Mariamu Ditopile anatumwa na nani?

Sio vibaya ukisema toka achaguliwe, ameifanyia nini Kondoa?.
P
Mkuu unajua wewe ni wakili na legend tunaye kutegemea kwenye nondo za hoja humu ndani. Nashangaa unaendeleza upotoshaji wa majukumu ya mbunge? Common on Paskal unamuonea mbunge wa watu!
 
Akashitaki Takukuru ipi, hii hii ya Wala rushwa? Utashangaa akienda kushitaki Takukuru wanahitaji rushwa ili wachunguze, kisha wanaenda kuvuta rushwa kwa anayetuhumiwa. Hakuna taasisi ya kipuuzi kama hiyo takukuru.
 
Kutoa Msaada hadharani inakuaje Rushwa? Wewe kama umekalia.kuti kavu pisha watu usituchoshe.

Kama yeye anamtaja Samia na wewe mtaje Lisu au Kassim 😁😁
 
Akashitaki Takukuru ipi, hii hii ya Wala rushwa? Utashangaa akienda kushitaki Takukuru wanahitaji rushwa ili wachunguze, kisha wanaenda kuvuta rushwa kwa anayetuhumiwa. Hakuna taasisi ya kipuuzi kama hiyo takukuru.
🙄🤔
 
Namuonea kivipi?, ila kiukweli wabunge wa Dodoma ni majanga, angalia huyu Kwa wale mliowahi kufika Kongwa, ni jimbo choka mbaya kiasi kwamba Mbunge wake hafai kwa lolote!

P
NO nooo Paskal usipotoshe majukumu ya mbunge, hivi ungechaguliwa ubunge Kawe ungeleta maendeleo kwa fedha yako? Tuambie tujue leo, au ulidhamiria kuwaongopea wana kawe!

Mkuu tumia elimu, uzoefu na nafasi yako kuelimisha jamii. Usiendeleze upotoshaji!

Unafahamu vizuri kuwa sio jukumu la mbunge kutatua kero za jimbo lake au kuleta maendeleo kwa sababu hana fungu la bajeti la kufanya hayo!

Ila unafanya makusudi!
 

View: https://youtu.be/Qr6j25jFGyI?feature=sharedP
 
Akashitaki Takukuru ipi, hii hii ya Wala rushwa? Utashangaa akienda kushitaki Takukuru wanahitaji rushwa ili wachunguze, kisha wanaenda kuvuta rushwa kwa anayetuhumiwa. Hakuna taasisi ya kipuuzi kama hiyo takukuru.
Yalinikuta.sina hamu na hao mashetani
 
Pole sana mkuu!
Mkuu unaenda kupeleka mashitaka unapeleka na ushahidi.unaambiwa kwahiyo tunafanyaje?
Hii ndio Tz unaenda kushitaki kuombwa rushwa na mamlaka inakuomba rushwa.
 
Watajuana wenyewe huko

Ova
Ally lazima apigwe chini. Wakondoa hawajaona alichokifanya walakumsikia akiongea chochote.
Kumbe Tao yaani mbunge wa Sasa hata jf ulikua hujajiunga, mpaka ukipoona kitumbua kinaingia mchanga.
Pole Sana mbunge wa Sasa.
Ukiona vipi kamhonge mkuu wa mkoa Kama unaona mwenzio anahonga madiwani.
Kifupi. UMEUMIA
 
Mkiletewa zawadi na mbunge ama mwanasiasa yeyote wewe kula, suala la kupiga kura, utakuwa mwenyewe kwenye kichumba cha kupigia kura, kwa uhuru wako huku ukilindwa hakuna wa kukulazimisha umpigie. Utamchagua umpendaye kwa kadri uoendavyo bila kujali chama au asili yake. Umchekea nje, ndani unamlima. Utu wa mtu haununuliwi.
 
Yeye kama anaweza hata kuzunguka Tanzania nzima azunguke tu kutoa hiyo misaada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…