uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Swali? Mwanachama wa chadema? Kwanini anawavuruga kiasi hicho?
Mtanzania yeyote timamu ana Maslahi na Chadema, na anakuwa mtazamo, Mimi sina chama, ila nina mtazamo na Chadema hata Ccm, sasa Maria kosa lake ni kwamba ana audience kubwa