Maridhiano ya serikali na CHADEMA mustakabali wake ukoje kwa hali ya sasa ya utendaji wa polisi?

Maridhiano ya serikali na CHADEMA mustakabali wake ukoje kwa hali ya sasa ya utendaji wa polisi?

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Kulikuwa na nuru kuwa serikali, polisi, mahakama, bunge to mention but a few, for that matter, watatenda kazi zao bila kuonea upinzania (hasa chadema) na kufuata sheria zilizopo ingawa ni mbovu, kama ilivyokuwa wakati wa Magufuli.

Sasa, jana na juzi yameanza kujirudia yale yale ya kutesa wapinzani wanaoikosoa serikali....eg Mduge Nyagali, Peter Madeleka, Rugemeleza Nshala na wengine.

Tunatokaje hapa tulipo?
 
Rais Samia alionesha NURU ya utawala bora, wa sheria na kikatiba alipoingia madarakani. Alionyesha kukataa uonevu na uvunjaji haki za binadammu.

Unfortunately NURU hiyo imezimika ghafla baada ya wahafidhina ndani ya chama chake kumtaka _a "consolidate power" for their benefits.

NURU IMEPOTEA, TAA IMEZIMIKA GHAFLA, MATUMAINI HAYAPO TENA

She has gone astray, completely tending to a dictatorship direction!
 
Kulikuwa na nuru kuwa serikali, polisi, mahakama, bunge to mention but a few, for that matter, watatenda kazi zao bila kuonea upinzania (hasa chadema) na kufuata sheria zilizopo ingawa ni mbovu, kama ilivyokuwa wakati wa Magufuli.

Sasa, jana na juzi yameanza kujirudia yale yale ya kutesa wapinzani wanaoikosoa serikali....eg Mduge Nyagali, Peter Madeleka, Rugemeleza Nshala na wengine.

Tunatokaje hapa tulipo?
Nje ya mada. Hii taarifa ni kweli au si kweli? 👇🏻👇🏻
1689645690549.png
 
Rais Samia alionesha NURU ya utawala bora, wa sheria na kikatiba alipoingia madarakani. Alionyesha kukataa uonevu na uvunjaji haki za binadammu.

Unfortunately NURU hiyo imezimika ghafla baada ya wahafidhina ndani ya chama chake kumtaka _a "consolidate power" for their benefits.

NURU IMEPOTEA, TAA IMEZIMIKA GHAFLA, MATUMAINI HAYAPO TENA

She has gone astray, completely tending to a dictatorship direction!
Wew mwenyewe hujui chochote,badala ya kuandika hoja unamtaja JPM sijui watu uwezo wa kufikiri umeenda wapi.,.sasa Yule shujaa alileta Diipii wedii ipi?
 
Kulikuwa na nuru kuwa serikali, polisi, mahakama, bunge to mention but a few, for that matter, watatenda kazi zao bila kuonea upinzania (hasa chadema) na kufuata sheria zilizopo ingawa ni mbovu, kama ilivyokuwa wakati wa Magufuli.

Sasa, jana na juzi yameanza kujirudia yale yale ya kutesa wapinzani wanaoikosoa serikali....eg Mduge Nyagali, Peter Madeleka, Rugemeleza Nshala na wengine.

Tunatokaje hapa tulipo?
Mnatengeneza taharuki wenyewe halafu mnataka maoni toka kwa wananchi juu ya upuuzi je mbowe au Lissu wamekamatwa maana hao ndio wapinzani tuwajuwao!
 
Wew mwenyewe hujui chochote,badala ya kuandika hoja unamtaja JPM sijui watu uwezo wa kufikiri umeenda wapi.,.sasa Yule shujaa alileta Diipii wedii ipi?
CANDIDATE TO BLOCK/IGNORE
 
Wew mwenyewe hujui chochote,badala ya kuandika hoja unamtaja JPM sijui watu uwezo wa kufikiri umeenda wapi.,.sasa Yule shujaa alileta Diipii wedii ipi?
Usilaumu ulipo Angukia Anglia ulipo jikwaa...
 
Matusi anayetukanwa jirani yako huwa hayaumi, siku ukitukanwa wewe ndio tutajua ustahimilivu wako.
 
Back
Top Bottom