla huo ukatili anafanya online akiwa kaburini
Tumia kichwa chaki kufikiria kidogo, hawa kwa kutochunguzwa inamsafisha JPM?Hawa wa sasa Wanaotekwa na kuuawa kuna uchunguzi umefanyika?
Kwahy asipoendeleza au akiendeleza, hapo makosa n ya JPM?Aacha utoto, kwani mrithi wake akitaka kuendeleza mazuri na mabaya ya mtangulizi wake nani wa kumkataza?
Ipo siku mtashindwa kubeba mimba za mume zenu na kuanza kumsingizia JPMTumia kichwa chaki kufikiria kidogo, hawa kwa kutochunguzwa inamsafisha JPM?