Mariam Ditopile amlipua Lema, amtaka ajitokeze kuomba radhi

Mariam Ditopile amlipua Lema, amtaka ajitokeze kuomba radhi

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Dodoma Mhe Mariam Ditopile amemtaka aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Godbless Lema ajitokeze aombe radhi kutokana na kauli yake aliyoitoa kuhusu Vicoba ambayo ni yakuwadhihaki wanawake.

Katiba hotuba yake Lema alikaririwa akisema Vicoba ni umasiki na ndio maana alimwondoa mkewe kwenye benki hizo.

Ditopile ametoa wito huo alipo kuwa mgeni rasmi katika kongamoano la Vicoba na kumpongeza Rais Dk.Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza miaka miwili madarakani liloandaliwa na Shirika la Msaada wa Kisheria (JUST).

“Kama kweli tunataka kurekebisha pale ambapo serikali imekosea basi tuwe na lugha nzuri,kama kuna mtu anaona vikoba havifai basi aje na hoja zake sio kudharau kwasababu wapo wanawake wengi wanaendesha shughuli zao kupitia fedha hizo kidogo."

Amesema “Ndugu yangu huyu Godbless Lema kiukweli ametumia lugha ambayo imetudhihaki sisi wanawake na inawezekana hata mama yake alikuwa ni miongoni na kama anahoja aishauri serikali."

"Mimi namuomba ashuke chini akafuatilie vikoba hivi ni kwa namna gani vimeinua maisha ya watanzania ajifunze na kama anaona kuna sehemu ya kujirekebisha aseme, ikiwezekana atoke na afute kauli yake kwasababu ametukosea sana, asitumie uhuru vibaya aliopewa na Rais Dkt. Samia."

Ditopile amesisitiza kuwa uanzishwaji wa huduma ndogo za fedha upo kwa mujibu wa sheria ambayo ilitungwa wakati Godbless Lema akiwa Mbunge.

Alisema wizara ya fedha ilitunga sheria ya huduma ndogo za fedha mwaka 2017 lengo ni kuhakikisha huduma hiyo inaleta tija kwa wananchi.

View attachment 2550130View attachment 2550131View attachment 2550132View attachment 2550133View attachment 2550134View attachment 2550135
View attachment 2550136
Anatafuta mme au hafikishwi na mme wake, hatampata lema maana hachukuagi mashangingi ya ccm.
 
VICOBA = Village Community Bank.

Ndivyo ilivyo??
Kama tafsiri ya vicoba ni hiyo basi acha Lema ainange tu kwa sababu;

1. Vikoba havipo vijijini bali vipo mjini, zingatia kuwa kumbe fedha hiyo ililengwa kupelekwa vijijini na hao akina Ditopile hawapo vijijini bali anaongea hapa akiwa mjini.

Je hii siyo namna nyingine ya kuchepusha matumizi halali ya fedha zilizojadiliwa bungeni kama alivyodai Ditopile? Kwa maana hii huu nao ni ubadhilifu mwingine

2. Lema kusema vicoba ni umasikini wala hajakosea hata kidogo ni kweli kuwa na vicoba ni umasikini na Ndiyo maana vilielekezwa vijijini,

Sasa hapo Lema amewadharau kwa lipi? kwamba tuseme sasa vicoba vimeshawafanya watu ama wa vijijini au wa mjini kuwa matajiri? Huyu Ditopile aache kudandia hoja bila kutafakari.
 
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Dodoma Mhe Mariam Ditopile amemtaka aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Godbless Lema ajitokeze aombe radhi kutokana na kauli yake aliyoitoa kuhusu Vicoba ambayo ni yakuwadhihaki wanawake.

Katiba hotuba yake Lema alikaririwa akisema Vicoba ni umasiki na ndio maana alimwondoa mkewe kwenye benki hizo.

Ditopile ametoa wito huo alipo kuwa mgeni rasmi katika kongamoano la Vicoba na kumpongeza Rais Dk.Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza miaka miwili madarakani liloandaliwa na Shirika la Msaada wa Kisheria (JUST).

“Kama kweli tunataka kurekebisha pale ambapo serikali imekosea basi tuwe na lugha nzuri,kama kuna mtu anaona vikoba havifai basi aje na hoja zake sio kudharau kwasababu wapo wanawake wengi wanaendesha shughuli zao kupitia fedha hizo kidogo."

Amesema “Ndugu yangu huyu Godbless Lema kiukweli ametumia lugha ambayo imetudhihaki sisi wanawake na inawezekana hata mama yake alikuwa ni miongoni na kama anahoja aishauri serikali."

"Mimi namuomba ashuke chini akafuatilie vikoba hivi ni kwa namna gani vimeinua maisha ya watanzania ajifunze na kama anaona kuna sehemu ya kujirekebisha aseme, ikiwezekana atoke na afute kauli yake kwasababu ametukosea sana, asitumie uhuru vibaya aliopewa na Rais Dkt. Samia."

Ditopile amesisitiza kuwa uanzishwaji wa huduma ndogo za fedha upo kwa mujibu wa sheria ambayo ilitungwa wakati Godbless Lema akiwa Mbunge.

Alisema wizara ya fedha ilitunga sheria ya huduma ndogo za fedha mwaka 2017 lengo ni kuhakikisha huduma hiyo inaleta tija kwa wananchi.

View attachment 2550130View attachment 2550131View attachment 2550132View attachment 2550133View attachment 2550134View attachment 2550135
View attachment 2550136
Shughulikia maswala na matatizo ya Wananchi walio wengi mama weeh!
Ya LEMA hutayaweza! Wengine wanajielewa hii ndio ukweli.
Ndoa za watu zinavunjika na kuuana kisa VIKOBA, waathirika Wakuu wakiwa kina Wenzio mbele yako.
Unawasaidiaje?!
Tafakari acha kupopoma! Ni ukweli huo.
 
Wabunge wa viti maalumu ndio maana wanaonekana ni wa vitu maalumu huyo pimbi amejifanyia evaluation na kujiridhisha kwamba ana ubavu wa kupambana na Mh Lema kwa hoja?Mpaka hapo alipo hajui kuna wanawake wamepewa talaka na waume zao baada ya kukopa kwenye vicoba hivyo na kushindwa kulipa kutokana na mazingira magumu ya kuizungusha hiyo hela halafu wanakikundi wakaondoka na godoro mashuka vitanda na vyombo vingine vya ndani!
 
Back
Top Bottom