move ya abdul nondo part2 yafanyikia kenyaMaria has a story to tell
Ninini kimetokea? Majirani waligoma kutoa msaada ili wavuke boda na mzigo wao?
Kelele za kimataifa?.
Wiki itaanza na mengi mapya.. Tuwe na subraView attachment 3199990View attachment 3199990
A strident opponent of the Magufuli dictatorship
yupo anachomwa moto huko kaburini
Jasusi wa wamarekani kapatikana🇺🇲😂Wakuu,
Kupitia ukurasa wake wa X, Fatma Karume ameweka post ya kuwashukuru wote waliyohakikisha Sarungi anakuwa salama, na kwamba ameambiwa Sarungi amerejea nyumbani kwake.
View attachment 3199978yu
We nawe ushazoea kuwekwa kama ambavyo alikufanyia Kennedy... hebu tulia...Yaani mpaka inaumaaa
Kivipi Gentleman hebu dadavua basi kwa faida ya Wana jamii wa hili jamvimove ya abdul nondo part2 yafanyikia kenya
wewe utapata faida gani bwana isaya tlaatlaahmove ya abdul nondo part2 yafanyikia kenya
Mi sizingukagi, kwangu huyu ni katili zaidi plus hana chembe chembe hata ya uzalendo. Waje waniteke.
mchezo upi wwe lofa wa magufuriEeeeh basi tu uandike kitu
Ulipokea sindano za kivipi kwa mchezo wako ukifanya?
maswali ya kihuni hayaHawajamlawiti?
Mkuu asante kwa kumueleza ukweli.maswali ya kihuni haya
AmeenMungu ni mwema, shukrani kwa kelele za Watanzania wote.
Kenyan Security Forces sio za mchezo mchezo.Ndio Taarifa Kuu Kwenye taarifa ya Habari Citizen TV
Kenya Human Rights Center imefanya Kazi Kubwa ikishirikiana na Chama Cha Wanasheria wa Kenya katika kumtafuta
Rais wa Law Society ya Kenya amemuhakikishia Mwabukusi Hali ni salama Kwa Maria na Kesho ataongea
Source Citizen TV
Nyumbu mna hasiraaaa. Jifarijini na hiyo stori iliyotungwa kitoto ya kutekwa kwa huyo mtu wenuHoja kuchukua nchi au hoja zenu za kipumbavu? Piganieni tume huru ya uchaguzi na katiba mpya msiibe kura kama uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita, msiandikishe watoto na wafu halafu uje na hoja zako.
Kabla ya hapo utakuwa unaongoza kwa hoja za kipumbavu
hasara ni laana tu ya kuitukana nchi ya uzao wako,wewe utapata faida gani bwana isaya tlaatlaah
Mungu wangu tetemeko gani???watu tutaogopa ata kutoka nje sasazimebakia siku 8 kabla ya D.Trump kuapishwa, tetemeko linakuja tanzagiza, hizo ni dalili tu …