Mariam Ditopile amlipua Lema, amtaka ajitokeze kuomba radhi

VICOBA = Village Community Bank.

Ndivyo ilivyo??
Ndiyo maana yake hiyo.Hebu mueleze huyo m-viti maalumu jinsi akina mama masikini wa huko Kitanzini,Ipogolo,Kitwiru,Malolo,Mlandege,Mtwivila,Nduli(Iringa)Hadi Kibaigwa,Nkuhungu,Msalato,Aghondi na Manyoni yote wanavyoteswa na mikopo ya hovyohovyo.Halafu,wengi wameolewa na waendesha bodaboda.Yeye hajui chochote.Amekuzwa kwa mapesa "mwolofu" ya serikali kupitia baba yake Ukiwaona Ditopile Mzuzuri.Amekaa anadanganya akina mama masikini na vijana.
 
Vicoba ni Ponzi scheme inayotumiwa na CCM.
Watu wamekataa uongo wa CCM.Sasa,wamebaki wanalia na kauli za Lema.Siku hizi wanazichambua kauli za Lema kuliko kufuatilia malezi ya familia wakijidai wanazitolea majibu.Njoo kwenye majibu yao ndiyo utajua ni watu au wanasesere!
 
Mbungee wangu ditopile. Nakupongeza saana Kwa kuliona hilii
 
Waanze wao familia nzima kuomba Msamaha kwa baba yake kumpiga risasi dereva bajaji amabaye hakuwa na hatia pale Kawe. Hata kama alikuwa nayo haikuwa sahihi kumpiga risasi hadi kufa wakati sheria iko wazi.
Hivi Alikua Dereva Bajaj au Daladala?
 
Huyu ni mtoto wa JK kisiasa. No JK No Miss Ditopile na JK hataishi milele. Anza kujijenga now kuliko kudhani kama JK atakuwepo milele na issue ya Lema haitakusaidia kuibuka mshindi Dodoma 2025
Jk na marehemu ditopile ni Kama juma nature na kr,Wana kitambo
 
Waanze wao familia nzima kuomba Msamaha kwa baba yake kumpiga risasi dereva bajaji amabaye hakuwa na hatia pale Kawe. Hata kama alikuwa nayo haikuwa sahihi kumpiga risasi hadi kufa wakati sheria iko wazi.
Kwa hiyo point zenu wavuta bangi wa Chadema ni kumhusisha yeye na makosa ya baba yake?

Je!
Ni nani aujuaye usafi wa wazazi wenu enyi manyumbu wa ufipa?

Mkipewa maswali yanayohitaji weledi mnakimbilia kujitoa akili !
 
Village Community Banks imekuwepo mda mrefu, hamssisemea eti sasa hivi lema anatafuta kiki za kisiasa ndo mnanyanyua midomo! Lema alishachuja.
 
Kwa hiyo point zenu wavuta bangi wa Chadema ni kumhusisha yeye na makosa ya baba yake?

Je!
Ni nani aujuaye usafi wa wazazi wenu enyi manyumbu wa ufipa?

Mkipewa maswali yanayohitaji weledi mnakimbilia kujitoa akili !
woote wawe na weledi hata wewe pia? una swali gani la weledi ulijualo wewe zaidi ya kuimba mapambio ya kusifu na kuabudu wafu? unaabudu watu badala ya mfumo? chama chako chenyewe hukipendi ila unapenda watu.
mungu aliamua ugonvi na wema huwa hawafi. jadili
 

Yeye ndio aanze kuomba msamaha kwa familia ya Marehemu. Mjinga kweli.
 
Anaye jua mchango wake wa maana bungeni ani tag.
Sasa anasubiri kikao kirefu cha bajeti na tshs 350000- kila siku🙄
 
Ulipomuita Mh. Ditopile moto wa muuaji positivity energy ilikuwa inakuimarisha Ili nikupe hongera! Pumbavu!!!
Niliyemuita mtoto wa muuaji ni mimi, hate inakusababishia kuchanganyikiwa na ni ukweli kwamba huyo demu ni mtoto wa muuaji tena aliyeua hadharani kwa kiburi alichonacho.
 
Kwa hiyo point zenu wavuta bangi wa Chadema ni kumhusisha yeye na makosa ya baba yake?

Je!
Ni nani aujuaye usafi wa wazazi wenu enyi manyumbu wa ufipa?

Mkipewa maswali yanayohitaji weledi mnakimbilia kujitoa akili !
Mtoto wa nyoka ni nyoka.
-Nimenukuu msemo wa wahenga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…