Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Wanaminya minya nyanya wananua bilinganyaKama unahisi ushaona kila kitu katika dunia hii basi bado.
Mariam Birian ambaye ni mdada mpika birian maeneo ya Tabata na maarufu huko mitandaoni (wengi mnajua umaarufu wake) amevalishwa pete na anakaribia kuolewa...
Matumizi mabaya ya sehemu ya mwiliMwamba kapiga goti kabisa.
Alikuwa na nn mkuu?Shit happens na maisha lazima yaendeleee,
Bora yeye lake moja lilijulikana kuliko hao wengine mnaowaoa wakiwa wameshajivesha ngozi ya Kondoo.
Kaka hongera sana kazi kwako Sasa maana huyo Rafiki yangu ni Mchezaji Mzur wa Miguu yote[emoji120][emoji120][emoji120]Kama unahisi ushaona kila kitu katika dunia hii basi bado.
Mariam Birian ambaye ni mdada mpika birian maeneo ya Tabata na maarufu huko mitandaoni (wengi mnajua umaarufu wake) amevalishwa pete na anakaribia kuolewa...
Bora nihisi kuliko hisia ziwe na uthibitisho.Shit happens na maisha lazima yaendeleee,
Bora yeye lake moja lilijulikana kuliko hao wengine mnaowaoa wakiwa wameshajivesha ngozi ya Kondoo.
Kizuri tutakula nayeKama unahisi ushaona kila kitu katika dunia hii basi bado.
Mariam Birian ambaye ni mdada mpika birian maeneo ya Tabata na maarufu huko mitandaoni (wengi mnajua umaarufu wake) amevalishwa pete na anakaribia kuolewa.
Huyu mwamba aliyemvalisha Mariam pete ni miongoni mwa wanadamu wenye ujasiri mkubwa sana kuwahi kutokea katika uso wa dunia.
Niwatakie ndoa njema kwa wawili hao.View attachment 2778121
Taja bei elekeziKaka hongera sana kazi kwako Sasa maana huyo Rafiki yangu ni Mchezaji Mzur wa Miguu yote[emoji120][emoji120][emoji120]
Aljniambia Majuzi tukiwa Pale Magomen nikajua ananitania kumbe yupo Serious anaolewa...
Hongera Shoga Mpe mpk atulie Mjn hapa..
Anapakuwa na kupakuliwahapo kwenye mabano 👉(wengi mnamjua umaarufu wake) tunaomba ufafanuzi muheshimiwa mwenyekiti.
Si anaenda kupewa anachokitaka bila kulipia tena kisamvu Cha kopo anakipakua tuMwamba kapiga goti kabisa.
Amejivika mabomuSema jamaa ni jasiri Hamas mtupu huyo.
Ukikumbuka tu hiyo scandal basi mbingu isahau!Hv mbali na huo upishi Kuna issue nyngn au scandal inamuhusu Mariam? Maana hili jina sio geni masikioni mwangu