Mariam Birian avalishwa pete, anaolewa siku chache zijazo

Mariam Birian avalishwa pete, anaolewa siku chache zijazo

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Kama unahisi ushaona kila kitu katika dunia hii basi bado.

Mariam Birian ambaye ni mdada mpika birian maeneo ya Tabata na maarufu huko mitandaoni (wengi mnajua umaarufu wake) amevalishwa pete na anakaribia kuolewa.

Huyu mwamba aliyemvalisha Mariam pete ni miongoni mwa wanadamu wenye ujasiri mkubwa sana kuwahi kutokea katika uso wa dunia.

Niwatakie ndoa njema kwa wawili hao.
IMG_8170.jpeg
 
Kama unahisi ushaona kila kitu katika dunia hii basi bado.

Mariam Birian ambaye ni mdada mpika birian maeneo ya Tabata na maarufu huko mitandaoni (wengi mnajua umaarufu wake) amevalishwa pete na anakaribia kuolewa...
Kaka hongera sana kazi kwako Sasa maana huyo Rafiki yangu ni Mchezaji Mzur wa Miguu yote[emoji120][emoji120][emoji120]

Aljniambia Majuzi tukiwa Pale Magomen nikajua ananitania kumbe yupo Serious anaolewa.

Hongera Shoga Mpe mpk atulie Mjn hapa..
 
Kama unahisi ushaona kila kitu katika dunia hii basi bado.

Mariam Birian ambaye ni mdada mpika birian maeneo ya Tabata na maarufu huko mitandaoni (wengi mnajua umaarufu wake) amevalishwa pete na anakaribia kuolewa.

Huyu mwamba aliyemvalisha Mariam pete ni miongoni mwa wanadamu wenye ujasiri mkubwa sana kuwahi kutokea katika uso wa dunia.

Niwatakie ndoa njema kwa wawili hao.View attachment 2778121
Kizuri tutakula naye
 
Back
Top Bottom