Mariamu Ditopile anatumwa na nani?

Hakuna kosa hapo as long wote ni wana CCM, na anachofanya ni takrima kwa wanachama wenzake.
 
Kwenye itifaki as umesema ni mbunge, lazma amtaje boss wake.
Mbili aweze kumwaga steve nyerere hela sikukuu ya xmas. Ashindwe huyo anayetaka ubunge. Vitu gani hivo unauliza yakheee. Lazma hilo jimbo alipambanie maana umesema analitaka. Why asilipe upendeleo wakati huu ana nguvu.
 
Bongo hakuna tofauti kati ya msomi na ambaye Hana elimu kabisa. Majukumu ya mbunge unaweza kuuliza kalifanyia Nini Jimbo lake? Mbunge ni mkurugenzi wa maendeleo?
Maendeleo yanaletwa na nani??
 
πŸ‘πŸ‘πŸ™
 
Huenda ametumwa na chama! Ally Makoa aanze kujiuliza tangu awe mbunge ameleta maendeleo gani jimboni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…