MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,747
- 2,977
Labda alikuwa anashauriwa!JPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda alikuwa anashauriwa!JPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Mafwele ameshindwa na kulegea kwa jina la YesuWakuu,
Kupitia ukurasa wake wa X, Fatma Karume ameweka post ya kuwashukuru wote waliyohakikisha Sarungi anakuwa salama, na kwamba ameambiwa Sarungi amerejea nyumbani kwake.
View attachment 3199978yu
Dhambi haitetewi,. Yeyote aliyemwaga damu, atalaaniwa na kizazi chake kitapokea hatia ya kumbukumbu ya damu isiyo na hatia.Yeah; JPM alisingiziwa mengi sana. Yule jamaa kaandika habari za "kifo" cha Ben Saanane; hivi tofauti ya kile kumuhusu Ben na dogo wa ku bet bwana Sativa ni nini? Tukio la Sativa limetokea wakati JPM yupo zake mbele za haki
mchezo upi wwe lofa wa magufuri
Maria kakosoa utawala wa magu na akawa salama!Wakuu,
Kupitia ukurasa wake wa X, Fatma Karume ameweka post ya kuwashukuru wote waliyohakikisha Sarungi anakuwa salama, na kwamba ameambiwa Sarungi amerejea nyumbani kwake.
View attachment 3199978yu
Una akili ya bangi au ulizaa na JPM, matendo ya serikali iliyopo madarakani yanachukuliwa kwa uzito wake, uovu unaofanywa na hii serikali haumsafishi muuaji JPM.Ishu ya Sativa imefikia wap 😂
Naskia JPM anahusika pia 😂
Mbaya zaid Sarungi nae ameponea chupuchupu kutekwa na JPM 😂
Duuh wanaandikisha watoto na wafu?😀😀Hoja kuchukua nchi au hoja zenu za kipumbavu? Piganieni tume huru ya uchaguzi na katiba mpya msiibe kura kama uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita, msiandikishe watoto na wafu halafu uje na hoja zako.
Kabla ya hapo utakuwa unaongoza kwa hoja za kipumbavu
Siri yakeHawajamlawiti?
Mimba uliyopewa na JPM hutojifungua, utaishi nayo ht miaka 1000 😂Una akili ya bangi au ulizaa na JPM, matendo ya serikali iliyopo madarakani yanachukuliwa kwa uzito wake, uovu unaofanywa na hii serikali haumsafishi muuaji JPM.
Wewe mwendawazimu umesikia?
Akili za kushikiwa hizi, unapenda hadi unakataa kweli.Nashangaa wanaomtetea JPM ,JIWE alifanya ufirauni mwingi.....inasikitisha mtu kuchallenge elimu then unamtoa roho ,mbona aliwaita watoto wa watu ni VILAZA?
Ningekuwa nayo ningemtetea kama wewe hawara yake unayemtetea muuajiMimba uliyopewa na JPM hutojifungua, utaishi nayo ht miaka 1000 😂
Naskia ht mumeo aliyefariki nae aliuawa na JPM 😂Ningekuwa nayo ningemtetea kama wewe hawara yake unayemtetea muuaji
legacy ya magufuri ni utekaji na uuwaji unabisha??Raia wanasema JPM anahusika kwenye tukio la Sativa 😂 ety hata hili la Sarungi pia JPM anahusika 😂
Never argues with a fool, he'll pull you down down to his level and beat you with experience. And I have proved you are experienced foolNaskia ht mumeo aliyefariki nae aliuawa na JPM 😂
Halafu wanasema hamuwezi kuchukua nchiDuuh wanaandikisha watoto na wafu?😀😀
Dah inasikitisha sana mkuu, yn anafanya haya mabaya ht akiwa mfu 🙌 kweli JPM kibokolegacy ya magufuri ni utekaji na uuwaji unabisha??